WIZI WA MISHAHARA HEWA UNADHIBITIKA
![](http://api.ning.com:80/files/E2q56SVxnZcnD0sU6k12DaJcxQmotjb3R7gdrDxrV1gA7kScq70A3tZ-Fc519n7S1ffGN84aWeP9oeCcWmQs757J04xQ-FNQ/02.jpg?width=650)
KWA mara nyingine, ninapenda kuchukua nafasi hii kumshukuru sana Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema kwa kuweza kunifikisha hapa leo, kiasi cha kuweza kuzungumza na nyinyi leo kupitia safu yetu hii. Ninasema kila mara kwamba ukarimu wa Mwenyezi Mungu ni wa ajabu sana, kwa sababu anaweza kutenda miujiza hata kwa watu ambao hadi leo hawajaona umuhimu wake na wanafanya mambo kana kwamba wao ndiyo wenye ufalme hapa duniani. Hakuna...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania19 Sep
Mishahara hewa yaizundua Serikali
![Mwigulu Nchemba](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Mwigulu-Nchemba.jpg)
Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba
Aziza Masoud,Dar es Salaam
SERIKALI imekabidhi majina ya taasisi na kampuni mbalimbali zilizohusika kutoa mishahara hewa na kuisababishia Taifa hasara ya mabilioni ya fedha kwa vyombo vya usalama ili hatua stahiki za kisheria zichukuliwe.
Akizungumza mjini Dar es Salaam jana, Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Mwigulu Nchemba alisema baada ya kupata taarifa za ubadhilifu huo wizara iliunda timu ambayo ilifanya uchambuzi katika baadhi ya taasisi na ...
10 years ago
Habarileo06 Oct
Waliolipa mishahara hewa kukiona
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ametoa onyo kwa watumishi wote ambao watabainika kushiriki kulipa madeni hewa ya walimu kwa njia ya udanganyifu na wizi, kama ilivyobainika katika deni la Sh bilioni 10.5 hapo awali.
10 years ago
Habarileo08 Sep
Serikali yaokoa bilioni 40/- mishahara hewa
SERIKALI imeokoa Sh bilioni 40 zinazodaiwa zilikuwa zikiingia kwenye mifuko ya watu wachache kutokana na ulipaji wa mishahara hewa.
10 years ago
Mwananchi07 Sep
MAONI: Waliolipa mishahara hewa waadhibiwe
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Mwigulu: Sh1.6 trilioni mishahara hewa
10 years ago
Vijimambo24 Nov
11 years ago
Mwananchi13 Jun
BAJETI 2014/2015: Kodi ya mishahara yapungua kiduchu, mishahara juu
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s6H8gBDNMEY/VIVjIbUrWrI/AAAAAAAG16A/Rbr5217A81c/s72-c/unnamed%2B(68).jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI
Akizungumzia makubaliano hayo Dkt Agnes Kijazi alisema Mamlaka ya Hali ya Hewa ililiomba Shirika la Hali ya Hewa Duniani kuisaidia TMA kuboresha huduma zake ili ziwe za kisasa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-jUsys5IIb-Q/VIWWTCotiOI/AAAAAAADRKQ/czUQxGXW8lo/s72-c/uk-met.jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jUsys5IIb-Q/VIWWTCotiOI/AAAAAAADRKQ/czUQxGXW8lo/s1600/uk-met.jpg)