TMAA yaokoa bilioni 3/- Pwani, Dar
WAKALA wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), imeokoa zaidi ya sh bilioni 3 kwa mwaka kutokana ukusanyaji kodi katika shughuli za uchimbaji madini ya ujenzi na viwandani mikoa ya Dar...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Jun
TMAA yaokoa bilioni 15/- vita ya utoroshaji madini
WAKALA wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) umefanikiwa kudhibiti utoroshaji wa madini yenye thamani takribani Sh bilioni 15.72 katika viwanja vitatu vya ndege hapa nchini tangu mwezi Julai 2012 hadi Machi 2014 na imeahidi kuongeza kasi ya udhibiti.
10 years ago
Habarileo26 Aug
Takukuru yaokoa bilioni 38.9/-
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imesema imeokoa zaidi ya Sh bilioni 38.9 zilizotarajiwa kuingia katika mikono ya wajanja wachache kwa mwaka wa fedha 2013/2014.
10 years ago
Habarileo08 Sep
Serikali yaokoa bilioni 40/- mishahara hewa
SERIKALI imeokoa Sh bilioni 40 zinazodaiwa zilikuwa zikiingia kwenye mifuko ya watu wachache kutokana na ulipaji wa mishahara hewa.
9 years ago
Global Publishers23 Dec
KADCO yaokoa zaidi ya bilioni 2 Uwanja wa Ndege wa KIA ndani ya wiki 1
![](http://3.bp.blogspot.com/-eMYDVtXF45s/Vnod9WQt3XI/AAAAAAAAY5w/cJtUNt5blNI/s640/IMG_1887%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ff547u68UUE/Vnod_1x_HGI/AAAAAAAAY58/I_Qhm11oyIQ/s640/IMG_2148%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uDwYlrDcGJ4/VnoeH89Y2WI/AAAAAAAAY6I/vO2xaiqe3Mw/s640/IMG_2155%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uLwF-i9kr7E/VnoeH8NZvOI/AAAAAAAAY6E/pKSl8jRrCIk/s640/IMG_2169%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3dN5zK0mwVU/VnoeI53-haI/AAAAAAAAY6Q/Me6Rtp_O2rw/s640/IMG_2170%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5LKNzlvzjkU/Vnod9OSYGBI/AAAAAAAAY5s/CrTby9C_ZGQ/s640/IMG_1888%2B%25281024x683%2529.jpg)
Na Dixon...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ff547u68UUE/Vnod_1x_HGI/AAAAAAAAY58/I_Qhm11oyIQ/s72-c/IMG_2148%2B%25281024x683%2529.jpg)
KADCO YAOKOA ZAIDI YA BILIONI 2 UWANJA WA NDEGE WA KIA NDANI YA WIKI MOJA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ff547u68UUE/Vnod_1x_HGI/AAAAAAAAY58/I_Qhm11oyIQ/s640/IMG_2148%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uDwYlrDcGJ4/VnoeH89Y2WI/AAAAAAAAY6I/vO2xaiqe3Mw/s640/IMG_2155%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3dN5zK0mwVU/VnoeI53-haI/AAAAAAAAY6Q/Me6Rtp_O2rw/s640/IMG_2170%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5LKNzlvzjkU/Vnod9OSYGBI/AAAAAAAAY5s/CrTby9C_ZGQ/s640/IMG_1888%2B%25281024x683%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EoW4SwwtKdk/XqFhILMKpxI/AAAAAAALn9A/rjXjI3EGoKUmHArbZ-xpgDkfS63GMajJgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
TAKUKURU Njombe yaokoa Bilioni 1,769,161,693.31 kwenye chunguzi zinazohusu AMCOS na SACCOS
Na Amiri kilagalila,Njombe
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU mkoa wa Njombe imefanikiwa kuokoa Bilioni 1,769,161,693.31 kutokana na chunguzi zinazohusu AMCOS na SACCOS mkoani humo.
Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Njombe Bi,Domina Mukama ameyasema hayo wakati akitoa taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya taasisi hiyo kwa kipindi cha Januari-Machi 2020.
“Jumla ya SACCOS na AMCOS 85 katika mkoa wa Njombe zilikuwa zinachunguzwa 14 Makambako,6 Ludewa,19 Makete,13 Wanging’ombe,35 hapa...
10 years ago
Vijimambo05 Dec
10 years ago
Habarileo08 Oct
TMAA kukabili machimbo haramu
WAKALA wa Ukaguzi wa Madini nchini (TMAA) umesema migodi haramu ya madini ya ujenzi imekuwa ikiikosesha Serikali mapato kutokana na kufanya shughuli za uchimbaji wa madini hayo kinyume na sheria.
10 years ago
Mwananchi19 Feb
TMAA yagundua njia 400 utoroshaji madini