Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyabiashara wapigia chapuo Tanesco kugawanywa

Wadau wa biashara nchini wanaiona hatua ya Serikali kutaka kuligawa Shirika la Umeme nchini (Tanesco), kama hatua muhimu katika kuongeza ufanisi wa kushughulikia matatizo ya nishati ya umeme nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara walia na Tanesco

>Kukosekana kwa umeme kwa wakazi wa mjini hapa kwa muda wa wiki mbili sasa, kumezua maswali hali inayosababisha baadhi ya wafanyabiashara kufunga biashara zao.

 

11 years ago

BBCSwahili

55% wapigia katiba kura Misri

Maafisa wakuu nchini Misri wamesifu sana idadi kubwa ya watu waliojitokeza kupigia kura ya maamuzi rasimu ya katiba mpya.

 

10 years ago

Mwananchi

Katiba: Mawaziri Zanzibar wapigia kampeni kura ya ndiyo

Mawaziri katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Muungano wameanza kampeni kuwataka wananchi kuunga mkono Rasimu ya Katiba Inayopendekezwa wakisema imezingatia masilahi ya Zanzibar kiuchumi na kiutawala.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Ndugulile afurahia Kigamboni kugawanywa

MBUNGE wa Kigamboni, Dk. Faustine Ndugulile, amesema uamuzi wa Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Temeke kuridhia kuligawanya jimbo lake utakuwa na manufaa kwa maendeleo ya wakazi wake. Alisema ukubwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

CAR:Waasi wataka nchi kugawanywa

Waasi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR wamekataa makubaliano ya kusitsisha vita na kutaka taifa hilo ligawanywe.

 

11 years ago

Habarileo

Kinana aahidi kupigania Manyoni kugawanywa

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitahakikisha kuwa Wilaya ya Manyoni inagawanywa kuwa wilaya mbili ili kusogeza huduma mbalimbali za kijamii karibu zaidi na wananchi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mashamba ya Balali kugawanywa kwa wananchi

>Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero imeamua kufuta miliki ya mashamba yote makubwa yasiyoendelezwa na taratibu mpya zinafanyika ili kuyamilikisha kwa wananchi.

 

11 years ago

Habarileo

Ujangili wasababisha Pori la Selous kugawanywa kanda 8

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro NyalanduKATIKA kukabiliana na ujangili katika Pori la Akiba la Selous, Serikali imegawa pori hilo katika kanda nane ili zijitegemee.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani