Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vodafone 875 yenye mfumo Adroid yaingia mtaani

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom, Tanzania, imezindua ofa ya simu ya mkononi aina ya Vodafone 875 yenye mfumo Adroid kuwezesha matumizi zaidi ya intaneti katika jamii. Imesema simu hiyo itauzwa kwa Sh 100, 000.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

JKT Ruvu yaingia mtaani kusajili kwa vipaji vya wachezaji

Timu ya JKT Ruvu leo itaanza mchakato wa kutafuta wachezaji wapya kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwenye uwanja wa JKT Mlalakuwa jijini.
Zoezi la kusaka wachezaji hao ni la wazi na meneja wa timu hiyo, Joel Frank amewataka wachezaji wote wenye nia ya kucheza ligi kuu msimu ujao kufika kwa wingi katika uwanja huo kuanzia saa 1.30 asubuhi.
Frank alisema kuwa wameamua kutafuta wachezaji kwa mtindo huo kwa lengo la kuona uwezo wao halisi na wala si kwa kukisia kama...

 

10 years ago

Michuzi

Vodacom yaja na simu ya Vodafone Smart Kicka

Meneja wa huduma na bidhaa wa Vodacom Tanzania,Liginiku Milinga(kushoto)akielezea kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)uwezo wa simu mpya aina ya Vodafone Smart Kicka katika matumizi ya mitandao ya kijamii ya Youtube,Twitter,Facebook na whatsup. Simu hizo huuzwa kwenye maduka ya Vodacom kwa bei ya Sh 79,999 zikiwa na ofa ya 3G na SMS 1,200 kwa muda wa miezi sita.Kulia ni Meneja Uhusiano wa Umma wa kampuni hiyo Matina Nkurlu. Meneja wa huduma na bidhaa wa Vodacom Tanzania,Liginiku Milinga...

 

5 years ago

Quartz Africa

Safaricom, Vodacom buy Vodafone's M-Pesa stake

Safaricom, Vodacom buy Vodafone's M-Pesa stake  Quartz AfricaSafaricom, Vodacom partner to grow M-pesa across Africa  CNBCAfrica.comView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Telecompaper (Subscription)

Vodafone launches Instant Classroom for refugee camps


Wired.co.uk
Vodafone launches Instant Classroom for refugee camps
Telecompaper (subscription)
The Vodafone Foundation has announced the Instant Classroom, a digital 'school in a box' that can be set up in a matter of minutes, helping pupils in some of the world's largest and most poorly resourced refugee camps the opportunity to continue their ...
Telecom firm supports refugee childrenDaily News
Vodafone 'Instant Classroom' is digital school in a box for refugeesWired.co.uk

all 6

 

10 years ago

Vijimambo

GWAJIMA ATOA VIDEO YENYE MANENO YENYE UTATA, ANGALIA VIDEO HAPA


Gwajima Akiwa kwenye Kitu cha Wagonjwa Anaonekana Kwenye Video Akitoa Maneno yenye utata kumsema mtu kwa Mafumbo ..embu angalia hapa chini kwenye Video:

 

5 years ago

Reuters

Safaricom, Vodacom finalise M-Pesa acquisition from Britain's Vodafone

Safaricom, Vodacom finalise M-Pesa acquisition from Britain's Vodafone  ReutersVodacom, Safaricom conclude M-Pesa brand takeover deal  ITWebM-pesa platform management relocated to Kenya  Standard DigitalSafaricom completes full acquisition of M-Pesa Brand  Techish KenyaSafaricom and Vodacom Complete Acquisition of MPESA Brand from Vodafone  TechweezView Full coverage on Google News

 

10 years ago

GPL

VODAFONE YAZINDUA MPANGO WA KILIMO KLUB KUWAKOMBOA WAKULIMA WADOGO

Mtama ukiwa umestawi vizuri katika moja ya shamba, hivi leo Kampuni ya mawasiliano ya Vodafone imezindua mpango  maalumu  wa kuboresha maisha ya wakulima wadogo wa Kilimo Klub utakaoanza kutekelezwa Tanzania. Zabibu zikiwa zimestawi vizuri katika moja ya shamba Dodoma vijijini kufuatia kilimo bora na cha kisasa, kilimo hichi kinaongezewa nguvu na kampuni ya Vodafone.… ...

 

11 years ago

Michuzi

MAMA SALMA KIKWETE AZINDUA TAARIFA YA 'THE CONNECTED WOMEN INITIATIVE' YA VODAFONE FOUNDATION

Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akiwahutubia waalikwa kwenye hafla ya uzinduzi wa Taarifa ya 'THE CONNECTED WOMEN INITIATIVE' ya Vodafone Foundation. Uzinduzi huo ulifanyika katika Hoteli ya Golden Tulip hapa Dar es Salaam tarehe 5.3.2014. Baadhi ya washiriki waliohudhuria sherehe ya uzinduzi wa Taarifa ya THE CONNECTED WOMEN INITIATIVE wakisikiliza hotuba ya Mgeni Rasmi Mama Salma Kikwete (hayupo pichani) wakati wa uzinduzi...

 

10 years ago

Michuzi

Elimu ya kidigitali ya Vodafone Foundation kuwanufaisha watoto 15,000 katika kambi za wakimbizi

Taasisi ya Vodafone Foundation leo imetangaza kuwa mpango wake wa kutoa elimu kidigitali umewezesha jamii zinazoishi kwenye mazingira magumu yanayosababishwa na majanga mbalimbali na  kujikuta zikiishi kwenye kambi za wakimbizi kuweza  kupata elimu.
Mpango huu wa   unatekelezwa katika  maeneo yenye mazingira magumu ambako kuna matatizo ya kutokuwepo nishati ya umeme na  upatikanaji wa mawasiliano hususani ya mtandao wa interneti na umeweza kutekelezwa kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani