Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waandishi nao wanauliza, wajibiwa

Kila wiki ninakutana na wasomaji kati ya 30 na 40 wa magazeti ya Mwananchi, MwanaSpoti na The Citizen. Ni kupitia simu ya kiganjani. Wapo wanaopiga, kutuma ujumbe na wengine kuniandikia baruapepe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Vijimambo: Baba na Mama Cookie Wanauliza…..

Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ‘mama Cookie’ kupitia ukurasa wake mtandaoni, liweka picha hiyo hapo juu akiwa  Moses Iyobo  ambaye ni mzazi mwezie na kuwauliza hivi mashabiki zake

“Dady na Mom wa 'Kabinti Spesho'Hebu Nambie unahisi Cookie atakuwa kafanana na Nani???kati ya hawa!”

Akaendelea

“Je Wapenz Eti Mnataman Kabint Spesho kapate Rangi kama ya Nani Mama au Baba?”

Hata humu wapo mashabiki wa Aunt, Tafadhari mpeni majibu…

Mzee wa...

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA HARAMBEE KUWASAIDIA WAANDISHI WA HABARI YAKABIDHI MILIONI 20 KWA WAANDISHI WENYE MAHITAJI YA MATIBABU

 Mwenyekiti wa Kamati ya Harambee ya Kuwasaidia waandishi wanaougua maradhi mbali mbali, Bw. Benjamin Thompson akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani), ndani ya Idara ya Habari MAELEZO,mapema leo jijini Dar kuhusiana na matokeo ya harambee ya Media Car Wash for Cancer Campaign, inayoendelea nchini.  Mwenyekiti wa Kamati ya Harambee ya Kuwasaidia waandishi wanaougua maradhi mbali mbali, Bw. Benjamin Thompson akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa habari (hawapo...

 

10 years ago

Mwananchi

Ufundi nao kukopeshwa

Serikali imeahidi kuangalia utaratibu wa kuanzisha mfumo wa kugharimia elimu ya ufundi nchini ili kuwawezesha wanafunzi kupata mikopo kama wa elimu ya juu. Lengo likiwa ni kuwapata wataalamu wa kutosha katika viwanda na sekta nyingine.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chakua nao walalamikia uteuzi wa JK

CHAMA cha Kutetea Abiria (CHAKUA) kimeungana na baadhi ya taasisi za kidini katika kupinga uteuzi uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kwa kuzibagua taasisi...

 

10 years ago

Mwananchi

Tusipowalinda polisi nao hawatatulinda

Tumeendelea kushuhudia majanga yakiliandama Jeshi la Polisi nchini kwa baadhi ya vituo vyake kuvamiwa na majambazi na kuporwa silaha, huku askari wake wakiuawa na wengine kujeruhiwa. 

 

10 years ago

Mwananchi

Watayarishaji filamu nao waibuka

Lile sakata la kushushwa kwa bei za filamu, limeingia katika sura mpya baada ya watayarishaji wa filamu nchini kujitokeza na kutoa malalamiko yao kwa Bodi ya Filamu, kuhusu kutoshirikishwa katika vikao vinavyoendelea.

 

10 years ago

Mwananchi

Watoa ahadi ‘hewa’ nao waadhibiwe

Tunapokea ahadi nyingi sana kutoka vyanzo mbalimbali. Kutoka kwa wenzetu katika ndoa, wazazi na watoto wetu, viongozi wetu wa dini, serikali, vyama n.k.

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Mwananchi

Makamba Wassira nao wawekwa kikaangoni

>Kamati ndogo ya Maadili ya CCM imeendelea kuwahoji wanachama wake walioonyesha nia ya kuwania urais, jana ilikuwa zamu ya mawaziri watatu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani