VIJIMAMBO: Kwa Kauli Hii, Uwoja Ana Ujauzito?!!
Staa mrembo wa Bongo, Irene Uwoya amewaacha njia panda mashabiki wake baada ya kubandika picha mtandaoni akionekana yupo bafuni akiwa amejishika tumbo na kuiandikia maneno akiwatata mashabiki wamtajiae majina mazuri ya kike.
“Ntajie majina mazuri yakike unayoyapenda.....”- Uwoya aliandika.
Kauli hii ilizua maswali mengi kutoka kwa mashabiki wakioji kama mrembo ambae ni mama wa mtoto mmoja kama anaujamzito au la, wengine walienda mbali zaidi wakisema kuwa inawezekana akawa ni mjauzito na...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1Jrgjh5cg9gQbDoa0w*8XO7Y*vp29emxWWLugLwTimIsZrWIeGZbq6sqQSiAU45cNkFqRvJhBIfaAfki7My*jkbcA1/6.jpg)
ANA UJAUZITO WAKO? MSAIDIE KWA KUFANYA HAYA-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1Jrgjh5cg9gQbDoa0w*8XO7Y*vp29emxWWLugLwTimIsZrWIeGZbq6sqQSiAU45cNkFqRvJhBIfaAfki7My*jkbcA1/6.jpg)
ANA UJAUZITO WAKO? MSAIDIE KWA KUFANYA HAYA
9 years ago
Bongo512 Dec
Agnes Masogange ana ujauzito wa Davido?
![masogange4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/masogange4-300x194.jpg)
Kama ni ‘kiki’ basi imefanikiwa, kwa sababu hadi mitandao ya Nigeria imeripoti kuwa kuna uwezekano Agnes Masogange akawa na ujauzito wa staa wa Naija, Davido.
Agnes na Davido wameonekana kuwa karibu siku za hivi karibuni, baada ya kuwa wanapost picha tofauti tofauti wakiwa wanakula bata pamoja kama couple.
Mtandao wa Pulse wa Nigeria umeandika kuwa kuna uwezekano malkia huyo wa ‘shepu’ Bongo, Agnes akawa na ujauzito wa Davido baada ya kupost picha ya kipimo cha mimba kinachoonesha...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/1j5JkbsFB30/default.jpg)
9 years ago
Bongo531 Oct
Faiza Ally asema huenda ana ujauzito wa mpenzi wake Mmarekani
![faiza A](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/faiza-A-94x94.jpg)
10 years ago
Bongo Movies05 Jun
Amanda Poshy azua maswali yasiyo na majibu kwa kauli hii.
Amanda Poshy azua maswali yasiyo na majibu kwa kauli hii.
Leo kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii mwanadada Amanda Poshy amezua maswali yasiyo na majibu baada ya kuandika maneno ambayo wengi wameshindwa kujua yana maana gani kwani yamekaa kimafumbo flani hivi.
Kauli hii ya mwanadada Amanda inakuja siku chache tu baada ya mrembo Irene uwoya kuongelea jambo kama hili hili siku mbili zilizopita.
Amanda poshy ameongelea mambo mengi yakiwemo “Kuchukuliana mabwana kwa waigizaji wa...
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Hii ndio kauli ya Thomas Muller ambayo ni pigo kwa klabu ya Man United ya Uingereza …
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ujerumani anayekipiga katika klabu ya FC Bayern Munich ya kwao Ujerumani Thomas Muller, December 18 ameingia katika headlines baada ya kuamua maamuzi tofauti ila ni pigo kwa klabu ya Man United. Muller ambaye ana mudu kucheza nafasi ya winga, mshambuliaji pamoja na kiungo ameamua kuongeza mkataba na FC Bayern, maamuzi ambayo […]
The post Hii ndio kauli ya Thomas Muller ambayo ni pigo kwa klabu ya Man United ya Uingereza … appeared first on...
10 years ago
Bongo Movies18 Apr
Kwa kauli hii, Je, unafikiri mwanamuziki bella anatafuta KIKI au anamaanisha alichosema juu ya Zari?
Jana kupitia kwenye mtandao mmoja wa kijamii mwanadada msanii wa bongo fleva, Bela fasta alipost picha {Hiyo hapo juu} yenye maneno ya kashfa kwa mwanadada Zari, picha iliyokuwa na maneno yanayosema kuwa mwanadada huyo mpenzi wa msanii Dimaond Platnumz “hana mvuto na wala ujauzito alio nao haumpendezi hata kidogo na kwamba mwili wake sio mzuri kushinda wa mwanadada wema sepetu” aliyekuwa mpenzi wa Diamond hapo kabla.
Kauli iliyomfanya mwanadada huyo kuwa gumzo leo kwenye mitandao ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-tQC6r7EIiMM/VMp9smqWm3I/AAAAAAAAnbY/HVlKszOFG1Y/s72-c/lusinde.png)
"Kuna Tatizo gani Lipumba Kupigwa Nawapongeza sana Polisi kwa Kumpiga"Hii ni kauli ya Lusinde Bungeni
![](http://1.bp.blogspot.com/-tQC6r7EIiMM/VMp9smqWm3I/AAAAAAAAnbY/HVlKszOFG1Y/s1600/lusinde.png)
Lusinde: Bunge linapokwenda mwishoni wabunge wenye hali mbaya majimboni...