Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijana wetu, hazina yetu

Mabadiliko ni kitu kisichoepukika katika maisha ya wanadamu. Maendeleo ya nchi na watu huzuka kwa nchi kukubali kubadilika na mabadiliko.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Msajili wa Vyama vya Siasa: Mrisho Mpoto na Christina Shusho kuwa mabalozi wa kubeba ujumbe wetu wa amani wa “AMANI YETU FAHARI YETU”

DSC_3048

Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi  (katikati) akizungumza na vyombo vya habari mapema leo Oktoba 12 juu ya kuhamasisha Amani pamoja na kuwatangaza rasmi wasanii Mrisho Mpoto (kulia)  na Christine Shusho (kushoto) kuwa mabalozi wa amani wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa  katika kipindi hiki cha Uchaguzi mkuu, huku wakibeba ujumbe wa  “AMANI YETU FAHARI YETU”. (Picha zote na Andrew Chale wa Modewjiblog).

DSC_3062

DSC_3072

DSC_3070

Picha tatu za Jaji Mutungi zikionyesha msisitizo wa suala la Amani...

 

5 years ago

Michuzi

MUUNGANO WETU NI FAHARI YETU


Na Emmanuel J. Shilatu
Ni miaka 56 imetimia tangu jahazi lililowabeba Watanganyika na Wazanzibar liweke historia ya kung’oa nanga mara baada ya Jamhuri Muungano wa Tanzania kuzaliwa rasmi mnamo April 26,1964. Hii ilitokana na ujasiri, ushupavu na nia ya dhati waliyokuwa nayo waasisi wa Muungano huu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Tanganyika) na Abeid Aman Karume (Zanzibar).
Hatua hiyo ilifikiwa kutokana na mtiririko wa kimazingira na mahusiano ambayo yalishabihiana kama sio kufanana...

 

5 years ago

Michuzi

Ubora wa Mazingira yetu ndio Uhai na Ustawi Wetu – Zungu


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Mussa Azzan Zungu akizungumza na washiriki wa mafunzo ya Wakaguzi wa Mazingira katika Siku ya Mazingira Duniani leo tarehe 05 Juni 2020. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akisoma hotuba kwenye kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani leo Juni 5, 2020 jijini Dodoma yaliyoambatana na ufungaji na utoaji vyeti kwa wakaguzi wa mazingira kutoka Mamlaka za Serikali za...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ajenda ya utekelezaji kwa watu wetu na dunia yetu — Nikhil Seth

Press Conference

Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo Endelevu (DESA) ya Umoja wa Mataifa, mjini  New York, Marekani, Bw. Nikhil Seth akifafanua kuhusu mikakati inayoendelea ndani ya Umoja wa Mataifa mwaka huu ili kuwa na Maendeleo Mapya endelevu yatakayochukua nafasi ya Malengo ya Milennia mwishoni mwa mwaka huu wakati wa mkutano na waandishi wa habari.

MWAKA 2015 ni wa kuadhimisha sherehe za miaka 70 ya Umoja wa Mataifa. Pia huu ni mwaka ambao nchi zitakutana kuidhinisha mikakati ijayo ya malengo kwa watu...

 

10 years ago

Vijimambo

Heri Muziki-Nchi Yetu (Muziki Wetu)

Huu wimbo unahusu amani, upendo, uhuru na pia kujivunia na kusherekea utaifa wetu
Artist Name: Heri MuzikiSong Name: Nchi Yetu (Muziki wetu)Produced by: MswakiSongwriters: Adam Kaps, KT, Heri Muziki & Mswaki
Download Link :http://hu.lk/949infc12pvk
attached are1. Nchi Yetu (Muziki wetu)2. Song cover (artwork)3. Promo pic4. Nchi Yetu (Muziki wetu)

 

11 years ago

Mwananchi

Afya ya vijana leo ni mbaya ukilinganisha na yetu zamani- (2)

Vijana wa leo wanatangaziwa mengi mazuri yaliyoenea kila mahali. Lakini, je, yanapatikana? Saikolojia iliyoenea ni kutaka ‘rahisi rahisi’, badala ya ‘aste aste’ na taratibu kwani polepole ndiyo mwendo, lakini vijana wa leo wamekuwa na “haraka haraka haina baraka.”

 

11 years ago

Mwananchi

Afya ya vijana leo ni mbaya ukilinganisha na yetu zamani- (3)

Kitakwimu idadi ya vijana Tanzania ni kubwa zaidi ya wazee, nchi zilizoendelea walipitisha miaka 70 ni wengi sababu ya ubora wa maisha. Lakini hapo hapo Uzunguni yapo ‘mabaya’ yanayostahili kuangaliwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hongera vijana wetu kufanya kweli Brazil

TIMU ya soka ya taifa inayoundwa na watoto wa mitaani, Jumapili iliyopita waliing’arisha Tanzania katika medani ya kimataifa, baada ya kubeba ubingwa wa dunia kwa kuifunga Burundi katika mashindano hayo...

 

11 years ago

Michuzi

TUWAEPUSHE VIJANA WETU NA UHAFIDHINA- NAIBU WAZIRI SILIMA

 Na Mwandishi Maalum, New York  Wakati matukio ya kigaidi yakiendelea kuripotiwa karibu kutoka kila kona ya dunia. Tanzania imesema ipo haja ya msingi ya kitaifa na kimataifa ya kuwaepusha vijana hasa wale wasiokuwa na ajira kurubuniwa na kuwa wahafidhina.  Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Pereira Silima (Mb) ameyasema hayo siku ya Jumatano hapa Umoja wa Mataifa, wakati Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, lilipokutana kujadiliana kuhusu ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani