Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wadau Manyara wagombania timu

MGOGORO umeibuka juu ya umiliki halali wa timu ya Tanzanite FC ambayo ni mabingwa wa Mkoa wa Manyara, baada ya wadau wa soka katika mji mdogo wa Mirerani kuvutana na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Michuzi

WADAU WAJITOKEZA KUISAIDIA TIMU YA KIKAPU MBEYA



 Na Emanuel Madafa, MbeyaWachezaji 22 wa mpira wa kikapu Mkoa wa Mbeya, tayari wamefanikiwa kuondoka mkoani humo kwa ajili ya  kushiriki mashindano ya Taifa CUP, yatakayofanyika  Mkoani Dodoma  November 22 hadi November 30 mwaka huu.Wachezaji hao walishindwa kusafiri mapema kuelekea mkoani Dodoma kushiriki mashindano hayo  kutokana na kukabiliwa na uhaba wa fedha hali iliyofanya kuwepo na maandalizi hafifu.Aidha kufanikiwa kwa timu hiyo kunatokana na kujitokeza kwa  Kampuni ya vinywaji...

 

10 years ago

GPL

Ndugu wa Sylvestre Marsh wagombania laki 5 za Simba

Marehemu Sylvestre Marsh enzi za uhai wake.
Na Leah Marco,Mwanza
KATIKA hali ya kushangaza, ndugu wa marehemu Sylvestre Marsh aliyekuwa kocha msaidizi wa Taifa Stars, aliyefariki dunia Machi 14, mwaka huu, wameingia kwenye gogoro zito la kugombania fedha zilizotolewa na Klabu ya Simba kama ubani kwa Kituo cha Marsh Athletic Centre alichokuwa akikimiliki. Hali hiyo imezua zogo baada ya baadhi ya ndugu wa marehemu kudai kuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

5 years ago

Michuzi

TIMU YA VIJANA YA SIMBA YAIBUKA NA USHINDI WA MABAO 2- 0 DHIDI YA TIMU YA YANGA

Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu
TIMU ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 wa Simba wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wapinzani wao Yanga katika mchezo wa utangulizi uliochezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Mchezo wa timu hizo mbili ambao ulikuwa wa utangulizi kabla ya mechi ya timu ya Simba na Yanga wanaoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Mtangane ulianza saa nane mchana ambapo vijana hao kwa kila timu walionesha umahiri wao wa kusakata kabumbu licha ya umri walionao. Timu ya...

 

10 years ago

Michuzi

Timu ya Taifa Stars mpaka sasa inaongoza 3-0 dhidi ya timu ya Benin.

"Uzalendo kwanza" Shabiki wa timu ya Taifa Stars akishangilia  Mshambliaji wa Timu ya Taifa Stars,Thomas Ulimwengu akijaribu kumtoka Beki wa Timu ya Benin wakati wa Mchezo wao wa Kirafiki unaoendelea hivi sasa ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo,Taifa Stas inaongoza bao 3-0 mpaka sasa. Kiungo Mshambuliaji wa Taifa Stars,Amri Kiemba akiipatia timu yake bao la pili katika Mchezo wao wa Kirafiki unaoendelea hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo,Taifa Stas...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani