VIFO VYAONGEZEKA KATIKA KANISA LA TB JOSHUA LILILOPOROMOKA
![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYgr2MBCXpIb5xrx9CzzxNNNAzneOC48INGTbVjm8NC6HeiOr3VaR1LTg7czZ0Rp5QtBr2*UU5D0qKYdNgXVN7Gp/vifo.jpg)
Vikosi vya uokoaji vikiwa eneo lilipoporomoka jengo hilo. IDADI ya watu waliofariki dunia baada ya Kanisa la Mhubiri TB Joshua kuporomoka nchini Nigeria hivi karibuni imefikia 115, huku 84 wakiwa raia wa Afrika Kusini, 7 wa Nigeria na wengine waliobaki wakiwa bado hawajafahamika wanatoka nchi gani. Zaidi ya watu 300 kutoka Afrika Kusini walikuwa wametembelea Kanisa hilo la 'All Nations in Lagos' lililoporomoka siku 10...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvsKOSTjheC7DjGRZvRZp092dUIInO-9VfRMPQGnhzE8o9IBNmCX6pT0TqUUGmXBuJIJRXm5AualG96w7ksoCPWM/ngangaexpress.jpg?width=650)
VIFO KATIKA AJALI YA BASI NA FUSO MORO VYAONGEZEKA
10 years ago
Vijimambo22 Sep
KANISA LA TB JOSHUA LALOPOROMOKA
![](http://api.ning.com/files/2Tkrz8bmcYgr2MBCXpIb5xrx9CzzxNNNAzneOC48INGTbVjm8NC6HeiOr3VaR1LTg7czZ0Rp5QtBr2*UU5D0qKYdNgXVN7Gp/vifo.jpg)
IDADI ya watu waliofariki dunia baada ya Kanisa la Mhubiri TB Joshua kuporomoka nchini Nigeria hivi karibuni imefikia 115, huku 84 wakiwa raia wa Afrika Kusini, 7 wa Nigeria na wengine waliobaki wakiwa bado hawajafahamika wanatoka nchi gani.
Zaidi ya watu 300 kutoka Afrika Kusini walikuwa wametembelea Kanisa hilo la 'All Nations in Lagos' lililoporomoka siku 10 zilizopita.
Inaarifiwa jengo hilo liliporomoka kutokana na ujenzi mbovu.
Ndege...
11 years ago
MichuziMBUNGE JOSHUA NASSARI NA ANANDE NNKO WAMEREMETA KWENYE KANISA LA PENTEKOSTE KILINGA,MERU
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki,Mh. Joshua Nassari na Mai Waifu wake Anande Nnko wakishangiliwa kwa shangwe mara baada ya kumeremeta kwao kwenye kanisa la Kipentekoste la Kilinga,Meru jijini Arusha.
KUONA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
11 years ago
GPLHARUSI YA MBUNGE JOSHUA NASSARI NA ANANDE NNKO KANISA LA PENTEKOSTE KALINGA MERU, YAFANA
11 years ago
Dewji Blog29 Jun
Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa siku ya mwisho wakaribisha watu mbalimbali katika Kanisa lao
Kiongozi wa shule ya Jumapili wa Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa siku za mwisho,Dr, Emanuel Kandusi akiwapatia maelezo mbalimbali kwa watu waliotembelea kanisa hilo wakati wa siku ya wazi kwa ajili ya watu mbalimbali kuangalia shughuli zinazofanywa na kanisa hilo.
Mwakilishi wa Darasa la Mkono msaidizi wa akina mama Happy Ayubu akitoa maelezo kwa watu waliotembelea kanisa hilo.
Baadhi ya watu waliotembelea kanisa hili wakipata maelekezo mbalimbali.
Baadhi ya watu waliotembelea...
11 years ago
GPLKANISA LA NCHI YA AHADI LAWAOMBEA BONGO MUVI KUEPUSHA VIFO
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA DIVISHENI YA AFRIKA MASHARIKI NA KATI WA KANISA LA WAADIVENTISTA WASABATO AWEKA JIWE LA MSINGI LA MSINGI KATIKA KANISA LA WASABATO KIGAMBONI
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-6WAt19OePqw/U9A1PgFWD3I/AAAAAAAF5UQ/KiwdJNW6ltg/s1600/unnamed.jpg?width=650)
MWAKILISHI WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA MATAIFA AOMBOLEZA VIFO VYA ABIRIA KATIKA AJALI YA NDEGE YA MALAYSIA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6WAt19OePqw/U9A1PgFWD3I/AAAAAAAF5UQ/KiwdJNW6ltg/s72-c/unnamed.jpg)
MWAKILISHI WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA MATAIFA AOMBOLEZA VIFO VYA ABIRIA KATIKA AJALI YA NDEGE YA MALAYSIA