KANISA LA TB JOSHUA LALOPOROMOKA
Vikosi vya uokoaji vikiwa eneo lilipoporomoka jengo hilo.
IDADI ya watu waliofariki dunia baada ya Kanisa la Mhubiri TB Joshua kuporomoka nchini Nigeria hivi karibuni imefikia 115, huku 84 wakiwa raia wa Afrika Kusini, 7 wa Nigeria na wengine waliobaki wakiwa bado hawajafahamika wanatoka nchi gani.
Zaidi ya watu 300 kutoka Afrika Kusini walikuwa wametembelea Kanisa hilo la 'All Nations in Lagos' lililoporomoka siku 10 zilizopita.
Inaarifiwa jengo hilo liliporomoka kutokana na ujenzi mbovu.
Ndege...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
VIFO VYAONGEZEKA KATIKA KANISA LA TB JOSHUA LILILOPOROMOKA
11 years ago
MichuziMBUNGE JOSHUA NASSARI NA ANANDE NNKO WAMEREMETA KWENYE KANISA LA PENTEKOSTE KILINGA,MERU
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki,Mh. Joshua Nassari na Mai Waifu wake Anande Nnko wakishangiliwa kwa shangwe mara baada ya kumeremeta kwao kwenye kanisa la Kipentekoste la Kilinga,Meru jijini Arusha.
KUONA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
11 years ago
GPLHARUSI YA MBUNGE JOSHUA NASSARI NA ANANDE NNKO KANISA LA PENTEKOSTE KALINGA MERU, YAFANA
10 years ago
Michuzi
KANISA KATOLIKI POROKIA YA MWANANYAMALA YAZINDUA HARAMBEE KUKARABATI KANISA HILO



10 years ago
Dewji Blog20 Apr
Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala yazindua harambee kukarabati kanisa hilo
Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala, Focus Masawe, akizindua Kadi maalumu na tiketi kwa ajili ya harambee kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanisa hilo jijini Dar es Salaam.
Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala, Focus Masawe, akionyesha Kadi maalumu na tiketi kwa ajili ya harambee kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanisa hilo baada ya kuzindua rasmi
Mwanajumuiya wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala, Stephen Minja, akionyesha Kadi Maalumu ya harambee ya...
11 years ago
Dewji Blog29 Jun
Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa siku ya mwisho wakaribisha watu mbalimbali katika Kanisa lao
Kiongozi wa shule ya Jumapili wa Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa siku za mwisho,Dr, Emanuel Kandusi akiwapatia maelezo mbalimbali kwa watu waliotembelea kanisa hilo wakati wa siku ya wazi kwa ajili ya watu mbalimbali kuangalia shughuli zinazofanywa na kanisa hilo.
Mwakilishi wa Darasa la Mkono msaidizi wa akina mama Happy Ayubu akitoa maelezo kwa watu waliotembelea kanisa hilo.
Baadhi ya watu waliotembelea kanisa hili wakipata maelekezo mbalimbali.
Baadhi ya watu waliotembelea...
11 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA DODOMA AFUNGUA MKUTANO WA KITAIFA WA KANISA MORAVIAN TANZANIA, ATAKA KANISA KULIOMBEA TAIFA
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Kanisa lamkana Mzee wa Kanisa
Ni anayedaiwa kufuga chatu nyumbani ajipanga kumwadhibu kwa kulichafua
Na waandishi wetu, arusha
SAKATA la nyoka aina ya Chatu kukutwa nyumbani kwa Mzee wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Monica jijini hapa, Joseph Magesa, limechukua sura mpya baada ya kanisa kumkana kumtambua.
Juzi, waumini na wananchi walikusanyika kanisani hapo kumshughudia Magesa baada ya kuahidi kuwa angefika kula kiapo, lakini hakuweza kutimiza ahadi hiyo na kuzidisha utata.
Hata hivyo, jana kanisa hilo limesema...
11 years ago
GPL
MZEE WA KANISA ALIFUNGA KANISA!