WACHINA WAONYESHA UTAMADUNI WAO TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-4n9Rt664ISE/Vl8U8QgMTmI/AAAAAAAIJ14/er7u4hkEPAk/s72-c/2b724fcf-334c-49b2-bc42-e2d651fde78c.jpg)
Na Jacquiline Mrisho Maonesho ya utamaduni wa watu wa China yalifanyika jana usiku maeneo ya Makumbusho ya TaifaJijini Dar es salaam baada ya ufunguzi rasmi wa Kituo cha Utamaduni wa watu wa China uliofanyika mchana. Maonesho hayo yalifunguliwa na Mkurugenzi wa kituo hicho cha Utamaduni wa watu wa ChinaTanzania Bwana GAO Wei ambapo alitumia fursa hiyo kuwakaribisha wageni waalikwakuangalia utamaduni wa wachina kupitia muziki wao. Hafla hiyo ilipambwa na wanamuziki...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog24 Jan
Wajumbe wa Baraza la Michezo la Taifa watakiwa kujenga utamaduni wa kutekeleza wajibu wao kw kujitolea zaidi
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara (MB) akitoa nasaha kwa wajumbe wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) wakati akizindua Balaza la 13 la Michezo leo jijini Dar es Salaam.Katikati ni Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo Profesa Elisante Ole Gabriel na wa mwisho kulia ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo Bw. Leonard Thadeo. Wajumbe waliohudhuria hafla hizo ni pamoja na ,Mkurugenzi wa PSPF Adam Mayingu, Zacharia Hans Pope, Jamal Rwambow, Mkurugenzi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OmtqdW6cIJ4/VMPT4f3PisI/AAAAAAAG_Wg/o3V3-DIQFS0/s72-c/PIX1aa.jpg)
Wajumbe wa Baraza la Michezo la Taifa watakiwa kujenga utamaduni wa kutekeleza wajibu wao kwa kujitolea zaidi
![](http://1.bp.blogspot.com/-OmtqdW6cIJ4/VMPT4f3PisI/AAAAAAAG_Wg/o3V3-DIQFS0/s1600/PIX1aa.jpg)
10 years ago
Vijimambo29 Jul
WAFANYAKAZI WA HOSPITALI YA WANAWAKE NA WATOTO MJINI CANBERRA NCHINI AUSTRALIA WAONYESHA NIA YA KUJA KUFANYA KAZI TANZANIA
![sa1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/sa11.jpg)
![sa2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/sa21.jpg)
11 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-9icFVF0j92s/U5jGk4Bpm7I/AAAAAAAAArc/klblKyV_6hY/s72-c/2234.jpg)
TANZANIA YAASWA KUJIFUNZA KUTOKA KWA WACHINA KUKATAZA MATUMIZI YA WINDOW 8
![](http://3.bp.blogspot.com/-9icFVF0j92s/U5jGk4Bpm7I/AAAAAAAAArc/klblKyV_6hY/s1600/2234.jpg)
Uchina baada ya hali hiyo ikaamua kukataza matumizi ya windows 8 kwenye kompyuta zote za serikali na taasisi zote zinazopewa fedha na serikali ya nchi hiyo na hili linaweza kusomeka kwa kirefu na viambatanishi vingine...
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuendelea kushirikiana na wadau katika kuendeleza Utamaduni
Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda (kushoto) akifungua kituo cha utamaduni wa China nchini Tanzania mapema hii leo jijini Dar es Salaam, katikati ni Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel na kulia ni Mkurugenzi wa Utamaduni toka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Hermas Mwansoko.
Baadhi ya wanafunzi wa Kitanzania wanaojifunza lugha ya Kichina katika kituo cha Utamaduni wa China nchini Tanzania wakiimba nyimbo kwa lugha ya...
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Utamaduni wa uhuru na amani ya Tanzania
10 years ago
KwanzaJamii24 Sep
Sanaa za utamaduni wa Tanzania zaendelea kukubalika
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xQfJUMjrhjA/VYqKK7-6ooI/AAAAAAAAGnM/cQdU1I9mhzs/s72-c/Danish%2BCoop.%2B5.6.15%2BDar-96.jpg)
DENMARK YAIMARISHA SEKTA YA UTAMADUNI NA UBUNIFU TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-xQfJUMjrhjA/VYqKK7-6ooI/AAAAAAAAGnM/cQdU1I9mhzs/s640/Danish%2BCoop.%2B5.6.15%2BDar-96.jpg)
“Bado tasnia ya sanaa na ubunifu ambayo...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-I7om-77pzno/VgIiqqT3VLI/AAAAAAAATPQ/Xeeo1cTex3s/s72-c/1.jpg)
TANZANIA NA CHINA KUENDELEA KUDUMISHA USHIRIKIANO KUPITIA UTAMADUNI
![](http://4.bp.blogspot.com/-I7om-77pzno/VgIiqqT3VLI/AAAAAAAATPQ/Xeeo1cTex3s/s640/1.jpg)