Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoa ahadi ‘hewa’ nao waadhibiwe

Tunapokea ahadi nyingi sana kutoka vyanzo mbalimbali. Kutoka kwa wenzetu katika ndoa, wazazi na watoto wetu, viongozi wetu wa dini, serikali, vyama n.k.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Waliolipa mishahara hewa waadhibiwe

>Kauli ya Wizara ya Fedha wiki iliyopita kwamba imeokoa zaidi ya Sh54 bilioni za malipo hewa ya mishahara na malimbikizo ya madai ya walimu ni uthibitisho tosha kwamba kuna mtandao mpana wa wizi na udanganyifu katika wizara na taasisi za Serikali unaoratibiwa na watendaji wa ngazi za juu.

 

11 years ago

Mwananchi

Ahadi hewa katika soka hazitakiwi

Mchezo wa soka siyo siasa. Madhara ya kuchanganya siasa na soka wote tunayafahamu. Soka la Tanzania linapukutika umaarufu kutokana na viongozi kuingiza siasa ndani yake. Mifano iko mingi!

 

10 years ago

GPL

MUHEZA WANANCHI: AHADI NYINGI ZA MBUNGE NI HEWA

Mheshimiwa Hebert Mtangi kushoto akiwa kazini. Stori: Abdallah Juma, Muheza
Muheza ni moja kati ya wilaya nane zinazounda Mkoa wa Tanga. Kwa upande wa Kaskazini, Muheza inapakana na nchi ya Kenya, upande wa Mashariki kuna Jiji la Tanga na Bahari ya Hindi, Kusini inapakana na Wilaya ya Pangani wakati Magharibi kuna wilaya za Lushoto na Korogwe. Pia Muheza ni Jimbo la uchaguzi lenye jumla ya kata 37, likiongozwa na Mheshimiwa...

 

11 years ago

Bongo5

Video:Terrance J, Chaka Zulu na David Banner watimiza ahadi ya Kikwete, watoa funzo kwa wasanii

Bongo5 leo imepata nafasi ya kufanya mahojiano na wadau wakubwa wa Muziki, filamu na maigizo kutoka Marekani ambao Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete aliwaahidi wasanii wa muziki na filamu siku ya uzinduzi wa kampeni ya kuhamasisha uzalendo kwa vijana jijini Dodoma wiki kadhaa zilizopita. Terrance J, Chaka Zulu, Ravi Shelton na David Banner Wadau hao ni […]

 

10 years ago

Vijimambo

MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI

Dr. Agnes Kijazi, TMA Director General and Permanent Representative of Tanzania with the World Meteorological Organization (WMO) and Dr. Rob Varley, the UK Met Office Chief Executive Officer and Permanent Representative of UK with WMO signed a memorandum of understanding for a joint project in support of Climate Service Development in Tanzania. The signing ceremony was witnessed by Dr. Ladislaus Chang’a, TMA Director of Research and Applied Meteorology and Ms. Jane Wardley from the UK Met...

 

10 years ago

Michuzi

MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Ofisi ya Hali ya Hewa ya Uingereza (UK Met Office) wamesaini mkataba wa makubaliano ya uboreshaji huduma za hali ya hewa hapa nchini. Mkataba huo umesainiwa tarehe 11 Novemba, 2014 wakati wa kikao cha masuala ya hali ya hewa (IBCS) kilichofanyika mjini Geneva Uswiss.
Akizungumzia makubaliano hayo Dkt Agnes Kijazi alisema Mamlaka ya Hali ya Hewa ililiomba Shirika la Hali ya Hewa Duniani kuisaidia TMA kuboresha huduma zake ili ziwe za kisasa...

 

10 years ago

Mwananchi

KONA YA MAKENGEZA : Ahadi za nani zitatufikisha kwenye nchi ya ahadi?

Ama kweli, mwaka wa uchaguzi ni mwaka wa uchafuzi. Nimesema mara nyingi kwamba wanasiasa huwa wanajiona miungu kabisa. Wakiona kitu, wanasema, na iwe, ikawa jioni, ikawa asubuhi siku ya kwanza. Ni sawa. Hasa katika mwaka wa uchafuzi. Hawasubiri hadi hata asubuhi, ikawa jioni ikawa usiku mambo yote yatakuwa sawa na mbinguni.

 

11 years ago

Mwananchi

Ahadi, ahadi sasa zimetosha kwenye klabu

Kuna msemo unaosema “miluzi mingi humpoteza mbwa”. Kwamba mbwa anayeongozwa na miluzi kufanya jambo fulani, anaweza kushindwa kutekeleza maelekezo ya bosi wake iwapo miluzi itazidishwa.

 

11 years ago

Mwananchi

NIDHAMU: Wawakilishi watoro waadhibiwe - Balozi

>Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd amesema wakati umefika kwa Baraza la Wawakilishi kuweka adhabu kali ili kudhibiti vitendo vya utoro vinavyofanywa na baadhi ya wawakilishi na kusababisha kamati za matumizi kushindwa na kutofikiwa kwa akidi ya mahudhurio.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani