Vodacom yasaidia jamii kupambana na Covid-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-cAkXb9C6MxI/XntfyOH5RsI/AAAAAAALlAM/AyYLfAo2-GIDGoHVWinc2AZXjEsz_GoHQCLcBGAsYHQ/s72-c/vodacompic.jpg)
Hivi karibuni, Watanzania wengi wameungana na dunia nzima katika kupambana na maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 (maarufu Corona). Katika miezi na wiki zijazo juhudi za pamoja zinahitajika ili kusaidiana na serikali katika kupambana na athari za mlipuko wa ugonjwa huu.
Jihitada za kuisaidia jamii kutatua changamoto mbalimbali kama ilivyo kwa janga hili la COVID-19 ni mojawapo ya majukumu ya Vodacom Tanzania PLC katika kusaidia jamii na wadau wake. Kipaumbele cha Vodacom ni afya na usalama wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hjfP4sg9OSQ/XnmN6ZmGJ1I/AAAAAAALk3c/YpVXN_w2sJgViPsZVUNnUg1iPLZcEg_KQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv72959e009ec1mf3e_800C450.jpg)
EU yaitaka jamii ya kimataifa ishirikiane na Iran kupambana na Covid-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-hjfP4sg9OSQ/XnmN6ZmGJ1I/AAAAAAALk3c/YpVXN_w2sJgViPsZVUNnUg1iPLZcEg_KQCLcBGAsYHQ/s640/4bv72959e009ec1mf3e_800C450.jpg)
Josep Borrell ametoa mwito huo jana Jumatatu mjini Brussels na kuongeza kuwa, umoja huo unajiandaa kutuma misaada ya kibinadamu yenye thamani ya yuro milioni 20 hapa nchini Iran na Venezuela ndani ya wiki chache zijazo.
Kadhalika amesema EU inaunga mkono suala la Iran kupewa mkopo na Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF)...
11 years ago
Dewji Blog24 May
CCBRT, Vodacom Foundation na UNFPA kusaidia kampeni za kukuza uelewa wa jamii wa kupambana na Fistula
Baadhi ya wakazi wa Tandika sokoni jijini Dar es Salaam,wakisoma vipeperushi vyenye ujumbe wa “Fistula inatibia” wakati wa kampeni ya kutoa elimu kwa Umma juu ya tatizo hilo kuwa linatibika kwa ushirikiano wa wadau wa CCBRT,UNFPA na Vodacom Foundation.Kampeni hizo zinafanyika nchi nzima katika kuaziamisha siku ya Fistula duniani.
Katika maadhimisho ya pili ya siku ya kutokomeza fistula ya uzazi duniani, mabalozi 100 wa kijamii wataendesha warsha za wazi kueneza ujumbe “Fistula...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JknWrUcsacU/XpoE-DF1f6I/AAAAAAAEGwo/wAwsZaOsKzE8OI3m_WzXqk5TJMUxQDNTACLcBGAsYHQ/s72-c/Donation%2B3.jpeg)
Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation yachangia Shilingi Billion 2 kusaidia juhudi za serikali kupambana na COVID - 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-JknWrUcsacU/XpoE-DF1f6I/AAAAAAAEGwo/wAwsZaOsKzE8OI3m_WzXqk5TJMUxQDNTACLcBGAsYHQ/s640/Donation%2B3.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4rqQ9x6Lp9g/Xp8H5_DJvII/AAAAAAAEGzg/Oyjk9RZ7pB4bjovCFtOeIimSs3s-euS4gCLcBGAsYHQ/s72-c/NHKK.jpg)
Vodacom Tanzania PLC yakabidhi vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 300 kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kupambana na ugonjwa wa Covid-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-4rqQ9x6Lp9g/Xp8H5_DJvII/AAAAAAAEGzg/Oyjk9RZ7pB4bjovCFtOeIimSs3s-euS4gCLcBGAsYHQ/s640/NHKK.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4rqQ9x6Lp9g/Xp8H5_DJvII/AAAAAAAEGzg/Oyjk9RZ7pB4bjovCFtOeIimSs3s-euS4gCLcBGAsYHQ/s72-c/NHKK.jpg)
Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation yakabidhi vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 300 kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ili kupambana na ugonjwa wa Covid-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-4rqQ9x6Lp9g/Xp8H5_DJvII/AAAAAAAEGzg/Oyjk9RZ7pB4bjovCFtOeIimSs3s-euS4gCLcBGAsYHQ/s640/NHKK.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_gNKJEddIsQ/XtZnZ1LJYMI/AAAAAAALsWQ/2-1LUc2ZQvsEvPqCqrvXNHlw31TppmvbACLcBGAsYHQ/s72-c/Pic-Ukerewe1AAA-768x512.jpg)
Asasi ya Vodacom Tanzania Foundation yasaidia wanafunzi Ukerewe, yatoa msaada wa vitanda, magodoro na vifaa vya kukabiliana na majanga
![](https://1.bp.blogspot.com/-_gNKJEddIsQ/XtZnZ1LJYMI/AAAAAAALsWQ/2-1LUc2ZQvsEvPqCqrvXNHlw31TppmvbACLcBGAsYHQ/s640/Pic-Ukerewe1AAA-768x512.jpg)
5 years ago
BBCSwahili21 Mar
Coronavirus: Wasanii waungana kupambana dhidi Covid-19
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W4ovwCOGbQk/Xsz83fpRHgI/AAAAAAALrlY/m8c3O0jtt5wXN2BHGh9KwvN3t8i6Nxk0ACLcBGAsYHQ/s72-c/costech.jpg)
COSTECH KUSIMAMIA RUZUKU YA KUPAMBANA NA UGONJWA CORONA (COVID-19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-W4ovwCOGbQk/Xsz83fpRHgI/AAAAAAALrlY/m8c3O0jtt5wXN2BHGh9KwvN3t8i6Nxk0ACLcBGAsYHQ/s640/costech.jpg)
Hayo yamesemw na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia ya Tanzania (COSTECH), Dk.Amos Nungu wakati akizungumza na waandishi wa habari kupitia mtandao wa video leo. Amesema kuwa uratibu wa fedha hizo ni sehemu ya majukumu ya Tume hiyo ikiwa ni pamoja na kutafuta rasilimali fedha...
5 years ago
MichuziSerikali ya Marekani yatoa Dola milioni 3.6 kupambana na Covid-19 Tanzania.
Pia serikali hiyo imetoa kiasi cha dola millioni 1.9 ( shilingi Billioni 4.4) kupitia shirika lake la msaada la USAID ili kuisaidia Tanzania kukabiliana na mlipuko huo.
Mwakilishi Mkazi wa shirika la USAID nchini Tanzania Andy Karas alisema haya katika mkutano wake na waandishi wa habari. Alisema kuwa kuwa ni...