Viongozi mbalimbali watembelea banda la Mambo ya Nje sabasaba
Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam Suleiman Kova akisaini kitabu cha wageni alipotembelea Banda la Maonesho la Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa katika Viwanja vya Sabasaba
Mtumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bi. Janeth Widambe akipata maelezo alipotembelea Banda la Mambo ya Nje katika Viwanja vya Sabasaba
Wananchi wakiwa wamefurika katika Banda la Maonesho la Mambo ya Nje katika Viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Kamanda wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi05 Jul
JK Atembelea Banda la Mambo ya Nje, Sabasaba
9 years ago
Dewji Blog15 Sep
Uteuzi wa Balozi wa Tanzania nchini Malawi na viongozi ngazi mbalimbali Wizara ya Mambo ya Nje
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Ndugu Victoria Richard Mwakasege (pichani) kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi. Kabla ya uteuzi wake, Ndugu Mwakasege alikuwa Naibu Balozi wa Tanzania nchini Burundi.
Aidha, Rais Kikwete amemteua Msaidizi wa Rais wa Diplomasia, Balozi Samwel Shelukindo kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje naUshirikiano wa Kimataifa.
Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK) Balozi Ombeni...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-N75jbtIVSy8/VZMARECGxqI/AAAAAAAHmBQ/47xU4XFkXYk/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
UJUMBE WA WAFANYABIASHARA KUTOKA KOREA WATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KWENYE MAONESHO YA SABASABA
![](http://3.bp.blogspot.com/-N75jbtIVSy8/VZMARECGxqI/AAAAAAAHmBQ/47xU4XFkXYk/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sehPEip0RsI/VZMAQ8xB2EI/AAAAAAAHmBI/Fyi3g8UQd-4/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
11 years ago
MichuziWATANZANIA WAENDELEA KUMIMINIKA KATIKA BANDA LA PPF SABASABA KUJIPATIA HUDUMA MBALIMBALI
11 years ago
GPLWATANZANIA WAENDELEA KUMIMINIKA KATIKA BANDA LA PPF SABASABA KUJIPATIA HUDUMA MBALIMBALI
11 years ago
Dewji Blog03 Jul
Mambo yameiva ndani ya banda la MeTL Group kwenye maonyesho ya Sabasaba!
Muonekano wa lango kuu la kuingia ndani ya banda la Makampuni ya MeTL Group kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yaliyozinduliwa rasmi jana kwa kupewa baraka na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Sefu Iddi katika Uwanja wa Maonesho wa Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.
Utajiuliza kwani LG wapo ndani ya Banda la MeTL Group kwenye maonyesho ya Sabasaba kwa sababu MeTL Group wamekuwa Mawakala waliothibitishwa Tanzania nzima (Authorized...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/DSC_0004.jpg)
MAMBO YAMEIVA NDANI YA BANDA LA MeTL GROUP KWENYE MAONYESHO YA SABASABA!
10 years ago
Michuzi20 Jun
WASANII MAARUFU WA VICHEKESHO WATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
![000000](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/000000.jpg)
10 years ago
MichuziUJUMBE WA MAREKANI WATEMBELEA WIZARA YA MAMBO YA NJE