MAONI: Waliolipa mishahara hewa waadhibiwe
>Kauli ya Wizara ya Fedha wiki iliyopita kwamba imeokoa zaidi ya Sh54 bilioni za malipo hewa ya mishahara na malimbikizo ya madai ya walimu ni uthibitisho tosha kwamba kuna mtandao mpana wa wizi na udanganyifu katika wizara na taasisi za Serikali unaoratibiwa na watendaji wa ngazi za juu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Oct
Waliolipa mishahara hewa kukiona
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ametoa onyo kwa watumishi wote ambao watabainika kushiriki kulipa madeni hewa ya walimu kwa njia ya udanganyifu na wizi, kama ilivyobainika katika deni la Sh bilioni 10.5 hapo awali.
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Watoa ahadi ‘hewa’ nao waadhibiwe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E2q56SVxnZcnD0sU6k12DaJcxQmotjb3R7gdrDxrV1gA7kScq70A3tZ-Fc519n7S1ffGN84aWeP9oeCcWmQs757J04xQ-FNQ/02.jpg?width=650)
WIZI WA MISHAHARA HEWA UNADHIBITIKA
10 years ago
Mtanzania19 Sep
Mishahara hewa yaizundua Serikali
![Mwigulu Nchemba](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Mwigulu-Nchemba.jpg)
Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba
Aziza Masoud,Dar es Salaam
SERIKALI imekabidhi majina ya taasisi na kampuni mbalimbali zilizohusika kutoa mishahara hewa na kuisababishia Taifa hasara ya mabilioni ya fedha kwa vyombo vya usalama ili hatua stahiki za kisheria zichukuliwe.
Akizungumza mjini Dar es Salaam jana, Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Mwigulu Nchemba alisema baada ya kupata taarifa za ubadhilifu huo wizara iliunda timu ambayo ilifanya uchambuzi katika baadhi ya taasisi na ...
10 years ago
Habarileo08 Sep
Serikali yaokoa bilioni 40/- mishahara hewa
SERIKALI imeokoa Sh bilioni 40 zinazodaiwa zilikuwa zikiingia kwenye mifuko ya watu wachache kutokana na ulipaji wa mishahara hewa.
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Mwigulu: Sh1.6 trilioni mishahara hewa
10 years ago
Vijimambo24 Nov
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Kura ya maoni na hofu ya hali ya hewa
11 years ago
Mwananchi13 Jun
BAJETI 2014/2015: Kodi ya mishahara yapungua kiduchu, mishahara juu