Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijiji Mbeya kupatiwa umeme karibuni

SERIKALI imesema imekamilisha kazi ya kupeleka umeme katika Kata ya Iseye na Itendi zilizoko Jimbo la Mbeya Mjini. Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Nishati na Madini,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Vijiji nane kupatiwa umeme

VIJIJI nane vya wilaya ya Nzega vinatarajia kunufaika na mradi wa umeme kupitia Mpango Kabambe wa Umeme Vijijini Awamu ya Pili chini ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Naibu Waziri...

 

10 years ago

Habarileo

Vijiji 1,500 nchini kupatiwa umeme

AWAMU ya Pili ya mradi wa usambazaji wa umeme vijijini, unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) unatarajiwa kukamilika kwa mafanikio Juni mwaka huu, ikiwa ni pamoja na kuvipatia umeme vijiji 1,500.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Vijiji 244 kupata umeme Mbeya




WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda NA MWANDISHI WETU, MBEYA.WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema serikali itatumia sh. bilioni 55 kuvipatia umeme vijiji 244 vya mkoa wa Mbeya, kupitia Miradi ya Umeme Vijijini (REA). Alitoa kauli hiyo jana, wakati akizungumza na viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Mbeya, waliofika kusikiliza majumuisho ya ziara yake ya siku saba kwenye mkoa huo. Mkutano huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Mkapa, jijini Mbeya.
“Nimeambiwa kuwa katika mwaka 2014/15, jumla ya vijiji 244 vitapatiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Vijiji zaidi nchini kupatiwa mawasiliano

Jumla ya vijiji 1,800 vinatarajiwa kupatiwa mawasiliano ya simu ya Teknolojia ya Mawasiliano ya Habari (Tehama ) ifikapo mwakani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijiji 800 kupatiwa mawasiliano ya simu

VIJIJI 869 vyenye wakazi 1,617,370 vitafaidika na mradi wa mawasiliano kwa wote utakaotolewa na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na makampuni ya simu. Katika mradi huo utakaotekelezwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwimba kupatiwa majisafi karibuni

WAZIRI wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe, amewahakikishia wananchi wa Kwimba na mji wa Ngudu mkoani Mwanza kwamba ifikapo Aprili 29 mwaka huu, watakuwa wanapata huduma ya majisafi ya kunywa kutoka...

 

11 years ago

Michuzi

Wakazi wa Vijijini Mkoani Ruvuma kupatiwa umeme

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akielekea eneo la jukwaa mara baada ya kuwasili katika eneo palipofanyika uzinduzi wa mradi wa kusambaza umeme vijijini unaosimamiwa na Wakala wa Umeme Vijijini (REA) wilaya ya Nyasa. Kulia kwake ni Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo na kushoto kwake ni Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli

Rais Jakaya M. Kikwete akichukua mkasi kwa ajili ya kukata utepe tayari kuelekea katika eneo la uzinduzi wa mradi wa usambazaji wa umeme wilayani Nyasa mkoa wa...

 

5 years ago

Michuzi

Wachimbaji Wadogo wa Madini Manyoni Waomba kupatiwa Umeme


Wachimbaji wa Madini wakiendelea na shughuli za uchimbaji wa madini katika machimbo ya dhahabu yaliyopo katika eneo la Londoni wilayani Manyoni mkoani Singida tarehe 18 Aprili, 2020.
Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Singida, Mjiolojia Chone Malembo (kulia)akibadilishana mawazo na mmiliki wa mgodi wa Paulo Msalaba na Washirika, Martin Thomas (kushoto) katika machimbo ya dhahabu yaliyopo katika eneo la Londoni wilayani Manyoni mkoani Singida tarehe 18 Aprili, 2020. Mmiliki wa mgodi wa Paulo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shule, vituo vya afya Ngara kupatiwa umeme

SERIKALI imesema itazipatia huduma ya umeme shule za sekondari na vituo vya afya wilayani Ngara baada ya kukamilika kwa ujenzi wa mitambo ya kuzalisha umeme kutoka Kampuni ya Zwart Techniek...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani