VIONGOZI WAKUU CHADEMA LAWAMANI
Wanachama na Viongozi wa Chadema wakiwemo wa Baraza Kuu la chama hicho, wakipiga kwata kuelekea Ofisi za Msajili wa Vyama vya Siasa, jijini Dar es Salaam, leo, kupeleka barua ya kumuomba Msajili huyo wa vyama, kuwataka viongozi wa ngazi ya juu wa Chadema kuzingatia Katiba ikiwemo kuitisha kikao cha Baraza Kuu na kuzingatia matumizi bora ya fedha za Chama.
Mjumbe wa Baraza Kuu Chadema ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama hicho wilaya ya Temeke Joseph Yona (kushoto) akiongoza wenzake kuingia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Viongozi wa dini lawamani
MKUU wa Wilaya ya Mbeya, Dk. Norman Sigalla, amesema kasi ya ongezeko la ufisadi na uhalifu nchini kunatokana na tatizo la viongozi wa dini kutofanya kazi yao ya kukemea maovu...
11 years ago
GPL9 years ago
StarTV22 Dec
Mgogoro Wa Ardhi Kilosa Viongozi waliomaliza muda Tindiga waingia lawamani
Mgogoro uliozuka kati ya wakulima na wafugaji katika kijiji cha Tindiga wilayani Kilosa na kusababisha wakulima 16 kujeruhiwa baada ya kupigwa na wafugaji wa jamii ya kimasai umebainika kukuzwa na viongozi wa serikali ya kijiji hicho waliomaliza muda wao ambao walihodhi maeneo makubwa ya mashamba ya kijiji na kuyakodisha kwa wageni wakiwemo wafugaji.
Aidha viongozi hao wanaidaiwa kuwasaliti wanakijiji na uongozi wa kijiji ulioko madarakani kwa kutoa siri za vikao vinavyojadili mikakati ya...
11 years ago
Michuzi22 Apr
Mwenezi wa Chadema Wilaya ya Meatu arudi CCM pamoja na viongozi wengine wa Chadema
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Tunahitaji tafakari ya viongozi wakuu wastaafu
WAZEE wetu wastaafu ambao mlifanyakazi na Mwalimu Julius Nyerere tangu mwaka 1961 baada ya Uhuru
Mwandishi Wetu
9 years ago
CHADEMA BlogViongozi wakuu wa UKAWA, Wabunge wawasili kumuaga Kamanda Mawazo
10 years ago
GPLVIONGOZI WAKUU EAC KUJADILI MGOGORO WA BURUNDI DAR ES SALAAM
11 years ago
MichuziTaswira za Mkutano wa Viongozi Wakuu wa Jumuiya ya afrika mashariki jijini Arusha
10 years ago
MichuziButiku Kufanya Mkutano na Viongozi Wakuu wakitaifa Kujadilia Amani na Umoja wa Taifa
Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation imeandaa mkutano wa mashauriano unaotarajia kufanyika tarehe Mei 19-20 mwaka huu, ambapo watajadili mambo mbalimbali kuhusu amani na utulivu wanchi ya Tanzania.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation Bw.Joseph Butiku alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuhusu maandalizi ya mkutano huo na agenda za mkutano huo.
“Mkutano huu utahusisha viongozi wakuu wa...