Viongozi wa Ulaya kuamua hatima ya Ugiriki
Mkutano wa kujadili madeni ya Ugiriki, mjini Brussels, utaamua iwapo Ugiriki itabaki katika umoja wa nchi zinazotumia sarafu ya euro au la
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania08 May
Marais EAC kuamua hatima ya Nkurunziza
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
WAKUU wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanatarajia kukutana Dar es Saalam Mei 13 mwaka huu, katika mkutano wa dharura utakaoamua hatima ya Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi.
Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa jana, ilieleza kuwa hatua hiyo imechukuliwa wiki chache baada ya amani kuchafuka nchini Burundi kutokana na chama tawala cha CNDD-FDD kumteua Rais Nkurunziza kuwania nafasi hiyo kwa muhula wa...
9 years ago
Habarileo07 Sep
Wauza mawese kuamua hatima ya wabunge
KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT – Wazalendo, Kabwe Zitto amesema kuwa wauza mawese ndiyo wataamua hatima ya ubunge wa wagombea ubunge mkoani Kigoma.
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Hoja kuamua hatima Bunge la katiba leo
10 years ago
BBCSwahili19 Feb
Ulaya kuridhia kuinusuru Ugiriki?
10 years ago
BBCSwahili25 Jun
Ulaya na Ugiriki zimetofautiana zaidi
10 years ago
BBCSwahili20 Feb
Uchumi wa Ugiriki bado matatani Ulaya
10 years ago
BBCSwahili28 Jun
Ulaya yakubali kuipa Ugiriki mkopo
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Ulaya yakubali kuipa Ugiriki mkopo zaidi
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Video:Ulaya kuipa Ugiriki mkopo zaidi