Wadau Manyara wagombania timu
MGOGORO umeibuka juu ya umiliki halali wa timu ya Tanzanite FC ambayo ni mabingwa wa Mkoa wa Manyara, baada ya wadau wa soka katika mji mdogo wa Mirerani kuvutana na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo27 Nov
9 years ago
MichuziWADAU WAJITOKEZA KUISAIDIA TIMU YA KIKAPU MBEYA
Na Emanuel Madafa, MbeyaWachezaji 22 wa mpira wa kikapu Mkoa wa Mbeya, tayari wamefanikiwa kuondoka mkoani humo kwa ajili ya kushiriki mashindano ya Taifa CUP, yatakayofanyika Mkoani Dodoma November 22 hadi November 30 mwaka huu.Wachezaji hao walishindwa kusafiri mapema kuelekea mkoani Dodoma kushiriki mashindano hayo kutokana na kukabiliwa na uhaba wa fedha hali iliyofanya kuwepo na maandalizi hafifu.Aidha kufanikiwa kwa timu hiyo kunatokana na kujitokeza kwa Kampuni ya vinywaji...
10 years ago
Vijimambo21 Dec
10 years ago
GPLNdugu wa Sylvestre Marsh wagombania laki 5 za Simba
Marehemu Sylvestre Marsh enzi za uhai wake.
Na Leah Marco,Mwanza
KATIKA hali ya kushangaza, ndugu wa marehemu Sylvestre Marsh aliyekuwa kocha msaidizi wa Taifa Stars, aliyefariki dunia Machi 14, mwaka huu, wameingia kwenye gogoro zito la kugombania fedha zilizotolewa na Klabu ya Simba kama ubani kwa Kituo cha Marsh Athletic Centre alichokuwa akikimiliki. Hali hiyo imezua zogo baada ya baadhi ya ndugu wa marehemu kudai kuwa...
10 years ago
Michuzi30 Oct
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-V13tLYegyhA/Tqd1eaZ5BgI/AAAAAAAARB0/yqIqTp9O_c8/s72-c/vijimambo.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3XoHDWc4q4Q/XmZAgyra22I/AAAAAAALiQE/JytjH8gDpvc4ycFivZiVxyDDvYXQE9McQCLcBGAsYHQ/s72-c/127-1270644_simba-sc-simba-sports-club-logo.png)
TIMU YA VIJANA YA SIMBA YAIBUKA NA USHINDI WA MABAO 2- 0 DHIDI YA TIMU YA YANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3XoHDWc4q4Q/XmZAgyra22I/AAAAAAALiQE/JytjH8gDpvc4ycFivZiVxyDDvYXQE9McQCLcBGAsYHQ/s400/127-1270644_simba-sc-simba-sports-club-logo.png)
TIMU ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 wa Simba wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wapinzani wao Yanga katika mchezo wa utangulizi uliochezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mchezo wa timu hizo mbili ambao ulikuwa wa utangulizi kabla ya mechi ya timu ya Simba na Yanga wanaoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Mtangane ulianza saa nane mchana ambapo vijana hao kwa kila timu walionesha umahiri wao wa kusakata kabumbu licha ya umri walionao. Timu ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Zt1MqjoKB54/VDqcMjnFA6I/AAAAAAAGpkc/4-7jYWGstfg/s72-c/MMGM1237.jpg)
Timu ya Taifa Stars mpaka sasa inaongoza 3-0 dhidi ya timu ya Benin.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zt1MqjoKB54/VDqcMjnFA6I/AAAAAAAGpkc/4-7jYWGstfg/s1600/MMGM1237.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F839fh-xuUg/VDqdD20esxI/AAAAAAAGplE/pR53zlJRhuk/s1600/MMGM1069.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DVHg3Z8zODY/VDqcQ8bQxUI/AAAAAAAGpkk/VikrHaNIwEg/s1600/MMGM1162.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania