Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Visa kuanzisha malipo ya mitandaoni

Visa itaanza kutoa huduma za malipo katika mitandao ya kijamii kama vile Twitter na WhatsApp.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Card issuer Visa Inc buys Visa Europe in 21-bn-euro deal

US credit card issuer Visa Inc. said yesterday it is buying back its former subsidiary Visa Europe in a 21.2-billion-euro ($23.5-billion) deal identifying increased scale and efficiencies.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Idadi ya visa vya corona Kenya imefikia 189, baada ya kuongezeka visa 5 Ijumaa

Idadi ya visa vya maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya imefikia hadi 189, baada ya kuongezeka visa 5 Ijumaa, imetangaza Wizara ya afya nchini humo

 

5 years ago

The Points Guy

Credit card showdown: Alaska Airlines Visa Signature vs. Alaska Airlines Business Visa

Credit card showdown: Alaska Airlines Visa Signature vs. Alaska Airlines Business Visa  The Points GuyShould you open a store credit card?  Fox BusinessHow to Stay Organized When You Have Multiple Credit Cards  NerdWalletHow to clean your credit cards  The Points GuyFirst-time credit card user? Here's what should you be aware of  Fox BusinessView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Mtanzania

Tujihadhari na wizi mitandaoni’

kileoNa Jamila Shemni, Dar es Salaam
SERIKALI na kampuni mbalimbali, zimeombwa kuhamasishwa ili kuwekeza zaidi katika ulinzi wa masuala ya usalama wa mitandao kama nyenzo kuu ya kuepukana na athari za uhalifu wa mitandao, kwani inarudisha nyuma mendeleo ya nchi na mataifa mengine.
Akizungumza na MTANZANIA mwishoni mwa wiki, mtaalamu wa masuala ya usalama mitandaoni, Yusuph Kileo, alisema mataifa mbalimbali duniani yameanza kujipanga kikamilifu kukabiliana na tatizo la uhalifu mitandaoni kwani...

 

10 years ago

BBCSwahili

TZ:Vijana wanavyokomoana mitandaoni

Nchini Tanzania baadhi ya vijana wamekuta picha zao wakiwa uchi zikienezwa katika mitandao ya kijamii

 

10 years ago

Habarileo

Wahuni mitandaoni kubanwa

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Peter Serukamba KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imependekeza kwa Serikali iongeze adhabu ya faini kutoka Sh milioni tatu na kifungo kisichopungua miezi sita na kuwa faini ya Sh milioni tano na kifungo kisichopungua miezi sita kwa wale wote watakaotuma katika mtandao taarifa za uongo.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Wachafuzi mitandaoni wabanwe’

Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) kutoka vyuo vikuu, wamekitaka chama hicho kuchukua hatua za makusudi kutokana na kuanza kushamiri kwa taarifa za watu kuchafuana kupitia mitandao ya kijamii.

 

11 years ago

Mwananchi

JK: Harakisheni sheria usalama mitandaoni

Rais Jakaya Kikwete ameiagiza Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuhakikisha mchakato wa Sheria ya Usalama kwenye mitandao unakamilika na kuanza kutumika, ili kudhibiti wanaotoa siri za nchi kwa kisingizio cha uhuru wa habari.

 

9 years ago

Mtanzania

Rayuu wa mitandaoni na nyumbani ni tofauti!

8977c613656d96073d7015b7676fe2b1NA CHRISTOPHER MSEKENA

MAKUBWA! Mrembo anayetikisa kiwanda cha filamu nchini, Rahma Rayuu ‘Rayuu’ amesema maisha yake halisi na maisha anayoonyesha kwenye mitandao ya kijamii ni tofauti hivyo watu wanaodhani ndivyo alivyo wanakosea.

Akichonga na Swaggaz, Rayuu alisema kuwa amezoea kuweka mitandaoni picha zinazoonyesha mwili wake lakini kiuhalisia ni mtu mwenye maadili ambaye akiwa nyumbani huvalia hadi ushungi kujisitiri.

“Kwetu ni familia ya dini na nimekuwa kwenye mazingira hayo, kule...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani