WAAJIRI WASIOWAPELEKA WATUMISHI KUPATA MAFUNZO CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA KUCHUKULIWA HATUA
![](https://1.bp.blogspot.com/-brI3FKtmzik/XqgOWWdoqOI/AAAAAAALod8/fP8zSDPzDPER_v0jqiYQQnmyZ902A2cCQCLcBGAsYHQ/s72-c/0001.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Manejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Msaafu) George Huruma Mkuchika (Mb) akizungumza wakati wa Mahafali ya 28 ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania yaliyofanyika katika Kampasi ya Mbeya.
………………………………………………………………..
James Mwanamyoto – Dodoma
Waajiri katika Taasisi za Umma wenye watumishi ambao hawajapata mafunzo ya namna Serikali inavyofanya kazi, wametakiwa kuwapeleka watumishi hao kupata mafunzo Chuo cha Utumishi wa Umma mapema iwezekanavyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eegszFxHmBY/VeauaIT8rYI/AAAAAAAABlM/tyezAN8UoTM/s72-c/PIX%2B02.jpg)
WATUMISHI WA UMMA WA MKOA WA MBEYA NA NYANDA ZA JUU KUSINI WATAKIWA KUJIENDELEZA KUPITIA TAWI LA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA TAWI LA MBEYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-eegszFxHmBY/VeauaIT8rYI/AAAAAAAABlM/tyezAN8UoTM/s640/PIX%2B02.jpg)
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma,HAB Mkwizu, akizungumza wakati wa mahafali ya 22 ya Chuo cha Utumishi Tanzania (TPSC) na ya kwanza kwa tawi la Mbeya hivi karibuni Jijini Mbeya.
Sehemu ya wahitimu wa Chuo Cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) Tawi la Mbeya wakiwa...
10 years ago
Dewji Blog29 Mar
Wanafunzi wa Chuo cha Utumishi wa Umma (TPSC) tawi la Tanga wafanya ziara ya mafunzo PSPTB
Wageni wakiwasili kwenye ofisi za Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi.
Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa PSPTB, Dr Tesha akitoa hutuba ya ufunguzi kuwakaribisha wanachuo wa mwaka wa pili wa stashahada ya Ununuzi na Ugavi kutoka chuo cha TPSC Utumishi wa Umma tawi la Tanga.
Wanachuo wakimsiliza Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Bodi Dr. Tesha.
Mkurugenzi ya Mafunzo, Bw. Godfred Mbanyi akielezea juu ya madaraja ya mitihani ya Bodi na taratibu za kufanya mitihani.
Bw. Ally Songoro kutoka...
10 years ago
Michuzi28 Mar
WANAFUNZI WA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA(TPSC) TAWI LATANGA WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO PSPTB
Ziara hiyo ya mafunzo ililenga kujua kazi mbalimbali za Bodi ya wataalam wa ununuzi na Ugavi (PSPTB). Mkurugenzi mkuu Mtendaji wa PSPTB Dr Clemence Tesha, aliupokea ugeni huo, na kuwashukuru kwa kuona nia ya kufanya ziara ya mafunzo. Aidha aliwaelezea umuhimu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YHgXNr2UuDc/VYP_LkTQJ0I/AAAAAAAHhbg/EkZF1FEZmcw/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
Watumishi wa umma kupata mafunzo ya maafa ya sehemu za kazi
10 years ago
Michuzi05 May
11 years ago
MichuziWAAJIRI NCHINI KUCHUKULIWA HATUA NA BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU
Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu nchini imepanga kuwachukulia hatua waajiri wote nchini kwa kushindwa kuwasilisha taarifa za wahitimu wa...
5 years ago
MichuziTUME YA UTUMISHI WA UMMA KUANZA KUSIKILIZA KERO NA MALALAMIKO YA WATUMISHI WA UMMA
Tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona inapewa kipaumbele katika kipindi hiki. Tunatakiwa kuzingatia Miongozo inayotolewa na Wizara ya Afya pamoja na maelekezo ya Viongozi Wakuu wa Nchi. Aidha, watumishi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CkDu4Pm0EPM/XmzAmhn_osI/AAAAAAALjX4/xFNC3opQQfQc37MC2ETO0p5XsoKh7Hm3gCLcBGAsYHQ/s72-c/3-35.jpg)
SERIKALI YAKANUSHA UVUMI WA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA KAMPASI YA SINGIDA KUHAMISHIWA DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-CkDu4Pm0EPM/XmzAmhn_osI/AAAAAAALjX4/xFNC3opQQfQc37MC2ETO0p5XsoKh7Hm3gCLcBGAsYHQ/s640/3-35.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Jan
Vijana waendelea kupata ajira katika Utumishi wa Umma
Katibu Msaidizi Idara ya Ajira kutoka Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Malimi Muya akiwaeleza waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam (hawapo pichani) sababu zinazopelekea Vijana wengi kupenda kufanya kazi katika Utumishi wa Umma ikiwemo uboreshaji wa mishahara,kuboreshwa kwa mazingira ya kazi,usalama wa kazi unaotokana na kuwepo kwa taratibu za kazi zinazotabirika ,kuwepo kwa taratibu maalum zinazomhakikishia mwajiriwa maslahi au malipo bora baada ya...