Wafanyabiashara Tanzania, China wajengeana uwezo
Kongamano la biashara lililomalizika jana nchini limewawezesha wafanyabiashara nchini kukutana ana kwa ana na wenzao wa China, kubadilishana taarifa na kujenga mtandao wa kibiashara kwa faida yao na nchi kwa ujumla.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ukI3Nx3WVno/VTEis58FJWI/AAAAAAAHRsA/sqZUrunUFEs/s72-c/1.jpg)
WARSHA YA WAFANYABIASHARA WA TANZANIA NA CHINA YAFANYIKA JIJINI DAR LEO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-ukI3Nx3WVno/VTEis58FJWI/AAAAAAAHRsA/sqZUrunUFEs/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q8Jyvlbv9bU/VTEizfXesPI/AAAAAAAHRsI/CuxmchbF_0Y/s1600/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aWw3rEjKijQ/U_xUEK0mUuI/AAAAAAABGW8/qH7XCKes_CA/s72-c/Pg.2.jpg)
BENKI YA CRDB YALETA UFANISI KATI YA WAFANYABIASHARA, WAWEKEZAJI WA CHINA NA TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-aWw3rEjKijQ/U_xUEK0mUuI/AAAAAAABGW8/qH7XCKes_CA/s1600/Pg.2.jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/01/313.jpg)
CHINA WORD BUZ YAELEZEA NJIA MBADALA ZITAKAZOPUNGUZA GHARAMA ZA WAFANYABIASHARA WADOGO KUFUATA BIDHAA CHINA
Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni hiyo hapa nchini Bw. Shafii Mwaijande akionyesha kipeperushi kinachoelezea moja ya makampuni makubwa ya bishara ambayo yamesaini mikataba ya kibiashara na kampuni ya China World Buz, katikati ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya China Word Buz na mwakilishi wa wamiliki wa viwanda 45 nchini China vilivyoingia mkataba wa kibiashara na kampuni hiyo China Bwana Cheng Wang Wu na wa pili kutoka kushoto...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
China yaonyesha uwezo wake wa kijeshi kwa gwaride la nguvu
China ina kila sababu ya kusheherekea siku hii kwa shangwe baada ya historia kuwapitisha hatua ya kuwa taifa maskini na sasa ni taifa la pili duniani kwa kuwa na uchumi mkubwa duniani.
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/01/132.jpg)
KAMPUNI YA CHINA WORLD BUZ YAENDESHA SEMINA KWA WAFANYABIASHARA JIJINI ARUSHA
Shafii Mwaijande Ofisa Mtendaji Mkuu wa China Word Buz kwa upande wa Tanzania akizungumza na wafanya biashara wadogo na wakati kwenye ukumbi wa Triple A jijini Arusha wakati wa Semina kwa wafanya biashara hao iliyofanyika siku ya jana, kuhusu mfumo utakaosaidia wafanyabiashara wadogo wa Tanzania kutafuta masoko ya bidhaa nchini China na kuwapa taarifa sahihi za masoko kwa msaada wa kampuni hiyo,Mfumo huo hautampa gharama kubwa...
10 years ago
VijimamboZAIDI WANAFUNZI 100 WAPEWA SEMINA YA KUWAJENGEA UWEZO KUANZA SAFARI YA MASOMO KATIKA VYUO VIKUU VYA INDIA NA CHINA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-V4xbcFkPbIA/Uv01CghqUWI/AAAAAAAFNCM/8w_piVeR7HA/s72-c/unnamedZ.jpg)
MAMLKAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) NA MAMLAKA YAUSAFIRI WA ANGA NCHINI CHINA (CAAC) WASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO WA NDEGE ZINAZOTENGENEZWA CHINA KUTUA KATIKA ANGA LA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-V4xbcFkPbIA/Uv01CghqUWI/AAAAAAAFNCM/8w_piVeR7HA/s1600/unnamedZ.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania