Waasi wabadili kauli kuhusu makubaliano
Waasi wa Sudan Kusini wamebadilisha kauli na kukataa makubaliano yaliyotiwa saini hivi karibuni ya kugawana madaraka
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Apr
Waasi Ukrain: makubaliano yatashindwa
Kiongozi wa waasi mashariki mwa Ukrain amesema kuwa usitishwaji wa mapigano ulioafikiwa mapema mwaka huu na serikali hautadumu.
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Kauli ya Bi Maria Nyerere kuhusu Escrow
Mjane wa hayati Julius Nyerere, Maria Nyerere Tanzania amezungumzia sakata ya ufisadi ya Escrow. Je kauli yake ilikuwa nini?
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Australia yabadili kauli kuhusu Burka
Australia imebatilisha uamuzi wake ambao unawazuia wanawake wanaovalia Burka kuingia bungeni mjini Canberra.
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-BNG1OSkOxig/VkPx5It3OsI/AAAAAAAAXFY/yx9sXXs3KDw/s72-c/eu-page-001.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPwRDIGWEl4gKdgVDDiMfhapgOIQDzeGPz5OM5wprYJ2nonnVtC8JxFGZNwDxjhDyWHjMQkvxNX5LQHOCToZbeOR/dc.jpg)
KAULI YA DC KUHUSU KONDOMU YAZUA TAFRANI
Na Dustan Shekidele, Morogoro MKUU wa Wilaya ya Mvomero (DC), Antony Mtaka amezusha tafrani na kulalamikiwa na baadhi ya wanachama wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT), wilayani humo baada ya kutoa kauli kwamba wasikubali kutumika kama kondomu ama tambara la deki wakati wa chaguzi mbalimbali. Mkuu wa Wilaya ya Mvomero (DC), Antony Mtaka. Wakizungumza na wandishi wa habari mjini hapa, wanachama hao ambao hawakupenda...
11 years ago
BBCSwahili12 May
Kauli ya Zitto Kabwe kuhusu katiba TZ
Nchini Tanzania, hivi karibuni kulikuwa na mvutano mkubwa kule Dodoma katika Bunge maalum la Katiba, wakati wa kujadili rasimu ya katiba mpya.
10 years ago
BBCSwahili24 Sep
Jeshi labadili kauli kuhusu wanafunzi
Jeshi la Nigeria limekanusha taarifa ya awali kuwa baadhi ya wanafunzi wa shule waliotekwa nyara na Boko Haram, wameachiliwa.
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Kauli ya RC Tanga kuhusu njaa ifanyiwe kazi
Katika toleo la gazeti hili la jana, ukurasa wa 12 kulikuwa na habari iliyokuwa na kichwa kisemacho “wilaya tatu hatarini kukumbwa na njaaâ€. Wilaya hizo ni za mkoani Tanga ambazo ni Korogwe, Handeni na Kilindi.
10 years ago
Mwananchi29 Mar
Kauli ya JK kuhusu ripoti ya CAG iungwe mkono
Juzi Rais Jakaya Kikwete wakati akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka unaoishia Juni 2014, alitoa maagizo makali baada ya kubaini ndani ya ripoti hiyo kuna madudu mengi ya matumizi mabaya ya fedha za umma.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania