VIDEO QUEEN WA LINEX ATISHIWA KUUAWA, KISA KUZAA NA MPENZI WA MTU
![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfAgeNqSvSXqqV9eJST*y3hV1TTd2xRmarUK77qEu0pxcUO0dVpYB*Tzv6kyY0F-AYjHUNlhg-1iPuDeCRykf7tY/queeen.jpg?width=650)
Stori: Hamida Hassan Video Queen wa mwanamuziki Sunday Mangu ‘Linex’ aliyeng’arisha Wimbo wa Ifola, Janeth Bundala amedai kutishiwa maisha na mfanyabiashara mmoja aliyemtaja kwa jina la Johari Ali, kisa kikiwa ni kuzaa na aliyekuwa mpenzi wake. Akizungumza na Ijumaa katika ofisi za gazeti hili, Janeth alisema mama huyo ambaye anamheshimu sana hakutarajia kama angeweza kumtishia maisha wakati mwanaume...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SryUG9vl6-04SPIBTICFg*Vm05gwlkAcvu6OgPSJnPgRHA9jWNgqyTwkl0pUrDPbUvmxvT1VQ3QamyV6TKUN-KuWSCGjL9We/wastara.jpg?width=650)
WASTARA ATISHIWA KUUAWA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3dClu3zYZuv7CaHNYbrZalg1RK0BBwiviq4KvWIHR1RL2Tj3Cl8*oGoWHBARsG7gfWBo5tFotuqqIYErdnBDMNQsa55SlT8J/TIMBULO.jpg?width=650)
ALLY TIMBULO ATISHIWA KUUAWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KfEqIWZTt634BsDdHYMiVuVAsPxZ4FcvMI5EVNkUgybJ55ofpbm0idUHQq601t1-6W21WLdmrHBaempjY-Qdd7hT9nMCiXJQ/hoyce.jpg?width=650)
HOYCE TEMU ATISHIWA KUUAWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7l-wHj5OnnlF5cRYGvWkpSl4m9PC1BWWJURUBuG7NCe3C-dWORDwz6afU38SaEyBzCNWgziybt560lUa1j5zMqi/MYGODZ.jpg)
MY GOD! MKE WA MTU AMWAFGIWA MAHARAGE YA MOTO, KISA NI MUME WA MTU
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi67J8gaYF-YxVwR*4d-v28tg*mdT3-APknsJeGz-MyZeLA1Nknw4SYTuLEVMJ4cm6F2k7cwrwXuUBQvbNU3PqHTY/IMG_20150726_190248.jpg)
MGANGA ANUSURIKA KUUAWA KISA, FUMANIZI
11 years ago
GPLANUSURIKA KUUAWA, KISA UBAKAJI WA DENTI!
10 years ago
GPL17 Dec
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/2QnKqCSHrMo/default.jpg)
KIJANA ANUSURIKA KUUAWA KISA WIZI MAMA AINGILIA KATI KUMUOKOA KIFO
Kijana mmoja mkazi wa Kigogo Sukita jijini Dar es Salam ameambulia kipigo kizito kutoka kwa wananchi wenye hasira kali na kufikia hatua ya kutaka kumchoma moto kutokana na kitendo cha kumuibia simu na shilingi elfu therasini mwanadada ambaye naye ni mkazi wa eneo hilo.
Kutokana na kipondo cha aina yake alichokuwa akipewa na wananchi hao wenye hasira kali walionekana kumpania kutokana na vitendo vyake vya wizi wa mara kwa mara na kutokana na kipigi hicho kilichomfanya atapakae damu mwilimzima,...
5 years ago
BBCSwahili14 Jun
Mkuu wa polisi wa Atlanta nchini Marekani ajiuzulu baada ya mtu mweusi kuuawa