Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vigogo TRA wakutwa na mamilioni nyumbani

MPANGO*Bosi mpya awataka watumishi wote kutaja mali zao

Na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam

SIKU chache baada ya kigogo mmoja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kubainika kumiliki nyumba 73, wafanyakazi wengine wa mamlaka hiyo wamekutwa na mamilioni ya shilingi waliyoficha majumbani mwao.

Taarifa kutoka ndani ya TRA zinapasha kuwa tangu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa awasimamishe kazi maofisa kadhaa wa mamlaka hiyo, Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na kitengo cha uchunguzi cha mamlaka hiyo, hivi sasa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mtikisiko vigogo TRA

RAIS John Magufuli amemsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Rished Bade, muda mfupi baada ya ziara ya kushitukiza ya Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa iliyofanyika jana.

 

9 years ago

Mtanzania

Dhamana ya vigogo TRA Sh bilioni 7.8

Pg 2Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imeridhia kutoa dhamana kwa watuhumiwa watatu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kuwataka kila mmoja kutoa fedha taslimu Sh bilioni 2.6.

Akisoma uamuzi huo jana, Jaji Winfrida Koroso, aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni Tiagi Masamaki (56) ambaye ni Kamishna wa Forodha wa mamlaka hiyo, Burton Mponezya (51) na Habibu Mponezya (45) ambaye ni Meneja wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja.

Alisema kabla ya kutoa...

 

10 years ago

Mtanzania

Escrow yauma vigogo BoT, TRA

Pg 1Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MKURUGENZI wa Fedha wa Benki Kuu, Julius Angello, Meneja wa Misamaha ya Kodi wa TRA, Kyabukoba Mutabingwa na Mwanasheria Mwandamizi wa Tanesco, Steven Urassa wamepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kupokea rushwa ya zaidi ya Sh bilioni mbili kutoka katika Akaunti ya Tegeta Escrow.
Washtakiwa hao walipandishwa jana kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya mahakimu wawili tofauti na kusomewa mashtaka na Wakili wa Serikali kutoka Taasisi ya Kuzuia na...

 

9 years ago

Mwananchi

Vigogo wa TRA kesi ya makontena nje

Hatimaye vigogo watatu wa Mamlaka ya Mapato (TRA) wanaokabiliwa na kesi ya uhujujmu uchumi kutokana na sakata la upotevu wa makotena 329 kutoka bandari kavu ya Azam, wamerejea uraiani baada ya kuachiwa kwa dhamana.

 

9 years ago

Mwananchi

Dhamana ya vigogo TRA Sh2.16 bilioni

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa masharti magumu ya dhamana kwa vigogo watatu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kati ya washtakiwa wanane wa kesi ya uhujumu uchumi, kutokana na sakata la makontena yaliyoondolewa katika Bandari Kavu ya Azam bila kulipa kodi.     

 

9 years ago

Global Publishers

Watoto wa vigogo TRA wamiliki majumba mabilioni

MPANGO Kaimu Kamishna Mkuu wa TRA, Dk. Philip Mpango.

Na Mwandishi Wetu
KIMENUKA tena! Wakati Rais John Pombe Magufuli ‘JPM’ akiendelea kusimamia zoezi la kutumbua majipu katika sekta na idara za umma kote nchini, imebainika kuwa baadhi ya vigogo wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wamewamilikisha watoto wao wenye umri wa miaka mitatu hadi saba, majumba yenye thamani ya mabilioni ya shilingi, Uwazi linaripoti.

TUJIUNGE NA CHANZO
Chanzo makini kilicho ndani ya TRA kimeliambia gazeti hili kuwa vigogo...

 

10 years ago

Mwananchi

Vigogo escrow waanza kulipa kodi ya TRA

 Baadhi ya vigogo walionufaika na mgawo wa mabilioni ya fedha kutoka katika Akaunti ya Tegeta Escrow wameanza kulipa kodi kuanzia Januari Mosi kama ilivyoagizwa na Serikali.

 

9 years ago

StarTV

Waziri mkuu awasimamisha kazi vigogo wa TRA

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi Kamishna wa Forodha na Ushuru wa Bidhaa nchini Tiagi Masamaki na Habibu Mponezya wa kituo cha huduma kwa wateja na kumwagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu kuhakikisha wote wanakamatwa.

Wengine ni Eliachi Mrema Msimamizi mkuu wa Bandari kavu Dar Es Salaam, Haruni Mpande wa Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano na Hamisi Omar ambapo watumishi wengine Nsajigwa Mwandegele, Robert Nyoni na Anengisye Mtafya...

 

10 years ago

Mwananchi

Vigogo Takukuru, TRA, CAG ‘kikaangoni’ Kamati ya Zitto

>Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) leo inaanza kuwahoji watu mbalimbali waliohusika katika uchunguzi au tuhuma za kashfa ya IPTL kuhusu uchotaji wa Sh306 bilioni katika akaunti ya Escrow iliyoko katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani