Wafanyakazi wa Hospitali ya wanawake na watoto ya Centenary ya mjini Canberra wameonyesha nia ya kufanya kazi nchini Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-DjUdcDNWF90/VbiBRSx23zI/AAAAAAAHsY4/B34-JkcI3rA/s72-c/1409040564817_wps_3_The_entrance_to_Canberra_.jpg)
Na Mwandishi wetu – Canberra, Australia
Wafanyakazi wa Hospitali ya wanawake na watoto ya Centenary ya mjini Canberra wameonyesha nia ya kufanya kazi nchini Tanzania ili kumuunga mkono Mke wa Rais Mhe. Mama Salma Kikwete katika juhudi zake za kupunguza vifo vya kina mama wajawazito na watoto.
Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji anayeshughulikia afya za wanawake, vijana na watoto wa Hospitali hiyo Liz Chatham wakati akiongea na Mhe. Mama Kikwete na ujumbe wake walipotembelea Hospitali...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Wafanyakazi wa Hospitali ya Centenary ya mjini Canberra wameonyesha nia ya kufanya kazi Tanzania ili kumuunga mkono Mama Salma Kikwete
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa kijeshi wa Fairbairn mjini Canberra katika siku ya mwanzo ya ziara yake rasmi ya siku nne ya Kiserikali nchini Australia.(Picha na IKULU).
Na Mwandishi wetu – Canberra, Australia
Wafanyakazi wa Hospitali ya wanawake na watoto ya Centenary ya mjini Canberra wameonyesha nia ya kufanya kazi nchini Tanzania ili kumuunga mkono Mke wa Rais Mhe. Mama Salma Kikwete katika juhudi zake za kupunguza vifo vya kina...
10 years ago
Vijimambo29 Jul
WAFANYAKAZI WA HOSPITALI YA WANAWAKE NA WATOTO MJINI CANBERRA NCHINI AUSTRALIA WAONYESHA NIA YA KUJA KUFANYA KAZI TANZANIA
![sa1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/sa11.jpg)
![sa2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/sa21.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-u0GWnmM0TzE/Vfmq81TsqXI/AAAAAAAH5Ys/8uEEdQ1PAJQ/s72-c/us.png)
Wafanyakazi wa Kujitolea wa Kimarekani kufanya kazi katika sekta ya elimu katika wilaya 31 nchini Tanzania
![](http://2.bp.blogspot.com/-u0GWnmM0TzE/Vfmq81TsqXI/AAAAAAAH5Ys/8uEEdQ1PAJQ/s1600/us.png)
9 years ago
Michuzi17 Aug
WATAALAM WA TEHAMA NCHINI TANZANIA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA MAADILI, WELEDI NA UBUNIFU
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/178.jpg)
Naibu Katibu Mkuu,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw.HAB Mkwizu akifungua mkutano wa kwanza wa mwaka wa Serikali Mtandao leo jijini Arusha.Zaidi ya wataalam wa TEHAMA 500 kutoka Wizara, Idara, Wakala,Taasisi, Halmashauri wako jijini Arusha kujadili mafanikio na changamoto za Serikali mtandao.
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/254.jpg)
Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Serikali Mtandao Dkt.Jabiri Bakari akitoa ufafanuzi kuhusu Serikali Mtandao kwa washiriki wa Mkutano wa kwanza wa Serikali Mtandao unaofanyika katika...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mJT3I5FP5JA/VRJMez6ennI/AAAAAAAHNBk/lesA9AI-RfY/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
Wafanyakazi Wanawake wa Tanga Cement Walivyosherehekea Siku ya Wanawake Duniani mjini Tanga
![](http://4.bp.blogspot.com/-mJT3I5FP5JA/VRJMez6ennI/AAAAAAAHNBk/lesA9AI-RfY/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RWpCpAJwU6Y/VRJMgOF2ALI/AAAAAAAHNB0/DLcJWobAVMY/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
10 years ago
Bongo Movies09 Dec
KAZI MPYA:Wema Atua Nchini Ghana Kufanya Kazi na Van Vicker
Aliekuwa Miss Tanzania (2006), Mwigizaji na mkurugenzi wa kampuni ya Endless Fame, inayojishughurisha na mambo ya filamu hapa nchini, Wema Sepetu aka Madame hivi sasa yupo nchini Ghana kwaajili ya kufanya kazi na msanii maarufu nchini humo na Afrika kwa ujumla aitwaye van vicker.
Leo hii kwenye mtandao wa kijamii Wema aliweka picha hiyo akiwa na msanii huyo na kuandika “In the Making” na kumtag Van.
Jina la project (MOVIE) hiyo mpya hadi sasa bado halijajulikana. Endelea kutufuatilia hapa...
5 years ago
MichuziWafanyakazi Wanawake wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii watoa msaada wa vifaa tiba Hospitali ya Palestina
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Heu0Cykqa5U/VTD5QwP5D-I/AAAAAAAHRp4/F-8u-HYf2oI/s72-c/TIA%2B-%2Bno%2B1.jpg)
MABARAZA YA WAFANYAKAZI TAASISI ZA ELIMU YA JUU YATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Heu0Cykqa5U/VTD5QwP5D-I/AAAAAAAHRp4/F-8u-HYf2oI/s1600/TIA%2B-%2Bno%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-s0m_jKkKdFU/VTD5QoqOyzI/AAAAAAAHRpo/Gy64p3dF454/s1600/TIA%2B-2.jpg)