Mtoto wa Rais Kizimbani kwa ufisadi
Kesi ya ufisadi dhidi ya Karim Wade, mtoto wa rais wa zamani wa Senegal Abdoulaye Wade imeanza kusikilizwa huko Dakar Senegal.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili04 Dec
Maafisa 16 wa FIFA kizimbani kwa ufisadi
9 years ago
Mwananchi04 Dec
Wafanyakazi Tanesco, Wachina kizimbani kwa tuhuma za ufisadi
10 years ago
Habarileo16 Aug
Kizimbani akidaiwa kunajisi mtoto
MKAZI wa Kinondoni Msisiri jijini Dar es Salaam, Ally Mzaki (27) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, kujibu mashitaka ya kumnajisi mtoto wa miaka mitano.
11 years ago
Habarileo25 Apr
Polisi kizimbani wizi wa mtoto
WATU wawili akiwemo askari Polisi wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Mbeya, wakituhumiwa kuiba mtoto. Mshitakiwa wa kwanza katika kesi hiyo konstebo wa Polisi WP 5367 Prisca Isaya (35) mkazi wa Ilala Dar es Salaam na mkazi wa Njisi wilayani Kyela mkoani hapa Salehe Mwangosi (28).
11 years ago
Habarileo27 May
Baba, walezi mtoto wa Morogoro kizimbani
BABA mzazi pamoja na walezi wa mtoto anayedaiwa kufichwa kwenye boksi kwa takribani miaka mitatu, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Morogoro na kusomewa mashitaka ya kula njama na kufanya ukatili dhidi ya mtoto huyo.
11 years ago
Michuzi10 Jun
WATUHUMIWA WA MTOTO ALIYEKUFA KUTOKA KWENYE BOX KIZIMBANI MOROGORO
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/_v_ybbOJuqsZuGyD5J75QEaOxLEsJggvBprfseaS8J97tbUxP33LqceD85magn3ngYciVc1zJBS400l8VvF3CXnuDbbVuJa0DfFusIYXIAuqRmZeqooStdTSyqOiBdd4kGSPEs8KYuThYTQvaLcjmjWDDITzXuJFwUO2WC83erumJtyMRST4tKLcgk3xeFjYv8XvRAPqqR-T8mNpQlsEJodf1PToOsN-2Z9hpBE1Ut6DUKtRW2Z_sDMnNp-JW8dgNecp9XqYIA2Zg8EPqnxHFST70Ckewom1Bmwyw2RiuURjYadwpqPWY_6zPpAFgkZnT_Mq-uB-trtK=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-3kqMxdF8TsM%2FU5W2J6iAZhI%2FAAAAAAAAHv8%2FKrgHpGJgjPM%2Fs1600%2F1.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/lYZum38vfAY4-k1RiTTdAlBy_MMRqwZX7jkBE-B-yTzwvW_5iH8wlfxRFF-nJO3tfE1W-fNPo2UusWIxADddoccSpb3-9AIeZhQhkn17KbyAijNb-pz-rdJLr2WOdOTjpQ15mvaaAVS45DBbAk1hrE_PO1y0BH-DadNpH0oGvvwWjrSiJK1RM2IeLKsR8bDCXj5qAEDLFppITdNelnviXzQpS-T8YeJ9N9a-dKVuby5uOoAmyRnFa11QHHE_OSZkdq0WCB1NXxIaDLcsDrxf5i0uCMAhPVgLHxrxvrvkERICy4RvyNS7HrLZhgTQ2cP63AH1VG-HBirz=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-tQhKDDOz0OU%2FU5W2InuH9LI%2FAAAAAAAAHvw%2FIlFNksb84Xo%2Fs1600%2F2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-jBzt9JKr9rg/XsGX3oXJyII/AAAAAAABMH4/KXzQk2hCcU02y60bXl7QJ179yt7ERvl0ACLcBGAsYHQ/s72-c/10...jpg)
RAIS MAGUFULI: MTOTO WANGU ALIUGUA CORONA NA KUPONA KWA KUJIFUKIZA,KULA MALIMAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-jBzt9JKr9rg/XsGX3oXJyII/AAAAAAABMH4/KXzQk2hCcU02y60bXl7QJ179yt7ERvl0ACLcBGAsYHQ/s400/10...jpg)
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema kwamba mwanawe aliambukizwa virusi vya corona lakini akapona baada ya kujitenga,kunywa malimao na kujifukiza.Rais Magufuli amezungumza wakati akitoa salamu kwa watanzania aliposhiriki ibada ya Jumapili katika kanisa la kilutheri Usharika wa Chato mkoani Geita.''Mtoto wangu alipata corona....mtoto wa kuzaa mimi , alijifungia kwenye chumba huko akaanza kujifukiza akanywa malimao na tangawizi, amepona yuko mzima anapiga push ups''...
10 years ago
Habarileo30 Mar
Wataka Rais ajaye adhibiti ufisadi
WAKATI joto la Urais likishika kasi kuelekea Uchaguzi Mkuu wa baadaye mwaka huu, wananchi wa Tanzania wameonesha kumtaka rais ambaye atahakikisha anadhibiti rushwa na ufisadi, upatikaji wa ajira na elimu bora nchini.
9 years ago
Raia Mwema28 Aug
Tunataka Rais jasiri atakayefufua kashfa za ufisadi huu
RUSHWA na ufisadi ni mambo ambayo yametangaziwa vita na kila awamu ya serikali inayoingia madarak
Joseph Mihangwa