Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vumbe Ft Sush "TULIA"

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Dk. Tulia: Wasaliti watadhibitiwa

Katika toleo lililopita tuliwaletea mahojiano kati ya Naibu Spika Dk.

Waandishi Wetu

 

9 years ago

Mwananchi

Uwazi ungemweka huru Dk Tulia

Safari ya Naibu Spika, Dk Tulia Ackson kuingia kwenye siasa imepitia misukosuko kidogo.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Hamisi Kamanda — Tulia

Video mpya kutoka kwa msanii Hamisi Kamanda wimbo unaitwa “Tulia”. Audio imetaalishwa katika studio za Harshbase Recods zilizopo jijini Mwanza na video imetayalishwa na Director Kenny Ukiyz. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Tulia ajiangalie mambo matano

Dk Tulia Ackson amechaguliwa kuwa naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hiyo ni baada ya kumshinda mpinzani wake kutoka chama cha CUF, Magdalena Sakaya.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Tulia apita tanuri la moto

Dk Tulia Ackson, jana alichaguliwa kuwa Naibu Spika wa Bunge huku akianza kuonja joto la upinzani baada ya kubanwa akitakiwa aeleze ni lini alijiunga na CCM.

 

9 years ago

Mwananchi

Siku 67 za bahati kwa Dk Tulia Ackson

Dar es Salaam. Dk Tulia Ackson huenda akawa mmoja wa Watanzania wachache wenye bahati ya kupata vyeo tofauti vya juu nchini ndani ya siku 67.

 

9 years ago

Habarileo

Tulia: Nitafanya kazi bila upendeleo

MGOMBEA nafasi ya Naibu Spika wa Bunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Tulia Ackson amesema akichaguliwa kushika wadhifa huo atafanya kazi kwa kufuata kanuni na hataegemea upande wa serikali kama inavyodhaniwa na baadhi ya watu.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Tulia Ackson achaguliwa Naibu Spika wa Bunge

Wabunge 250 wamepiga kura za ndiyo kwa mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mbunge wa Viti Maalumu, vya kuteuliwa na rais, Dk Tulia Ackson Mwansasu na kumchagua kuwa Naibu Spika wa Bunge la kumi na moja.

 

9 years ago

Mtanzania

Mwigizaji Lulu atamani nafasi ya Dk Tulia Bungeni

IMG_5199NA MWANDISHI WETU

BAADA ya Dk Tulia kushinda nafasi ya Naibu Spika, mwigizaji mwenye makeke mengi, Elizabeth Michael (Lulu) ameandika katika ukurasa wake wa Instagram akimpongeza kutokana na elimu yake ambayo anaamini ndiyo iliyompeleka katika nafasi hiyo ya Unaibu Spika.

“Kusoma kuzuri jamani, wakati wakina nanii wanaendelea kunyooshana Insta,  watu na elimu zao wananyoosha kwenye vyenye maana, dada Tulia hapo kanyoosha kwenye Unaibu Spika bila hata ya wigi wala ‘make up’, sema nami siko...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani