Wauza mawese kuamua hatima ya wabunge
KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT – Wazalendo, Kabwe Zitto amesema kuwa wauza mawese ndiyo wataamua hatima ya ubunge wa wagombea ubunge mkoani Kigoma.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania08 May
Marais EAC kuamua hatima ya Nkurunziza
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
WAKUU wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanatarajia kukutana Dar es Saalam Mei 13 mwaka huu, katika mkutano wa dharura utakaoamua hatima ya Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi.
Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa jana, ilieleza kuwa hatua hiyo imechukuliwa wiki chache baada ya amani kuchafuka nchini Burundi kutokana na chama tawala cha CNDD-FDD kumteua Rais Nkurunziza kuwania nafasi hiyo kwa muhula wa...
10 years ago
BBCSwahili11 Jul
Viongozi wa Ulaya kuamua hatima ya Ugiriki
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Hoja kuamua hatima Bunge la katiba leo
10 years ago
Habarileo25 Mar
Wabunge wataka wauza ‘unga’ wanyongwe
SERIKALI imewasilisha bungeni Muswada wa Sheria ya Udhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya wa mwaka 2014, unaopendekeza wanaobainika kufanya biashara hiyo, watozwe faini ya Sh bilioni moja au kifungo cha maisha.
11 years ago
Mwananchi11 Jun
Misimamo, ukweli, fitina:Utatu unaoweka rehani hatima ya wabunge 2015
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba ipeni nchi yetu hatima njema
HOTUBA ya Rais Jakaya Kikwete imechukuliwa kuwa ni hotuba ya kuwashinikiza, kushauri na kuelekeza nini kifanyike katika mchakato wa kujadili rasimu ya pili ya Katiba mpya ndani ya Bunge Maalumu...
10 years ago
BBCSwahili23 Jul
Ukulima wa Mawese Liberia wazuliwa baa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaIdzv3jrCLakvC3la1NFVyYo4it1mtw9BocsLJvVY-tnNg1UJ57jG5mjZulqQmVpKptrB7sG-e0xj461aITR4Xg/KceeMarket2.jpg?width=650)
KCEE ANASWA SOKONI AKINUNUA MAFUTA YA MAWESE
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/1.Baadhi-ya-vijana-wakioneka-wakiondoa-mafuta-barabarani-yaliyomwangika..jpg)
GARI LAMWAGA MAFUTA YA MAWESE, LASABAISHA UTELEZI BARABARANI DAR