Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waasi wabadili kauli kuhusu makubaliano

Waasi wa Sudan Kusini wamebadilisha kauli na kukataa makubaliano yaliyotiwa saini hivi karibuni ya kugawana madaraka

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Waasi Ukrain: makubaliano yatashindwa

Kiongozi wa waasi mashariki mwa Ukrain amesema kuwa usitishwaji wa mapigano ulioafikiwa mapema mwaka huu na serikali hautadumu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kauli ya Bi Maria Nyerere kuhusu Escrow

Mjane wa hayati Julius Nyerere, Maria Nyerere Tanzania amezungumzia sakata ya ufisadi ya Escrow. Je kauli yake ilikuwa nini?

 

10 years ago

BBCSwahili

Australia yabadili kauli kuhusu Burka

Australia imebatilisha uamuzi wake ambao unawazuia wanawake wanaovalia Burka kuingia bungeni mjini Canberra.

 

11 years ago

GPL

KAULI YA DC KUHUSU KONDOMU YAZUA TAFRANI

Na Dustan Shekidele, Morogoro MKUU wa Wilaya ya Mvomero (DC), Antony Mtaka amezusha tafrani na kulalamikiwa na baadhi ya wanachama wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT),  wilayani humo baada ya kutoa kauli kwamba wasikubali kutumika kama kondomu ama tambara la deki wakati wa chaguzi mbalimbali. Mkuu wa Wilaya ya Mvomero (DC), Antony Mtaka. Wakizungumza na wandishi wa habari mjini hapa,  wanachama hao ambao hawakupenda...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kauli ya Zitto Kabwe kuhusu katiba TZ

Nchini Tanzania, hivi karibuni kulikuwa na mvutano mkubwa kule Dodoma katika Bunge maalum la Katiba, wakati wa kujadili rasimu ya katiba mpya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi labadili kauli kuhusu wanafunzi

Jeshi la Nigeria limekanusha taarifa ya awali kuwa baadhi ya wanafunzi wa shule waliotekwa nyara na Boko Haram, wameachiliwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Kauli ya RC Tanga kuhusu njaa ifanyiwe kazi

Katika toleo la gazeti hili la jana, ukurasa wa 12 kulikuwa na habari iliyokuwa na kichwa kisemacho “wilaya tatu hatarini kukumbwa na njaa”. Wilaya hizo ni za mkoani Tanga ambazo ni Korogwe, Handeni na Kilindi.

 

10 years ago

Mwananchi

Kauli ya JK kuhusu ripoti ya CAG iungwe mkono

Juzi Rais Jakaya Kikwete wakati akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka unaoishia Juni 2014, alitoa maagizo makali baada ya kubaini ndani ya ripoti hiyo kuna madudu mengi ya matumizi mabaya ya fedha za umma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani