Corona yaingia Afrika Kusini, Rais Ramaphosa atoa kauli
![](https://1.bp.blogspot.com/-DTxjZTXLOuM/XmHNLkhoC2I/AAAAAAALhb0/AXpq7h3u8l8Y4E23JER9wx5BM8yHqKGHwCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv65d4f31b0851lcxt_800C450.jpg)
Afrika Kusini imekuwa nchi ya hivi punde ya chini ya jangwa la Sahara barani Afrika kuthibitisha kuwa na mtu anayeugua homa inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19).
Akizungumza masaa machache baada ya kuthibitishwa kesi hiyo ya kwanza ya Corona nchini Afrika Kusini, Rais Cyril Ramaphosa wa nchi hiyo amesema kuingia kwa ugonjwa huo hatari kutakuwa na taathira hasi kwa sekta ya utalii na uchumi wa nchi hiyo ambao tayari unayumba.
Ameongeza kuwa, "tutazidi kuwataarifu Waafrika Kusini kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/wAsv7uePRBs/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/1EvH6RK7gis/default.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA ZAMANI WA SUDANI YA KUSINI REIK MACHAR NCHINI AFRIKA YA KUSINI
5 years ago
BBCSwahili25 May
Virusi vya corona : Rais Ramaphosa asema mlipuko wa virusi utakuwa mbaya zaidi
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Jinsi ‘mazishi ya kisiri’ Afrika Kusini huenda ikasaidia kukabiliana na corona
10 years ago
GPLVURUGU ZA AFRIKA KUSINI, WAZIRI MEMBE ATOA TAMKO
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Obama atoa onyo kali kwa Afrika Kusini
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Lan-pcEuezY/VX0BU3apIjI/AAAAAAAHfSE/es9kYldeCic/s72-c/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI AFRIKA KUSINI KUHUDHURIA MKUTANO WA 25 WA UMOJA WA AFRIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Lan-pcEuezY/VX0BU3apIjI/AAAAAAAHfSE/es9kYldeCic/s640/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-f6T41KzEiUg/VX0BUzf7sgI/AAAAAAAHfSA/IDRjfqJw3t8/s640/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
5 years ago
MichuziMWENYEKITI CWT SINGIDA AJIUZULU, ATOA KAULI NZITO, AWAOMBA WALIMU KUMUUNGA MKONO RAIS MAGUFULI
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Walimu (CWT) Mkoa wa Singida, Aran Jumbe akizungumza mbele ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa chama hicho ngazi ya mkoa muda mfupi kabla ya kujiuzulu nafasi yake.
![](https://1.bp.blogspot.com/-1iYnaGyXfzk/XsIO8X7ECqI/AAAAAAAAMRs/Vsj9o_ixAskUrFFcI6ullnFDYIiww5XEQCLcBGAsYHQ/s640/2.png)
Mwenyekiti mpya wa chama hicho Mkoa wa Singida, Hamis Mtundua akizungumza baada ya kuchaguliwa.
Mtundua akijaza fomu maalamu ya uongozi. Kushoto ni Afisa Kazi Mkoa wa Singida, Boniface Ntalula.
Baadhi ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CWT ngazi ya mkoa wakifuatilia uchaguzi huo.
Mwenyekiti mpya wa Kitengo cha...
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Kwanini maambukizi ya corona yamepungua ghafla Afrika Kusini?