Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wauza mawese kuamua hatima ya wabunge

KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT – Wazalendo, Kabwe Zitto amesema kuwa wauza mawese ndiyo wataamua hatima ya ubunge wa wagombea ubunge mkoani Kigoma.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Marais EAC kuamua hatima ya Nkurunziza

Burundi's President Pierre NkurunzizaNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
WAKUU wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanatarajia kukutana Dar es Saalam Mei 13 mwaka huu, katika mkutano wa dharura utakaoamua hatima ya Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi.
Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa jana, ilieleza kuwa hatua hiyo imechukuliwa wiki chache baada ya amani kuchafuka nchini Burundi kutokana na chama tawala cha CNDD-FDD kumteua Rais Nkurunziza kuwania nafasi hiyo kwa muhula wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa Ulaya kuamua hatima ya Ugiriki

Mkutano wa kujadili madeni ya Ugiriki, mjini Brussels, utaamua iwapo Ugiriki itabaki katika umoja wa nchi zinazotumia sarafu ya euro au la

 

10 years ago

Mwananchi

Hoja kuamua hatima Bunge la katiba leo

Hatima ya kesi mbili za kupinga Bunge la Katiba, inatarajiwa kujulikana leo wakati Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wake.

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge wataka wauza ‘unga’ wanyongwe

SERIKALI imewasilisha bungeni Muswada wa Sheria ya Udhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya wa mwaka 2014, unaopendekeza wanaobainika kufanya biashara hiyo, watozwe faini ya Sh bilioni moja au kifungo cha maisha.

 

11 years ago

Mwananchi

Misimamo, ukweli, fitina:Utatu unaoweka rehani hatima ya wabunge 2015

Kazi ya Mbunge kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano ni kuwawakilisha wananchi na kutunga sheria na kuisimamia na kuishauri serikali katika mwenendo wake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba ipeni nchi yetu hatima njema

HOTUBA ya Rais Jakaya Kikwete imechukuliwa kuwa ni hotuba ya kuwashinikiza, kushauri na kuelekeza nini kifanyike katika mchakato wa kujadili rasimu ya pili ya Katiba mpya ndani ya Bunge Maalumu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukulima wa Mawese Liberia wazuliwa baa

Wanaharakati wa mazingira Global Witness, wameihsutumu kampuni ya mauzo ya mawese, kwa kutumia mlipuko wa Ebola kujitajirisha.

 

10 years ago

GPL

KCEE ANASWA SOKONI AKINUNUA MAFUTA YA MAWESE

STAA wa 'Limpopo', Kcee akiwa kwenye soko kuukuu akinunua mafuta ya mawese pamoja na matunda. LAGOS, Nigeria STAA wa 'Limpopo', Kcee wikiendi iliyopita alituma picha kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa sokoni.  Kcee siyo mgeni kwa wadau wa muziki wa Bongo, kwani ameshafanya ngoma na Shetta inayoitwa Shikorobo lakini pia amemshirikisha Diamond Platinumz  katika wimbo mpya wa ‘Love Boat’.  Kcee alituma...

 

9 years ago

GPL

GARI LAMWAGA MAFUTA YA MAWESE, LASABAISHA UTELEZI BARABARANI DAR

Vijana wakiondoa mafuta yaliyomwagika barabarani. Mwonekano wa eneo hilo.  Usafishaji wa barabara kwa maji ukiendelea. Mfereji uliojaa mafuta yaliyomwangika.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani