Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya Corona: Wakati sherehe za Pasaka zikianza, familia zinahisi kuhangaika

Wakati familia zimefungiwa ndani ya nyumba zinakabiliwa na shinikizo gani juu ya mahusiano?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona Ecuador: Wakati familia zinatafuta wapendwa wao mwanamke apatikana akiwa hai

Ecuador ikiwa imeathirika vibaya na ugonjwa wa Covid-19 familia ziko mbioni kutafuta miili ya wapendwa waohuku mama aliyesemekana amekufa akipatikana akiwa hai.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Tutaweza vipi kulinda bayoanuwai wakati wa corona?

Wakati huu wa virusi vya corona bayoanuwai na mazingira kwa ujumla vimeathirika. Lakini je bayoanuwai inaweza kulindwa vipi wakati huu wa virusi corona?. Wataalamu wanaeleza

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Simu ilivyomsaidia daktari wakati huu wa janga la corona

Vile simu ya daktari huyu ilivyokuwa mfariji wake kipindi hiki cha corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Congo inavyopambana na Ebola na corona kwa wakati mmoja

Wakati ugonjwa wa Corona ukisambaa nchini humo, mamlaka ya afya ambayo sasa zinakabiliana na magonjwa yote mawili ya mlipuko hatari wakati wakiwahudumia wagonjwa wa mlipuko wa kipindupindu pia.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Changamoto anazokumbana nazo asiye na uwezo wa kuona wakati wa janga la Corona

Janga la coronavirus limesababisha matatizo kwa kila mmoja. Lakini je umewahi kujiuliza hali ikoje kwa wasio na uwezo na kuona?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Itakua ni ''uendawazimu'' kuendesha uchaguzi wakati wa corona, asema rais wa Uganda

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuwa itakua ni 'uendawazimu' kuendesha uchaguzi wakati wa mlipuko wa virusi vya corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Tamasha la pasaka lanoga mtandaoni

Andrea Bocelli afanya tamasha la pasaka huko Milan kwa kuimba peke yake katika kanisa maarufu mjini humo

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Ni Kwanini baadhi ya makanisa bado yanafunguliwa msimu huu wa Pasaka?

Kuna mgogoro wa kisiasa kuhusu haki ya watu kukusayika katika maeneo ya kuabudu wakati maeneo mengi Marekani yakitekeleza amri ya kukaa nyumbani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku

Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani