VIFO KATIKA AJALI YA BASI NA FUSO MORO VYAONGEZEKA
![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvsKOSTjheC7DjGRZvRZp092dUIInO-9VfRMPQGnhzE8o9IBNmCX6pT0TqUUGmXBuJIJRXm5AualG96w7ksoCPWM/ngangaexpress.jpg?width=650)
IDADI ya vifo vilivyosababishwa na ajali ya basi la Nganga baada ya kugongana uso kwa uso na fuso kisha kuteketea moto jana katika eneo la Iyovi, Ruaha wilayani Kilosa katika barabara ya Morogoro - Iringa imeongezeka na kufikia watu 19. Kamanda wa Polisi Mkoa wa morogoro, Lenard Paul amesema hadi sasa miili sita imetambaulika na mingine bado haijatambulika kutokana na kuharibika vibaya. ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5M96ea7A8buun3i8E5ayJ9tTto8Y-pwvhMZVGGrSVTL-vomRU9umVpOuECj*L8Lg*kMJd4gMPKtqfiAgNat9z8J/chuiBcopy.jpg?width=650)
MAAJABU 5 AJALI YA BASI, FUSO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYgr2MBCXpIb5xrx9CzzxNNNAzneOC48INGTbVjm8NC6HeiOr3VaR1LTg7czZ0Rp5QtBr2*UU5D0qKYdNgXVN7Gp/vifo.jpg)
VIFO VYAONGEZEKA KATIKA KANISA LA TB JOSHUA LILILOPOROMOKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RqdQyZgpKtJihpQR6-iMTlgyfX1YjTA0YOJa1WEn5rRxrnUUJ1aig4S-oTNSVkrxsRMXrB-nMMaq6tEQIcczsAry082pJsVX/AJALI3.jpg?width=650)
AJALI YA BASI LA SIMBA MTOTO NA FUSO YAUA MMOJA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gmAt1NVK7Ro/U1YHUKVh-2I/AAAAAAAFcO4/QgbEvsEiGO8/s72-c/New+Picture+(5).bmp)
Rais Kikwete atuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu,kufuatia vifo vya watu 11 katika ajali ya basi
![](http://3.bp.blogspot.com/-gmAt1NVK7Ro/U1YHUKVh-2I/AAAAAAAFcO4/QgbEvsEiGO8/s1600/New+Picture+(5).bmp)
Katika salamu hizo, Rais Kikwete amesema kuwa ni jambo la kusikitisha kuwa ajali zabarabarani zinaendelea kuchukua maisha ya watu wasiokuwa na hatia.
“Nimepokea kwa huzuni nyingi taarifa ya ajali hiyo ambayo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SCU01bLbFT4/VSooEnr-5nI/AAAAAAAHQgk/YMWvWSNB3Zs/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
ajali ya basi la abiria na lori la Fuso Ruaha Mbuyuni leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-SCU01bLbFT4/VSooEnr-5nI/AAAAAAAHQgk/YMWvWSNB3Zs/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc6IJ-Hb7fvCLroFmPeYjZ4dBHNHUnGi9SLYkqy7MQ*mKFsXmaZ0ArEvxxVdz9aQnFZ0t7B*4TglCUspLlJZjeb8/IMG20150318WA0008.jpg?width=650)
AJALI: BASI LA ABILIA LAGONGANA USO KWA USO NA FUSO LA NYANYA ENEO LA MIKUMI
11 years ago
CloudsFM01 Aug
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI AJALI YA BASI LA MORO BEST
Katika ajali hiyo, watu 13 walifariki katika eneo la ajali, na majeruhi wapatao 56 walifikishwa hospitalini. Kati ya majeruhi hao hadi sasa waliolazwa ni 30 na wengine wameruhusiwa baada ya kupata matibabu.
Rais amemuomba Dkt. Nchimbi kumfikishia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJAMiXspl92E9XXph5bdRL*5U13L3sujBF-HkVh9Dk3m-Z-wK2g5gRs8Iu0sdsVvGldei3WhPyPo9vZl3rR0q7ib/1ajali2.jpg)
BASI LA PRINCESS MURO LAPATA AJALI MIKUMI MKOANI MORO
11 years ago
GPLTASWIRA ZA AJALI YA BASI LA HOOD ILIYOUA MMOJA NA KUJERUHI 27 MKOANI MORO LEO