Serikali yaokoa bilioni 40/- mishahara hewa
SERIKALI imeokoa Sh bilioni 40 zinazodaiwa zilikuwa zikiingia kwenye mifuko ya watu wachache kutokana na ulipaji wa mishahara hewa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania19 Sep
Mishahara hewa yaizundua Serikali
![Mwigulu Nchemba](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Mwigulu-Nchemba.jpg)
Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba
Aziza Masoud,Dar es Salaam
SERIKALI imekabidhi majina ya taasisi na kampuni mbalimbali zilizohusika kutoa mishahara hewa na kuisababishia Taifa hasara ya mabilioni ya fedha kwa vyombo vya usalama ili hatua stahiki za kisheria zichukuliwe.
Akizungumza mjini Dar es Salaam jana, Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Mwigulu Nchemba alisema baada ya kupata taarifa za ubadhilifu huo wizara iliunda timu ambayo ilifanya uchambuzi katika baadhi ya taasisi na ...
10 years ago
Habarileo26 Aug
Takukuru yaokoa bilioni 38.9/-
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imesema imeokoa zaidi ya Sh bilioni 38.9 zilizotarajiwa kuingia katika mikono ya wajanja wachache kwa mwaka wa fedha 2013/2014.
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
TMAA yaokoa bilioni 3/- Pwani, Dar
WAKALA wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), imeokoa zaidi ya sh bilioni 3 kwa mwaka kutokana ukusanyaji kodi katika shughuli za uchimbaji madini ya ujenzi na viwandani mikoa ya Dar...
11 years ago
Habarileo15 Jun
TMAA yaokoa bilioni 15/- vita ya utoroshaji madini
WAKALA wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) umefanikiwa kudhibiti utoroshaji wa madini yenye thamani takribani Sh bilioni 15.72 katika viwanja vitatu vya ndege hapa nchini tangu mwezi Julai 2012 hadi Machi 2014 na imeahidi kuongeza kasi ya udhibiti.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E2q56SVxnZcnD0sU6k12DaJcxQmotjb3R7gdrDxrV1gA7kScq70A3tZ-Fc519n7S1ffGN84aWeP9oeCcWmQs757J04xQ-FNQ/02.jpg?width=650)
WIZI WA MISHAHARA HEWA UNADHIBITIKA
10 years ago
Habarileo06 Oct
Waliolipa mishahara hewa kukiona
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ametoa onyo kwa watumishi wote ambao watabainika kushiriki kulipa madeni hewa ya walimu kwa njia ya udanganyifu na wizi, kama ilivyobainika katika deni la Sh bilioni 10.5 hapo awali.
10 years ago
Mwananchi07 Sep
MAONI: Waliolipa mishahara hewa waadhibiwe
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Mwigulu: Sh1.6 trilioni mishahara hewa
9 years ago
Global Publishers23 Dec
KADCO yaokoa zaidi ya bilioni 2 Uwanja wa Ndege wa KIA ndani ya wiki 1
![](http://3.bp.blogspot.com/-eMYDVtXF45s/Vnod9WQt3XI/AAAAAAAAY5w/cJtUNt5blNI/s640/IMG_1887%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ff547u68UUE/Vnod_1x_HGI/AAAAAAAAY58/I_Qhm11oyIQ/s640/IMG_2148%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uDwYlrDcGJ4/VnoeH89Y2WI/AAAAAAAAY6I/vO2xaiqe3Mw/s640/IMG_2155%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uLwF-i9kr7E/VnoeH8NZvOI/AAAAAAAAY6E/pKSl8jRrCIk/s640/IMG_2169%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3dN5zK0mwVU/VnoeI53-haI/AAAAAAAAY6Q/Me6Rtp_O2rw/s640/IMG_2170%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5LKNzlvzjkU/Vnod9OSYGBI/AAAAAAAAY5s/CrTby9C_ZGQ/s640/IMG_1888%2B%25281024x683%2529.jpg)
Na Dixon...