Wafanyakazi Tanesco, Wachina kizimbani kwa tuhuma za ufisadi
Bukoba.Wafanyakazi wawili wa Tanesco na raia wawili wa China wamefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Kagera kwa tuhuma za  kutenda makosa kumi na sita na kusababisha hasara ya zaidi ya shilingi bilioni moja.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi25 Nov
Wachina kizimbani kwa pembe za faru
9 years ago
BBCSwahili04 Dec
Maafisa 16 wa FIFA kizimbani kwa ufisadi
11 years ago
BBCSwahili01 Aug
Mtoto wa Rais Kizimbani kwa ufisadi
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Watu 12 kizimbani kwa tuhuma za mauaji ya Kiteto
10 years ago
Habarileo31 Aug
Askari wa JWTZ kizimbani kwa tuhuma za mauaji
ASKARI wawili wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora kwa tuhuma ya kumpiga hadi kumuua Chacha Juma, mkazi wa Nzega Mjini.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vhSgqy-e9Cg/XrqHtw2h4MI/AAAAAAALp6I/6ou3pmxfTtIJxAdEpWgFthFf52gKil3xACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-12%2Bat%2B2.18.16%2BPM.jpeg)
MFANYABIASHARA LEMA KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA UHUJUMU UCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-vhSgqy-e9Cg/XrqHtw2h4MI/AAAAAAALp6I/6ou3pmxfTtIJxAdEpWgFthFf52gKil3xACLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-12%2Bat%2B2.18.16%2BPM.jpeg)
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Vicky Mwaikambo na Wakili wa serikali mwamdamizi, Maternus Marandu imedai mshtakiwa anakabiliwa na mashtaka ya kuongoza genge la uhalifu, kusafirisha magogo, kugushi, kutoa...
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/8ZYHw2_ACb4/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NWMTNrc8DU4/XsZ5mpJZ3gI/AAAAAAALrHw/nJn_TdsFDFQBv44PkpVJ8IM7OiIr09ZfACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-21%2Bat%2B3.47.14%2BPM.jpeg)
DIWANI KATA YA KIJICHI KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA KULA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-NWMTNrc8DU4/XsZ5mpJZ3gI/AAAAAAALrHw/nJn_TdsFDFQBv44PkpVJ8IM7OiIr09ZfACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-21%2Bat%2B3.47.14%2BPM.jpeg)
DIWANI wa Kata ya Kijichi halmashauri ya Manispaa wa Temeke kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Elias Mtarawanje (29), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke akikabiliwa na mashtaka mawili likiwamo la kupokea rushwa ya Sh. Milioni moja kutoka kwa Yusuf Omary.
Diwani huyo amefikishwa mahakamani...
10 years ago
CloudsFM07 Oct
WAPANDISHWA KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA KULAWITI NA KUSAMBAZA PICHA MTANDAONI
WASHITAKIWA wanaokabiliwa na mashitaka ya kulawiti na kutuma picha katika mitandao ya kijamii, wamepandishwa kizimbani kusomewa maelezo ya awali ambapo walidaiwa kumlawiti mwanaume mwenzao na kumpiga picha kwa madai ya kutaka kulipwa Sh milioni moja.
Washitakiwa hao ni Erick Kasira (39) na Juma Richard (31) ambao wanadaiwa kulawiti sanjari na kupiga picha za tukio hilo.
Wakili wa Serikali Mutalemwa Kishenyi alidai mbele ya Hakimu Mfawidhi Said Mkasiwa kwamba Agosti 23 mwaka huu, maeneo ya...