Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIDEO: RECHO HAULE AACHA SIMANZI

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

NI SIMANZI MSIBA WA MSANII RECHO

Baadhi ya wasanii wa Bongo Movies wakiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya taarifa za msiba wa msanii mwenzao, Rachel Haule 'Recho'. Mume wa marehemu Recho, George Saguda,akiwa na simanzi nzito kufuatia kifo cha…

 

11 years ago

GPL

RECHO HAULE: NINGEKUWA NA MIMBA, NINGEJIRUSHA?

MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Rachel Haule ‘Recho,’ ameendelea kusisitiza kuwa hana ujauzito akidai kama angekuwa nao asingejirusha kwenye viwanja vya starehe. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Rachel Haule ‘Recho,’. Recho alitoa kauli hiyo juzikati baada ya mwandishi wetu kumuuliza kuhusu ujauzito wake ambao unadaiwa ni mkubwa, akachomoa na kusema hana. “Sasa hiyo mimba tangu nimeanza kuambiwa...

 

11 years ago

GPL

NI VILIO, SIMANZI NYUMBANI KWA MAREHEMU RECHO

Miili ya marehemu Recho na mwanae ikiwasili nyumbani kwa marehemu eneo la Palestina jijini Dar.…

 

11 years ago

GPL

MAZISHI YA RECHO HAULE YALIVYOFANYIKA MAKABURI YA KINONDONI DAR

Mwenyekiti wa Bongo Muvi Steven Nyerere akiweka shada la maua katika kaburi. Ndugu wa marehemu wakiweka mashada.…

 

11 years ago

CloudsFM

RECHO HAULE KUZIKWA LEO KATIKA MAKABURI YA KINONDONI

Mwili wa aliyekuwa msanii wa filamu za Kibongo,Rachel Haule ambaye alifariki dunia mwanzoni mwa wiki hii katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar baada ya kujifungua ambapo mtoto wake alifariki muda mfupi na baadaye yeye akafariki,utaagwa leo katika viwanja vya Leaders kuanzia saa nne asubuhi sanjari na mwili wa mtoto wake na kuzikwa leo katika makaburi ya Kinondoni,

 

11 years ago

Michuzi

Msanii nyota wa filamu za Bongo movies Rachel Haule "Recho" afariki dunia

Msanii wa Bongo Movie, Rachel Haule ‘Recho’ (pichani chini), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es slaaam.  Baadhi ya wasanii wa Bongo Movies wakiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya taarifa za msiba wa msanii mwenzao, Rachel Haule 'Recho' mapema leo. Habari zilizothibitishwa na Mwenyekiti wa Bongo Movie, Steve Nyerere, zimesema kuwa Recho alikwenda Muhimbili jana kujifungua ambapo mara baada ya kujifungua mtoto...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Hiyo ni kitu mbaya’: Vilio, simanzi baada ya mabomu kuua 6 Nairobi [VIDEO]

Mabomu hayo yalirindima saa moja unusu jioni katika vijiwe vya Sheraton Café na The New Kwa Muzairua Super Grill Centre, Eastleigh. 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani