Wadau wakerwa na Sh 1,200 DART
NAULI ya Sh 1,200 iliyopendekezwa na watoaji wa huduma ya usafiri wa mabasi yaendayo haraka (UDA RT) imepingwa na wadau wa sekta ya usafiri, badala yake wameshauri iwe kati ya Sh 400 na 500 kutimiza malengo ya kusaidia wananchi wa kipato cha kawaida.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog28 Apr
Kongamano la Uhuru wa habari WPFD kufanyika Morogoro Mei 2-3, wadau zaidi ya 200 kushiriki
Mwenyekiti wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Simon Berege akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na maadhimisho ya siku ya uhuru wa habari duniani (WPFD) yatakayofanyika tarehe 2 mwezi Mei mwaka huu mkoani Morogoro.
Na Modewjiblog team
Wanahabari na wadau wa habari wanatarajiwa kukutana Mkoani Morogoro kwa siku mbili kwa kusanyiko la maadhimisho ya siku ya Uhuru wa habari duniani (WPFD),...
10 years ago
GPL
KONGAMANO LA UHURU WA HABARI WPFD KUFANYIKA MOROGORO MEI 2-3, WADAU ZAIDI YA 200 KUSHIRIKI
5 years ago
Michuzi
FORUMCC KUWAKUTANISHA WADAU WA MAZINGIRA ZAIDI YA 200 KATIKA MKUTANO MKUU WA SITA, RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE KUTOA HOTUBA
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
RAIS Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Jakaya Kikwete anatarajiwa kutoa hotuba katika Mkutano Mkuu wa Sita wa Mabadiliko ya Tabianchi unaotarajiwa kufanyika Machi 25 hadi 26 mwaka huu katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam ambapo wadau zaidi ya 200 wanatarajiwa kuhudhuriwa mkutano huo.
Mkutano huo umeandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali la FORUMCC linalojihusisha na kuleta ushawishi wa kuchukua hatua...
11 years ago
Habarileo
Maaskofu wakerwa na wabunge
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Wakerwa na uzembe Moshi
10 years ago
Habarileo26 Nov
Wakerwa wanafunzi kuwa vibarua
WANANCHI katika kijiji cha Karukekere wilayani Bunda, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha wanafunzi wa Shule ya Msingi Karukekere, kudaiwa kufanyishwa kazi za vibarua vya kulima na kazi nyingine na walimu wa shule hiyo.
10 years ago
Habarileo11 Apr
Wakerwa misaada kupokewa kisiasa
WAATHIRIKA wa mafuriko kata ya Lamadi Wilaya ya Busega, mkoani Simiyu, wameeleza kusikitishwa na misaada iliyotolewa na taasisi mbalimbali kupokewa kisiasa.
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Madiwani wakerwa uchakachuaji wa tumbaku
MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Uyui mkoani Tabora, wameelezea masikitiko yao kuhusu uchafuzi wa tumbaku unaofanywa na baadhi ya wakulima wasio waaminifu na kutaka itungwe sheria kukabiliana na uovu...
11 years ago
Habarileo14 Jun
Wawakilishi wakerwa kupapaswa uwanjani
BAADHI ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wameitaka Wizara ya Mawasiliano na Miundombinu kuweka vifaa vya kisasa vya ukaguzi kwa abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Zanzibar na kuacha tabia ya kuwakagua abiria kwa kuwapapasa mwili.