Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tusipowalinda polisi nao hawatatulinda

Tumeendelea kushuhudia majanga yakiliandama Jeshi la Polisi nchini kwa baadhi ya vituo vyake kuvamiwa na majambazi na kuporwa silaha, huku askari wake wakiuawa na wengine kujeruhiwa. 

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WATU WANNE MIKONONI MWA POLISI KWA TUHUMA ZA WIZI WA MABILIONI YA FEDHA YA BENKI YA NBC, POLISI TISA NAO MBARONI

Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu wanne waliokuwa wafanyakazi wa kampuni ya ulinzi ya G4S Security kwa tuhuma za wizi wa Sh.1.280,000,000, Dola za Marekani 402,000 na Euro 27,700 huku pia likiwashikilia askari wa polisi tisa kwa tuhuma za kuchukua sehemu ya fedha hizo kutoka kwa mmoja ya watuhumiwa. 
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam , Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amewataja...

 

10 years ago

Mwananchi

Tanroads, Polisi nao wabanwe katika matukio ya ajali

Jana katika ukurasa wa kwanza wa gazeti hili kulikuwa na habari iliyosomeka ‘Uchunguzi wabaini sababu za kutokoma kwa ajali za barabarani’. 

 

9 years ago

Raia Mwema

Kingunge kakurupuka, Polisi nao wamekurupuka kifo cha Mtikila

HATIMAYE tumebakiwa na takriban wiki mbili tu kabla ya Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika hapo Ok

Evarist Chahali

 

10 years ago

Mwananchi

Ufundi nao kukopeshwa

Serikali imeahidi kuangalia utaratibu wa kuanzisha mfumo wa kugharimia elimu ya ufundi nchini ili kuwawezesha wanafunzi kupata mikopo kama wa elimu ya juu. Lengo likiwa ni kuwapata wataalamu wa kutosha katika viwanda na sekta nyingine.

 

10 years ago

Mwananchi

Watayarishaji filamu nao waibuka

Lile sakata la kushushwa kwa bei za filamu, limeingia katika sura mpya baada ya watayarishaji wa filamu nchini kujitokeza na kutoa malalamiko yao kwa Bodi ya Filamu, kuhusu kutoshirikishwa katika vikao vinavyoendelea.

 

9 years ago

Mwananchi

Waandishi nao wanauliza, wajibiwa

Kila wiki ninakutana na wasomaji kati ya 30 na 40 wa magazeti ya Mwananchi, MwanaSpoti na The Citizen. Ni kupitia simu ya kiganjani. Wapo wanaopiga, kutuma ujumbe na wengine kuniandikia baruapepe.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chakua nao walalamikia uteuzi wa JK

CHAMA cha Kutetea Abiria (CHAKUA) kimeungana na baadhi ya taasisi za kidini katika kupinga uteuzi uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kwa kuzibagua taasisi...

 

11 years ago

Mwananchi

Makamba Wassira nao wawekwa kikaangoni

>Kamati ndogo ya Maadili ya CCM imeendelea kuwahoji wanachama wake walioonyesha nia ya kuwania urais, jana ilikuwa zamu ya mawaziri watatu.

 

10 years ago

Mwananchi

Watoa ahadi ‘hewa’ nao waadhibiwe

Tunapokea ahadi nyingi sana kutoka vyanzo mbalimbali. Kutoka kwa wenzetu katika ndoa, wazazi na watoto wetu, viongozi wetu wa dini, serikali, vyama n.k.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani