Wafanyakazi watatu wa NMB kizimbani
WATU watatu akiwemo mfanyakazi wa Benki ya NMB, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka 13 ya kuiibia benki hiyo zaidi ya Sh bilioni moja na kutakatisha fedha.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper
Ofisa NMB kizimbani
Yeye na wenzake washitakiwa kwa makosa 13Yamo ya kuiba bil. 1/-, kutakatisha fedha haramu
NA FURAHA OMARY
WATU watatu, akiwemo mtumishi wa Benki ya NMB, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu mashitaka 13, yakiwemo ya kuiibia benki hiyo zaidi ya sh. bilioni moja na kutakatisha fedha haramu.
Mtumishi wa benki hiyo, Mtoro Suleiman, Daudi Kindamba na John Kikopa, walisomewa mashitaka hayo jana na Wakili wa Serikali Pius Hilla, mbele ya Hakimu Mkazi Hellen Riwa.
Hilla...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Kizimbani kuisababishia hasara NMB bil. 1/-
WATU wa tatu wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na shitaka la kuisababishia National Microfinance Bank (NMB), hasara ya zaidi ya sh bilioni moja. Wakisomewa shitaka hilo...
10 years ago
Habarileo20 Aug
Vigogo watatu wizara ya afya kizimbani
MAOFISA Utumishi watatu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, wakikabiliwa na mashitaka ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara ya zaidi ya Sh milioni 3.7.
10 years ago
GPLMZIMU WA ESCROW WAWAFIKISHA WATATU KIZIMBANI
10 years ago
GPL
WATUHUMIWA WATATU WA SAKATA LA ESCROW KIZIMBANI
11 years ago
Michuzi
ALIYEKUWA MKURUGENZI WA TANESCO WILLIAM MHANDO, MKEWE NA WENZAO WATATU KIZIMBANI

Mwene Said wa Blogu ya Jamii, Mahakamani
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), William Mhando, mke wake Eva Mhando, na wenzao watatu, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, wakikabiliwa na mashitaka sita ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka, kughushi na kujipatia Sh. Milioni 31.7 kwa njia ya udanganyifu. Kadhalika, Mhando anakabiliwa na matumizi mabaya ya madaraka kwa kuipa zabuni Kampuni ya Santa Clara Supplies Ltd, huku akijua ana...
5 years ago
Michuzi
Watuhumiwa watatu akiwemo raia wa Nigeria wa Dawa za kulevya wapadishwa kizimbani kisutu leo
Mbali na Chukwu washtakiwa wengine ni Isso Lupembe 49 mkazi wa Mbezi Luis na Allistair Mbele 38 anayeishi Mbezi Kibanda cha Mkaa.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na mawakili wa serikali waandamizi , Veronika Matikila, na...
9 years ago
Michuzi30 Nov
Wafanyakazi Benki ya NMB washerehekea 'Family Day'



9 years ago
Mwananchi04 Dec
Wafanyakazi Tanesco, Wachina kizimbani kwa tuhuma za ufisadi