Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wadau wakerwa na Sh 1,200 DART

NAULI ya Sh 1,200 iliyopendekezwa na watoaji wa huduma ya usafiri wa mabasi yaendayo haraka (UDA RT) imepingwa na wadau wa sekta ya usafiri, badala yake wameshauri iwe kati ya Sh 400 na 500 kutimiza malengo ya kusaidia wananchi wa kipato cha kawaida.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kongamano la Uhuru wa habari WPFD kufanyika Morogoro Mei 2-3, wadau zaidi ya 200 kushiriki

MISATAN Chairperson Simon Berege addresses the media during a press conference to introduce World Press Freedom Day 2015

Mwenyekiti wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Simon Berege akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na maadhimisho ya siku ya uhuru wa habari duniani (WPFD) yatakayofanyika tarehe 2 mwezi Mei mwaka huu mkoani Morogoro.

Na Modewjiblog team

Wanahabari  na wadau wa habari wanatarajiwa kukutana Mkoani Morogoro  kwa siku mbili kwa kusanyiko la maadhimisho ya siku ya Uhuru wa habari duniani (WPFD),...

 

10 years ago

GPL

KONGAMANO LA UHURU WA HABARI WPFD KUFANYIKA MOROGORO MEI 2-3, WADAU ZAIDI YA 200 KUSHIRIKI‏

Mwenyekiti wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Simon Berege akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na maadhimisho ya siku ya uhuru wa habari duniani (WPFD) yatakayofanyika tarehe 2 mwezi Mei mwaka huu mkoani Morogoro. Mkurugenzi wa Mfuko wa Vyombo vya Habari Tanzania (TMF) ambao ni miongoni mwa wadau wa maandalizi ya maadhimisho hayo...

 

5 years ago

Michuzi

FORUMCC KUWAKUTANISHA WADAU WA MAZINGIRA ZAIDI YA 200 KATIKA MKUTANO MKUU WA SITA, RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE KUTOA HOTUBA


Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii

RAIS Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Jakaya Kikwete anatarajiwa kutoa hotuba katika Mkutano Mkuu wa Sita wa Mabadiliko ya Tabianchi unaotarajiwa kufanyika Machi 25 hadi 26 mwaka huu katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam ambapo wadau zaidi ya 200 wanatarajiwa kuhudhuriwa mkutano huo.
Mkutano huo umeandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali la FORUMCC linalojihusisha na kuleta ushawishi wa kuchukua hatua...

 

11 years ago

Habarileo

Maaskofu wakerwa na wabunge

Askofu wa Katoliki Jimbo la Dodoma, Mhashamu Gervas Nyaisonga. KUSHAMIRI kwa matukio ya kupigana vijembe, kebehi, kashfa na mipasho katika Bunge Maalumu la Katiba, kumezidi kuwaibua wengi wakilaani na kukemea hali hiyo inayotajwa kuharibu nia nzuri ya serikali ya kuhakikisha Katiba bora inapatikana kwa wakati.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakerwa na uzembe Moshi

Wananchi wa Kijiji cha Himo, Kata ya Makuyuni, wilayani hapa mkoani Kilimanjaro wameonyesha kukerwa na kitendo cha halmashauri ya kijiji kutoichukulia hatua kampuni iliyoshinda zabuni ya kukusanya ushuru wa malori yanayosafirisha mazao kwenda Kenya.

 

10 years ago

Habarileo

Wakerwa wanafunzi kuwa vibarua

WANANCHI katika kijiji cha Karukekere wilayani Bunda, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha wanafunzi wa Shule ya Msingi Karukekere, kudaiwa kufanyishwa kazi za vibarua vya kulima na kazi nyingine na walimu wa shule hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

Wakerwa misaada kupokewa kisiasa

WAATHIRIKA wa mafuriko kata ya Lamadi Wilaya ya Busega, mkoani Simiyu, wameeleza kusikitishwa na misaada iliyotolewa na taasisi mbalimbali kupokewa kisiasa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Madiwani wakerwa uchakachuaji wa tumbaku

MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Uyui mkoani Tabora, wameelezea masikitiko yao kuhusu uchafuzi wa tumbaku unaofanywa na baadhi ya wakulima wasio waaminifu na kutaka itungwe sheria kukabiliana na uovu...

 

11 years ago

Habarileo

Wawakilishi wakerwa kupapaswa uwanjani

BAADHI ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wameitaka Wizara ya Mawasiliano na Miundombinu kuweka vifaa vya kisasa vya ukaguzi kwa abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Zanzibar na kuacha tabia ya kuwakagua abiria kwa kuwapapasa mwili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani