Kwimba kupatiwa majisafi karibuni
WAZIRI wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe, amewahakikishia wananchi wa Kwimba na mji wa Ngudu mkoani Mwanza kwamba ifikapo Aprili 29 mwaka huu, watakuwa wanapata huduma ya majisafi ya kunywa kutoka...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xiGmw0ueoCY/XvTSvlMdADI/AAAAAAALveg/F5OUjq0Qd9cyZnCBU1sFjUmG_6dTBdhpgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-25%2Bat%2B7.32.18%2BPM.jpeg)
KANYIGO KUPATIWA MAJISAFI NA SALAMA KUFIKIA JULAI MWAKA HUU .
Na Abdullatif Yunus Michuzi TV.
Serikali kupitia Wizara ya Maji Nchini ipo mbioni kupeleka huduma ya Majisafi katika Vijiji vinne Katani Kanyigo Wilayani Missenyi, Mkoani Kagera ifikapo Julai Mwaka huu.
Hayo yamebainika katika Ziara iliyofanywa na Mkuu wa Wilaya Missenyi wakati akitembelea na kukagua ujenzi wa mradi wa maji safi Kata Kanyigo unaohusisha Vijiji vya Kikukwe, Bugombe, Kigarama na Bweyunge, unaotarajiwa kuhudumia Kaya 2,986 sawa na wakazi 10,986 wenye zaidi ya Shilingi Milioni...
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Vijiji Mbeya kupatiwa umeme karibuni
SERIKALI imesema imekamilisha kazi ya kupeleka umeme katika Kata ya Iseye na Itendi zilizoko Jimbo la Mbeya Mjini. Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Nishati na Madini,...
10 years ago
Habarileo01 Apr
Trilioni 1/- kuweka sawa majisafi na taka Dar
WIZARA ya Maji imesema mpango maalumu wa uboreshaji huduma za Majisafi na Majitaka jijini Dar es Salaam unatarajiwa kugharimu Sh trilioni 1, Bunge limeelezwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nmUkhDRb_a8/XszfHEMQljI/AAAAAAALrkY/3_FP8LmakTEx0iNwnyb9YEGFrDkqq0oZQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200427-WA0038.jpg)
UTEUZI; MHANDISI TAMIMU TWAHA ATEULIWA KUWA MKURUGENZI WA MAMLAKA YA MAJISAFI NA USAFI WA MAZINGIRA, MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-nmUkhDRb_a8/XszfHEMQljI/AAAAAAALrkY/3_FP8LmakTEx0iNwnyb9YEGFrDkqq0oZQCLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200427-WA0038.jpg)
Taarifa ya Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo imemtaja aliyeteuliwa kuwa ni Mhandisi Tamimu Twaha Katakweba. Aidha, kufuatia uteuzi huu Mhandisi Katakweba anakuwa Katibu wa Bodi ya Wakurugenzi wa MORUWASA.
Uteuzi huu umefanyika chini ya Sheria Namba 5 ya Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira ya mwaka 2019. Kitengo cha...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CigJpKZEpUs/VYpyaj-s1gI/AAAAAAAAfcM/2mkEw7xIfhk/s72-c/2.jpg)
KINANA KWIMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-CigJpKZEpUs/VYpyaj-s1gI/AAAAAAAAfcM/2mkEw7xIfhk/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E9dgpwzvIgM/VYpybwskSRI/AAAAAAAAfcU/LkEEb0ajbq0/s640/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kX3YULFIwog/VYpyc6mHwZI/AAAAAAAAfcY/g1DNFnDjupE/s640/6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jzSHIcm8MW8/VYpyyqQ_OBI/AAAAAAAAfdE/AtzVrKdbMyE/s640/16.jpg)
10 years ago
Habarileo09 Jan
UN yaguswa na albino wa Kwimba
MKURUGENZI Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa, Alvaro Rodriguez amesema Umoja wa Mataifa (UN) umesikitishwa na kitendo cha kuporwa kwa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, Pendo Emmanuel (4) na watu wasiojulikana kilichotokea katika kijiji cha Ndami wilayani Kwimba mkoani hapa ambapo hadi sasa bado hajapatikana.
11 years ago
TheCitizen13 Mar
Emulate kwimba residents
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-HRsroybOikc/VYpyZh-aYII/AAAAAAAAfcE/vKNG-S9RnRk/s72-c/1.jpg)
KINANA AITIKISA CHADEMA KWIMBA
Mwenyekiti wa Kijiji kutoka Chadema ajiuzulu nakujiunga na CCM
![](http://4.bp.blogspot.com/-HRsroybOikc/VYpyZh-aYII/AAAAAAAAfcE/vKNG-S9RnRk/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CigJpKZEpUs/VYpyaj-s1gI/AAAAAAAAfcM/2mkEw7xIfhk/s640/2.jpg)
10 years ago
Habarileo08 Jan
Albino wa Kwimba atafutwa usiku na mchana
JESHI la polisi mkoani Mwanza limesema hadi kufikia jana mtoto mwenye ulemavu wa ngozi Pendo Emmanuel (4) aliyeporwa katika kijiji cha Ndami wilayani Kwimba alikuwa hajapatikana.