Vijimambo: Baba na Mama Cookie Wanauliza…..
Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ‘mama Cookie’ kupitia ukurasa wake mtandaoni, liweka picha hiyo hapo juu akiwa Moses Iyobo ambaye ni mzazi mwezie na kuwauliza hivi mashabiki zake
“Dady na Mom wa 'Kabinti Spesho'Hebu Nambie unahisi Cookie atakuwa kafanana na Nani???kati ya hawa!”
Akaendelea
“Je Wapenz Eti Mnataman Kabint Spesho kapate Rangi kama ya Nani Mama au Baba?”
Hata humu wapo mashabiki wa Aunt, Tafadhari mpeni majibu…
Mzee wa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies02 Nov
Aunt Ezekiel Awapa Makavu Wanaoponda Penzi Lake na Baba Cookie
Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ‘mama Cookie’ ambaye amezaa na mcheza shoo wa msanii Diamond Platnumz, Moses Iyobo amewapa makavu wale wote wanaodani kuwa amepotea kwa kitendo chake cha kuzaa na mcheza shoo huyo.
Kupitia ukurasa wake mtandaon, Aunt aliweka picha hiyo hapo juu ya Iyobo na kuandika haya.
“Kazi ni kazi ilimradi mkono uende kinywani nyinyi na Maboss wenu mimi na Dancer wangu wote tunatembelea makalio pumbavuu kaza buti Dady Cookie wangu nakupenda hvyohvyo.....”
Ujumbe...
10 years ago
Dewji Blog22 May
Staa wa Bongo Movie, Aunt Ezekiel sasa ni Mama COOKIE!! ajifungua mtoto wa kike
Aunt Ezekiel
Na Andrew Chale, Modewji blog
Ilikuwa si rahisi kama ilivyojulikana na wengi hasa kwa namna ya ‘fans’ wa staa wa filamu za Bongo maalufu Bongo Movie, kujua hatma ya ujauzito wake ambao ulikuwa ukifuatiliwa na wengi. staa huyo si mwingine ni Aunty Ezekiel (pichani), katika kipindii chote cha ujauzito wake. Lakini kwa neema za Mungu, Asubuhi ya Mei 21.2015, staa huyo aliweza kuifungulia dunia kwa kumleta mtoto wa kike.
Hata hivyo, Mtoto huyo tayari jina lake limeshajulikana...
10 years ago
Vijimambo21 Jun
10 years ago
Bongo Movies16 Jan
VIJIMAMBO:Steve Nyerere Amganda Mama Lulu Kifuani!!
Aliye kuwa Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steven Nyerere hivi karibuni aliibua miguno baada ya kumganda kifuani mama wa msanii Elizabeth Michael, Lucresia Karugila huku akionekana kutotaka kubanduka mwilini mwa mama huyo.
Tukio hilo lililowafanya watu wabaki wakiwa wamepigwa butwaa, lilijiri ndani ya Hoteli ya Landmark jijini Dar kulikokuwa na uzinduzi wa kitabu cha Marehemu Steven Kanumba kiitwacho The Great Follen Tree.
Awali, waalikwa kwenye sherehe hiyo waliinuka na kwenda kucheza wimbo wa...
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Waandishi nao wanauliza, wajibiwa
10 years ago
Habarileo21 Aug
'Baba, mama rudini bungeni'
KAMATI Kuu ya Baraza la Watoto wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekutana mjini hapa na kutoa tamko la kuwataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) waliowatambulisha kama baba na mama zao, kurudi bungeni kukamilisha kazi waliyoianza.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NHPaItPS5EgzxUmAcRUliO-N2yZYRsdW2vmbxyM*Ab9vbVF5sf3iu74yYrM4twsLYL0jQ*OsI*Aq359QrpTTgMkvYFfBVRQS/IGYUI.jpg?width=650)
BABA AMUUMBUA MAMA KANUMBA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VEmjh*oDsul9s2kopcfsVpmUshDeOSE*NyzvttGjpXAA0ujMR-*vktuZHGTPT9r8DjN6mwgW7*Lu3GZMRlohgB2gyDb3-Hmo/baba.jpg)
MAMA, BABA WADAIWA KUMSULUBU MTOTO!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/skuCKHlxf8VDn1TrT1UN-1usrA*WakZpuAfPSld1LP3V3OlFvos9XjB21RuQmljsTB*SPAOr2bE-QlxTuLrutuuFvFdai9HQ/RisasiJmooo.jpg)
BABA, MAMA DIAMOND HOI KITANDANI