TMAA kukabili machimbo haramu
WAKALA wa Ukaguzi wa Madini nchini (TMAA) umesema migodi haramu ya madini ya ujenzi imekuwa ikiikosesha Serikali mapato kutokana na kufanya shughuli za uchimbaji wa madini hayo kinyume na sheria.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Kituo cha kuendeleza Samaki Kanda ya Kati chatoa siku saba kwa wavuvi haramu kusalimisha zana haramu wanazotumia
Baadhi ya nyavu haramu zisizoruhusiwa kutumika kuvulia samaki kwenye bwawa la Kijiji cha Mwanzugi,wilayani Igunga.
Na. Jumbe Ismailly
[IGUNGA] Kituo cha kuendeleza samaki Kanda ya kati,chenye makao yake makuu wilayani Igunga,Mkoani Tabora kimetoa muda wa siku saba kuanzia sasa kwa watu wote wanaojishughulisha na uvuvi...
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
TMAA yaokoa bilioni 3/- Pwani, Dar
WAKALA wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), imeokoa zaidi ya sh bilioni 3 kwa mwaka kutokana ukusanyaji kodi katika shughuli za uchimbaji madini ya ujenzi na viwandani mikoa ya Dar...
10 years ago
Mwananchi19 Feb
TMAA yagundua njia 400 utoroshaji madini
11 years ago
Habarileo15 Jun
TMAA yaokoa bilioni 15/- vita ya utoroshaji madini
WAKALA wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) umefanikiwa kudhibiti utoroshaji wa madini yenye thamani takribani Sh bilioni 15.72 katika viwanja vitatu vya ndege hapa nchini tangu mwezi Julai 2012 hadi Machi 2014 na imeahidi kuongeza kasi ya udhibiti.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CCTqxZ5ezhc/VG4fg9S4opI/AAAAAAAGyeo/LiFB9PBin-8/s72-c/unnamed.jpg)
TMAA yapiga mnada madini yaliyokamatwa yakitoroshwa nje ya nchi
![](http://1.bp.blogspot.com/-CCTqxZ5ezhc/VG4fg9S4opI/AAAAAAAGyeo/LiFB9PBin-8/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Madini na Ujenzi: TMAA yaamka sasa, yakusanya mabilioni ya kodi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-o6pPnVMr3hE/VDP1vxVXa7I/AAAAAAAGohc/4tBDUAI3XAM/s72-c/unnamed%2B(91).jpg)
TMAA imeiwezesha Serikali kukusanya mrabaha wa jumla ya shilingi billioni 5.2
Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) imeiwezesha Serikali kukusanya mrabaha wa jumla ya shilingi billioni 5.2 tangu kuanzishwa kwa wakala huo.
Hayo yamesemwa na Kaimu Mkurugenzi uzalishaji na usafirishaji wa madini Bwn Conrad Mtui wakati wa ziara ya waandishi wa habari walipotembelea migodi ya Lugoba na Msolwa Chalinze, hivi karibuni.
“Wakala umefanikiwa kukusanya jumla ya shilingi bilioni 5.2 kutokana na madini hayo yaliyozalishwa na kuuzwa na...
10 years ago
Mwananchi20 Jun
Machimbo yachangia mimba za utotoni
10 years ago
BBCSwahili28 Jul
Machimbo yazua maafa Kenya