Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIDEO QUEEN WA LINEX ATISHIWA KUUAWA, KISA KUZAA NA MPENZI WA MTU

Stori: Hamida Hassan
Video Queen wa mwanamuziki Sunday Mangu ‘Linex’ aliyeng’arisha Wimbo wa Ifola, Janeth Bundala amedai kutishiwa maisha na mfanyabiashara mmoja aliyemtaja kwa jina la Johari Ali, kisa kikiwa ni kuzaa na aliyekuwa mpenzi wake. Akizungumza na Ijumaa katika ofisi za gazeti hili, Janeth alisema mama huyo ambaye anamheshimu sana hakutarajia kama angeweza kumtishia maisha wakati mwanaume...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

WASTARA ATISHIWA KUUAWA!

Hamida Hassan Hatari! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma anadai kutishiwa maisha kwa kutumiwa  ujumbe wa WhatsApp na ustaadhi ambaye aliwahi kutangaza kutaka kumuoa, jambo lililosababisha staa huyo kuamua kumfungulia mashtaka. Staa wa sinema za Kibongo, Wastara. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Wastara alifunguka kuwa kutokana na vitisho anavyotumiwa na ustadhi, hivyo akitua Dar kutoka mikoani atakwenda...

 

11 years ago

GPL

ALLY TIMBULO ATISHIWA KUUAWA

HII ni kali lakini haikuwahi kuandikwa, staa wa Bongo Fleva, Ally Timbulo alinusurika kuuawa baada ya kubainika kuwa anatembea na mke wa mtu na mumewe kumsaka kwa udi na uvumba akiwa na bastola mkononi. Staa wa Bongo Fleva, Ally Timbulo Akitema cheche na Untold, Timbulo alisema, katika maisha yake hakuwahi kufikiria kutoka kimapenzi na mtu ambaye yupo kwenye ndoa, isipokuwa mwanadada huyo ambaye anafanya kazi serikalini (jina...

 

11 years ago

GPL

HOYCE TEMU ATISHIWA KUUAWA

Stori: Haruni Sanchawa MMOJA wa wajomba wa Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu, Jacob Temu amekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kumtishia maisha mlimbwende huyo. Tukio la kukamatwa kwa Jacob lilikuja baada ya kutishia kumuua kwa maneno Hoyce pamoja na shangazi yake ambaye ni Hilda Temu, katika mabishano ya wanaukoo juu ya sehemu ya kumzika ndugu yao, marehemu Emmanuel Nambuo Temu (33). Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu. Hoyce aliliambia...

 

10 years ago

GPL

MY GOD! MKE WA MTU AMWAFGIWA MAHARAGE YA MOTO, KISA NI MUME WA MTU

Stori:  Dustan Shekidele, Morogoro My God! Mke wa mtu, Mwajuma Prima amelazwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro baada ya kumwagiwa mwilini sufuria la maharage yalitokuwa yakichemka jikoni, kisa kupeleka maneno ya umbeya kwa mume wa mtu. Mke wa mtu, Mwajuma Prima akiwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri juzikati majira ya saa 12:00 jioni ambapo mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Fatuma ndiye...

 

9 years ago

GPL

MGANGA ANUSURIKA KUUAWA KISA, FUMANIZI

Mganga huyo baada ya kufumaniwa. Na Victor Bariety, Geita  MWANAUME mmoja mkazi wa mtaa wa Mkoani kata mpya ya Bombambili wilayani Geita, mkoani Geita ambaye ni mganga wa kutibu mifupa ya binadamu iliyovunjika, amenusurika kifo baada ya kufumaniwa akidaiwa kufanya mapenzi na mke wa mtu.  ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1MQbCjt

 

11 years ago

GPL

ANUSURIKA KUUAWA, KISA UBAKAJI WA DENTI!

Kijana Said (30) akipatiwa maji baada ya kupewa kichapo kikali kutoka kwa wananchi. Na Joseph Ngilisho, Arusha
MWANAUME anayedaiwa kuwa ni kinara wa ubakaji jijini hapa, Said (30) mkazi wa Mbauda, amenusurika kifo kwa kipigo kutoka kwa raia wenye hasira baada ya kunaswa akitoka kumbaka denti wa kidato cha pili hadi kupoteza fahamu. Said anayetajwa kuwa ‘mwenyekiti’ wa kundi linalojihusisha na ubakaji, alishambuliwa...

 

10 years ago

Vijimambo

KIJANA ANUSURIKA KUUAWA KISA WIZI MAMA AINGILIA KATI KUMUOKOA KIFO



Kijana mmoja mkazi wa Kigogo Sukita jijini Dar es Salam ameambulia kipigo kizito kutoka kwa wananchi wenye hasira kali na kufikia hatua ya kutaka kumchoma moto kutokana na kitendo cha kumuibia simu na shilingi elfu therasini mwanadada ambaye naye ni mkazi wa eneo hilo.
Kutokana na kipondo cha aina yake alichokuwa akipewa na wananchi hao wenye hasira kali walionekana kumpania kutokana na vitendo vyake vya wizi wa mara kwa mara na kutokana na kipigi hicho kilichomfanya atapakae damu mwilimzima,...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa polisi wa Atlanta nchini Marekani ajiuzulu baada ya mtu mweusi kuuawa

Katika kipindi cha wiki tatu, watu kote Marekani wamekuwa wakiandamana kufuatia kifo cha George Flyod, mwanaume mweusi aliyekufa mikononi mwa polisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani