Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hongera vijana wetu kufanya kweli Brazil

TIMU ya soka ya taifa inayoundwa na watoto wa mitaani, Jumapili iliyopita waliing’arisha Tanzania katika medani ya kimataifa, baada ya kubeba ubingwa wa dunia kwa kuifunga Burundi katika mashindano hayo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania yazidi kufanya kweli Botswana

TIMU ya Tanzania chini ya miaka 15, imeendelea kung’ara kwenye Michezo ya Afrika kwa Vijana (AYG) kwa upande wa soka baada ya kuichapa Swaziland mabao 3-0. Mabao ya Tanzania katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Vijana wetu, hazina yetu

Mabadiliko ni kitu kisichoepukika katika maisha ya wanadamu. Maendeleo ya nchi na watu huzuka kwa nchi kukubali kubadilika na mabadiliko.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mgimwa: Aibu watoto wetu kufanya kazi za ndani

MBUNGE wa Kalenga mkoani Iringa Godfrey Mgimwa amewataka wazazi kuacha tabia ya kuwapeleka watoto wao waliohitimu darasa la saba kufanya kazi za ndani mijini kwa kuwa ni aibu kwa wakazi...

 

10 years ago

Mwananchi

Msanii wa filamu aliyeamua kufanya kweli kwenye uchungaji

Tabia hujenga mazoea, au mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Hii yote ni misemo ya wahenga , na kwa upande mwingine baadhi ya watu hufikia kuamini kuwa kazi anayoifanya mtu fulani huweza kuathiri utamaduni wake katika maisha yake ya kila siku.

 

11 years ago

Mwananchi

Ni kweli kuwa wanasiasa wetu ni watu wa watu?

Moja ya sifa za nje ya ofisi ambazo Rais Jakaya Kikwete anamwagiwa na Watanzania ni ile ya ushiriki wake katika masuala ya kijamii.

 

10 years ago

Bongo Movies

Ni Kweli Wema Anatamni Kufanya Kama Amber Rose? Soma Alichoandika

HAPA NA PALE: Moja kati ya mastori ya makubwa kabisa kwenye ulimwengu wa ‘Gossip ‘  ni kitendo cha mwanadada Amber Rose kuiambia dunia kuwa penzi lake lipo kwa aliekuwa mpenzi wake Wiz Khalifa haijalishi watu watasemaje kwani Wiz ndio mwanaume anaempa furaha na amani ya moyo wake kitu kinachoashilia huenda wawili hao kwasasa mambo shwaari.

“My ManCrushEveryday you know what it is.... We went wrong somewhere and even if we never ever get back together ( Even tho I pray, dream and hope we do)...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ni Kweli Wema Anatamani Kufanya Kama Amber Rose? Soma Alichoandika

HAPA NA PALE: Moja kati ya mastori ya makubwa kabisa kwenye ulimwengu wa ‘Gossip ‘  ni kitendo cha mwanadada Amber Rose kuiambia dunia kuwa penzi lake lipo kwa aliekuwa mpenzi wake Wiz Khalifa haijalishi watu watasemaje kwani Wiz ndio mwanaume anaempa furaha na amani ya moyo wake kitu kinachoashilia huenda wawili hao kwasasa mambo shwaari.

“My ManCrushEveryday you know what it is.... We went wrong somewhere and even if we never ever get back together ( Even tho I pray, dream and hope we do)...

 

11 years ago

Michuzi

TUWAEPUSHE VIJANA WETU NA UHAFIDHINA- NAIBU WAZIRI SILIMA

 Na Mwandishi Maalum, New York  Wakati matukio ya kigaidi yakiendelea kuripotiwa karibu kutoka kila kona ya dunia. Tanzania imesema ipo haja ya msingi ya kitaifa na kimataifa ya kuwaepusha vijana hasa wale wasiokuwa na ajira kurubuniwa na kuwa wahafidhina.  Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Pereira Silima (Mb) ameyasema hayo siku ya Jumatano hapa Umoja wa Mataifa, wakati Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, lilipokutana kujadiliana kuhusu ...

 

9 years ago

Bongo5

Morali ya biashara na ujasiri wa kufanya miradi mipya kwa wasanii wetu ifufuliwe!

50 Cent amesaini mkataba mpya wa miaka miwili na kituo cha runinga cha Starz kubuni miradi mipya na wakati huo huo akiendelea kuwa producer wa tamthilia ya Power. Jay Z anasherehekea mtandao wake wa kusikiliza muziki, Tidal kufikisha watumiaji milioni moja na mwezi huu atapiga show kali jijini New York ambayo mapato yake yataenda kwenye […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani