Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waasi waua watu 1000 Afrika ya Kati

Waasi wamewaua watu wapatao elfu moja katika Jamhuri ya Afrika ya Kati katika mapigano ya siku mbili mwezi huu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Ebola waua watu 1,229 Afrika Magharibi

SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limetangaza idadi ya watu waliokufa kwa ugonjwa hatari wa ebola katika nchi nne za magharibi mwa Afrika kuwa imefikia 1,229.

 

10 years ago

Habarileo

Waasi waua askari wawili wa JWTZ

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moonWANAJESHI wawili wa Tanzania ambao wako kwenye jeshi la kulinda amani la Umoja wa Mataifa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), wameuawa katika vita na waasi wa eneo hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko waua viongozi wa waasi Syria

Viongozi 50 wa kundi la waasi wa Syria wameuawa au kujeruhiwa katika shambulio la kujitoa mhanga.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waasi waua 38 Mashariki mwa Congo

Watu 38 waliuawa hapo jana katika makabiliano kati ya majeshi ya jamhuri ya kidemokrasia ya Congo na wanamgambo wa kiislamu kutoka Uganda.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 1000 wakisiwa kuuwawa Sudan Kusini

Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa Sudan Kusini asema watu kama elfu moja wameuwawa, lakini hakuna uhakika

 

5 years ago

BBCSwahili

Idadi ya watu waliopatwa ca corona yazidi 1000 Kenya

Idadi ya watu waliopatwa ca corona yazidi 1000 Kenya, baada ya visa 66 kupatikana katika kipindi cha saa 24 zilizopita

 

10 years ago

Dewji Blog

Takriban watu 1000 wamekufa kutokana na wimbi la joto linalovuma nchini India.

1270976373314773061

Watafiti wamesajili kiwango cha juu mno cha nyuzijoto 48’C katika maeneo mengi nchini humo ambapo vifo vingi zaidi vimeripotiwa katika majimbo ya kusini ya Telangana na Andhra Pradesh, ambapo watu 140 wamepoteza maisha yao kuanzia jumamosi wimbi hilo la joto lilipotokea hata hivyo hadi kufia leo Mei 27, tayari zaidi ya watu 1,000, wamelipotiwa kupoteza maisha yao.

Mji wa Allahabad ulioko Uttar Pradesh ulisajili vipimo vya nyuzijoto 48C huku wakaazi wa mji mkuu wa India New Delhi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wa kipindupindu waua watu 3 TZ

Watu 3 wameaga dunia na wengine 30 wamelazwa hospitalini kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu mjini Dar es salaam.

 

11 years ago

BBCSwahili

Magaidi waua watu 6 Kenya

Polisi mjini Nairobi Kenya wamedhibitisha watu 6 wameauawa baada ya shambulizi la kigaidi katika mtaa wa Eastleigh

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani