VIONGOZI WA UKAWA WASHIRIKI KUAGA MWILI WA DR EMANUEL MAKAIDI
CHADEMA Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV21 Oct
Lowassa aongoza mamia kuaga mwili wa Makaidi Dar.
Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) anayeungwa Mkono na Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA , Edward Lowassa ameongoza mamia ya wakazi wa Jiji la Dar Es Salaam kuuaga Mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha NLD na Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA, Dkt Emmanuel Makaidi.
Marehemu Emmanuel Makaidi alifariki Dunia Octoba 15 katika Hospitali ya Nyagao iliyopo Mkoani Lindi alikokuwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa Shinikizo la Juu la Damu.
Katika...
11 years ago
MichuziMh. Lowassa na Mh. Walioba washiriki Ibada ya Kuaga Mwili wa Mbunge wa Zamani wa Karatu,Marehemu Patrick Qorro jijini dar leo
9 years ago
GPL
MWILI WA DK. MAKAIDI WAAGWA KARIMJEE, KUZIKWA SINZA
9 years ago
MichuziMAMIA WAAGA MWILI WA DK.EMMANUEL MAKAIDI VIWANJA VYA KARIMJEE DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
GPL
9 years ago
Habarileo25 Nov
Pingamizi kuaga mwili wa Mawazo latupwa
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mwanza imetupa pingamizi lililowekwa na Serikali katika shauri la kuzuia kuagwa kwa mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema mkoani Geita, Alphonce Mawazo aliyeuawa hivi karibuni na watu wasiojulikana.
10 years ago
Mtanzania20 Apr
Sitta aongoza kuaga mwili wa Kihwele
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta jana ameongoza wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), kuaga mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Reli (TRAWU), Erasto Kihwele aliyefariki dunia Aprili 17 mwaka huu.
Marehemu Kihwele aliagwa na mamia ya watu katika ukumbi wa TAZARA ambako huzuni na vilio vilitawala.
Akizungumza wa kutoa salamu za rambirambi,Waziri Sitta alisema alimfahamu Kihwele muda mfupi.
Alisema enzi za uhai wake,...
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Makaidi kuwania urais kupitia Ukawa
9 years ago
TheCitizen16 Oct
Ukawa, and family plan Makaidi's funeral