Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge wagomea Sh 90m za ‘mashangingi’

Wakati Serikali ikihaha kutafuta fedha kwa ajili ya kuendeshea shughuli zake, wabunge wameingia kwenye mvutano na ofisi ya Bunge kuhusu fedha ambazo watunga sheria hao wanastahili kupewa kwa ajili ya kununulia magari yao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Owing To Offensive Culvert

Tanroads to cough up 90m/


Tanroads to cough up 90m/- owing to offensive culvert
Daily News
THE High Court has ordered Tanzania National Roads Agency (Tan-roads) to pay 90m/- in damages to the owner of St. Moses Nursery School, Mr Moses Kabambara, for constructing a tunnel along the road, leading rainy water to flood his school.

 

11 years ago

BBC

World Bank stalls $90m Uganda loan

The World Bank postpones a $90m (£54m) loan to Uganda after President Yoweri Museveni signed a tough and controversial new anti-gay law.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wagomea EFD’s Dar

SIKU chache baada ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi kutangaza kuanza uhakiki wa matumizi ya mashine za EFDs, wafanyabiashara wa maduka Kariakoo Dar es...

 

11 years ago

Mwananchi

Wapinzani wagomea maridhiano

>Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umesema unachofanya sasa ni kuonana na wananchi ili kuwaeleza maovu yanayofanywa na Chama Cha Mapinduzi kwenye Bunge Maalumu la Katiba na kwamba hauna nafasi ya kufanya maridhiano na chama hicho.

 

11 years ago

Habarileo

Wafanyakazi wagomea utitiri wa serikali

KATIKA Katiba mpya, wafanyakazi nchini hawataki utitiri wa serikali, bali nyongeza ya mishahara ya angalau kima cha chini cha Sh 315,000 na kupunguzwa kwa makato ya kodi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge la Katiba wagomea posho

JINAMIZI la kutaka posho nono kwa watu wanapopewa majukumu ya kufanya kazi za umma limezidi kushika kasi baada ya jana wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutaka waongezewe posho zaidi....

 

11 years ago

Mwananchi

Kibaha wagomea machinjio mapya

Umoja wa Wafanyabiashara wa nyama na mazao yake Kibaha mkoani Pwani (UWABINK) umekataa kuitumia machinjio mpya iliyojengwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha katika Mtaa wa Mtakuja kwa madai kuwa miundombinu yake haijakamilika.

 

11 years ago

Mwananchi

Wamaasai wagomea mipango miji

Jamii ya wafugaji wa kabila la Wamasai katika Kijiji cha Chamakweza, Kata ya Pera wilayani Bagamoyo wamepinga vikali hatua ya Serikali kuingiza kijiji hicho kwenye mpango wa mipango miji wakati eneo hilo likiwa limetengewa kwa matumizi ya wafugaji.

 

10 years ago

GPL

UCHAGUZI MKUU UKAWA WAGOMEA

Edward Lowassa anayegombea kupitia Chama wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akiongea na waandishi wa habari. Waandishi wetu WAKATI nchi ipo kimya kumsikiliza Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva akitangaza matokeo ya uchaguzi wa rais uliofanyika nchini kote Jumapili iliyopita, Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umeyagomea matokeo hayo huku mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani