Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vifo vya watoto vingali juu

Shirika la watoto Save the Children linasema kuwa licha ya mafanikio katika kumaliza vya vifo vya watoto duniani, watoto milioni moja hufariki dunia kila mwaka katika siku yao ya kwanza ya maisha.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Vifo vya watoto vingali vingi

Saa 24 za kwanza za maisha ya mtoto ni muhimu na ni za hatari sana, wengi sana hufa katika siku ya kwanza tangu wanapozaliwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Fahamu nadharia juu ya vifo vya vijana na watu wengine wenye afya njema

Hakuna majibu ya moja kwa moja bali nadharia zinazojaribu kutegua kitendawili cha vifo vya vijana wenye afya.

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete azindua mpango mkakati wa kuongeza kasi ya kupunguza Vifo vya Uzazi na vya Watoto leo

a1

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akionesha jedwali la  alama za ufuatiliaji wa utendaji wa huduma za afya ya mzazi na mtoto wakati wa uzinduzi wa Mpango Mkakati wa Kuongeza kasi ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na vifo vya watoto katika ukumbi wa mikutani wa kimataifa wa Mwalimu Julis Nyerere jijini Dar es salaam leo. Pamoja naye ni Naibu Waziri wa Afya Dkt Kebwe Sthephen Kebwe.

a2

a3

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi kitabu Bibi Halima Shariff, mmoja wa wadau wa afya kutoka...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je vifo vya watoto vimepungua Afrika?

Malengo ya milinenia kupunguza vifo vya watoto wachanga wanaoaga dunia kabla ya kufikisha miaka mitano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania yapunguza vifo vya watoto

Wakati tarehe ya mwisho ya tathmini ya malengo ya maendeleo ya milenia ikikaribia , nchi ya Tanzania ni mojawapo ya nchi ambazo zimefanikiwa kutimiza lengo la kupunguza vifo vya watoto walio chini ya umri wa miaka mitano

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ushirikina wasababisha vifo vya watoto

IMANI za kishirikina zimeelezwa kusababisha vifo vya watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi kwa kutofikishwa hospitali kupata matibabu. Kauli hiyo imetolewa mwishoni mwa wiki na Mwenyekiti wa chama kinachoshughulikia...

 

9 years ago

BBCSwahili

Idadi ya vifo vya watoto imepungua

Umoja wa Mataifa unasema mafanikio makubwa yamepatikana katika kupunguza vifo vya watoto wadogo

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Mwaka ataja sababu za vifo vya watoto

MAELEWANO mabaya kati ya wagonjwa na wauguzi ni miongoni mwa sababu zinazochangia vifo vya watoto wakati wa kujifungua. Hayo yalibainishwa na Daktari wa ForePlan Clinic,  Juma Mwaka, alipozungumza na wahariri...

 

11 years ago

Habarileo

Vifo vya watoto sasa vyapungua kwa 7.2%

Waziri wa Afya Zanzibar, Juma Duni Haji WIZARA ya Afya imesema akinamama wengi wamehamasika na kujifungua katika hospitali za Serikali na kufanikiwa kupunguza vifo vya watoto kwa asilimia 7.2.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani