Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIGEZO 7 MUHIMU KWA MWENZA SAHIHI WA MAISHA YAKO!

MARA nyingi tunapofikiria namna ya kumpata mwenza sahihi, huwa tunaangalia ishu ya kumpata yule mwenye mapenzi ya dhati lakini kumjua anayekupenda kwa dhati ni vigumu sana. Ndiyo maana hapa chini nimekupa vigezo saba vya mtu anayekupenda kwa dhati na anafaa kuwa mwenza wako endapo mtakuwa tayari mmeshaanzisha uhusiano wa kawaida. Mguso wa hisia
Hakika mapenzi ni mguso wa hisia, kwa maana hiyo kigezo kikuu cha kuzingatia kwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

IGEZO 7 MUHIMU KWA MWENZA SAHIHI WA MAISHA YAKO!

MARA nyingi tunapofikiria namna ya kumpata mwenza sahihi, huwa tunaangalia ishu ya kumpata yule mwenye mapenzi ya dhati lakini kumjua anayekupenda kwa dhati ni vigumu sana.

Ndiyo maana hapa chini nimekupa vigezo saba vya mtu anayekupenda kwa dhati na anafaa kuwa mwenza wako endapo mtakuwa tayari mmeshaanzisha uhusiano wa kawaida.

Mguso wa hisia
Hakika mapenzi ni mguso wa hisia, kwa maana hiyo kigezo kikuu cha kuzingatia kwa mtu anayestahili kuwa mwenzi wako wa ndoa ni vile ambavyo hisia zake...

 

9 years ago

Michuzi

KUCHAMGUA RAIS DINI NA UTAJIRI SI VIGEZO MUHIMU KWA WAPIGA KURA DAR ES SALAAM


ASILIMIA 46 ya wananchi wameripoti kuwa sera ndio kigezo muhimu watakachokitumia kumchagua Rais. Vigezo vingine vilivyotajwa na wananchi wengi ni uadilifu na maadili (17%). Hakuna mtu hata mmoja aliyetaja dini au utajiri kama kigezo muhimu cha kumchagua Rais na kigezo cha umri kilitajwa na asilimia moja tu ya wananchi.
Matokeo haya yametolewa na Twaweza kwenye muhtasari wa utafiti wenye jina la Je, Wanajua? Takwimu kuhusu uelewa wa wapiga kura. Muhtasari umetokana na Sauti za Wananchi,...

 

10 years ago

Mwananchi

Unajua kuwa sanaa yako inajumuisha maisha yako binafsi?

“Watu waangalie nini nafanya, burudani gani ninawapa lakini maisha yangu hayawahusu.”

 

11 years ago

Mwananchi

Je, unaweza kuyakabili matatizo yasiathiri furaha yako na maisha yako?

Je, ukikutana na mtu njiani, akakuuliza kama una matatizo katika maisha yako, utamjibu vipi?

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kwa nini shirika la afya duniani linasema hatua ya kujishika uso ni hatari kwa maisha yako?

Ili kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa coronavirus kuingia katika miili yetu, madaktari na maafisa wa afya wanatuambia kutoshika macho yetu, pua na mdomo. Lakini hilo sio rahisi kama inavyofikiriwa.

 

9 years ago

Habarileo

Takwimu sahihi zatajwa kuwa muhimu

OFISI ya Taifa ya Takwimu imesema takwimu sahihi zina umuhimu mkubwa kutokana na kuwa chanzo kikuu cha kupima kasi ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Tundu Lissu ahujumiwa jimboni kwake: Shule ya Msingi Taru yakosa usajili licha ya kuwa na vigezo muhimu vya awali

SAM_0052Jengo la madarasa wanayotumia wanafunzi wa darasa la pili na la tatu kutokana na upungufu wa vyumba vya madarasa katika shule hiyo.

Na.Jumbe Ismailly

[Ikungi, Singida]Shule ya  msingi Taru namba saba iliyopo kata ya Sambaru, tarafa na wilaya ya Ikungi, Mkoani Singida haijasajiliwa kwa kipindi cha miaka sita sasa, hali inayochangia wanafunzi wa darasa la nne kutembea umbali wa kilomita 22 kwenda kufanya mtihani wa kuingia darasa la dano katika shule mama ya Sambaru.

Mwenyekiti wa Kijiji cha...

 

9 years ago

GPL

MAMBO YATAKAYOSABABISHA KURA YAKO IWE IMEHARIBIKA AU SAHIHI


Kura halali zitakazopigwa siku ya Jumapili kwa ajili ya kuwachagua viongozi kwenye Uchaguzi Mkuu zinaweza kuharibika ikiwa hazitapigwa kwa usahihi na kuondoa utata.. Kura iliyoharibika ni ile ambayo: Haina alama yoyote Imepigwa kwa wagombea zaidi ya mmoja Imeandikwa jina la mpiga kura Alama imewekwa nje ya kisanduku cha picha ya mgombea Haina muhuri wenye alama rasmi Kura sahihi;
Yenye alama ya...

 

11 years ago

GPL

SIRI USIZOZIJUA ZA MWENZI SAHIHI WA MAISHA!

ENEO ambalo linahitaji matumizi makubwa na sahihi zaidi ya akili katika maisha ya mwanadamu ni ndoa. Kujua nani anayefaa kuingia katika maisha yake. Baadhi ya watu huona kama ni jambo la kawaida, ambalo hufanywa kwa kutimiza utaratibu wa maisha ya kila siku. Wanakosea sana, linahitaji umakini wa hali ya juu maana haliwezi kujirudia!
Mtu unayetarajia kuungana naye katika ndoa, anatakiwa awe na vigezo vya kutosha. Nitakuambia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani