Mishahara hewa yaizundua Serikali
Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba
Aziza Masoud,Dar es Salaam
SERIKALI imekabidhi majina ya taasisi na kampuni mbalimbali zilizohusika kutoa mishahara hewa na kuisababishia Taifa hasara ya mabilioni ya fedha kwa vyombo vya usalama ili hatua stahiki za kisheria zichukuliwe.
Akizungumza mjini Dar es Salaam jana, Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Mwigulu Nchemba alisema baada ya kupata taarifa za ubadhilifu huo wizara iliunda timu ambayo ilifanya uchambuzi katika baadhi ya taasisi na ...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo08 Sep
Serikali yaokoa bilioni 40/- mishahara hewa
SERIKALI imeokoa Sh bilioni 40 zinazodaiwa zilikuwa zikiingia kwenye mifuko ya watu wachache kutokana na ulipaji wa mishahara hewa.
11 years ago
GPL
WIZI WA MISHAHARA HEWA UNADHIBITIKA
11 years ago
Habarileo06 Oct
Waliolipa mishahara hewa kukiona
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ametoa onyo kwa watumishi wote ambao watabainika kushiriki kulipa madeni hewa ya walimu kwa njia ya udanganyifu na wizi, kama ilivyobainika katika deni la Sh bilioni 10.5 hapo awali.
11 years ago
Mwananchi07 Sep
MAONI: Waliolipa mishahara hewa waadhibiwe
11 years ago
Mwananchi12 Oct
Mwigulu: Sh1.6 trilioni mishahara hewa
10 years ago
Vijimambo24 Nov
11 years ago
Mwananchi13 Jun
BAJETI 2014/2015: Kodi ya mishahara yapungua kiduchu, mishahara juu
11 years ago
Dewji Blog19 Sep
Serikali: Mishahara ya watumishi umma kulipwa kupitia akaunti
Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba.
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Serikali imeagiza watumishi wote wa umma walipwe mishahara moja kwa moja kupitia akaunti zao sahihi za benki ambazo zitatumika kupitishia mishahara yao.
Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba alipokuwa akiongea na waandishi wa habari ofisi za Hazina leo jijini Dar es salaam.
“Mishahara ya Watumishi wote wa Serikali, wakala na taasisi za umma italipwa moja kwa moja kupitia akaunti zao za banki” alisema...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Serikali yatoa ufafanuzi malipo ya mishahara ya watumishi ya mwezi Julai
.jpg)
.jpg)