Wafugaji wapata watoto wenye vichwa vikubwa
JAMII za wafugaji zinadaiwa kukabiliwa na kiwango kikubwa na tatizo la kuzaa watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi unaochangiwa wajawazito kukosa vitamini itokanayo na mboga za majani kutokana na kitoweo chao kikubwa kuwa nyama.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo04 Jul
Watoto wenye vichwa vikubwa kupungua
KUNA kila ishara sasa tatizo la watoto wadogo kupata ugonjwa wa kichwa kikubwa utapungua, baada ya Kituo cha Utafiti wa Madini cha Ngurdoto jijini Arusha, kubaini teknolojia rahisi inayozuia madini yanayosababisha ulemavu huo.
11 years ago
Habarileo07 Apr
Madaktari: Watoto wenye vichwa vikubwa wanatibika
WATOTO zaidi ya 4,500 wenye matatizo ya kichwa kikubwa, mgongo wazi na matatizo ya mifupa wanazaliwa kila mwaka na kati yao wanaoweza kupatiwa matibabu ya upasuaji ni 200 na wengine waliobaki hawapati huduma hizo.
10 years ago
Mtanzania05 Dec
Upasuaji watoto wenye vichwa vikubwa wasuasua
![Mtoto mwenye kichwa kikubwa](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/12/big-headed1.jpg)
Mtoto mwenye kichwa kikubwa
Hadia Khamis na Mwantum Saadi, Dar es Salaam
TAASISI ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI), imekumbwa na uhaba mkubwa wa vifaa vya upasuaji wa watoto wenye vichwa vikubwa na uti wa mgongo ulio wazi.
Akizungumza katika mahojiano maalumu na MTANZANIA ofisini kwake Dar es Salaam jana, Meneja Ustawi wa taasisi hiyo, Almas Jumaa, alisema kukosekana kwa vifaa hivyo kumesabisha wazazi wengi ambao watoto wao wana matatizo hayo, kushindwa kupata huduma kwa wakati...
10 years ago
BBCSwahili24 Oct
Wenye vichwa vikubwa wanyanyapaliwa
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
‘Wanaozaliwa na vichwa vikubwa waongezeka’
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Tanzania yakabiliwa uhaba wa madaktari wa vichwa vikubwa
TANZANIA inakabiliwa na upungufu wa wataalam wa upasuaji kwa watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi ambapo kwa sasa ina madaktari watano ambao wanazunguka katika hospitali za rufaa nchini kutibu....
10 years ago
Habarileo26 Oct
Tiba kwa wagonjwa vichwa vikubwa bado ngumu
WAGONJWA wa vichwa vikubwa na mgongo wazi wamekuwa wakikabiliwa na tatizo la upatikanaji wa tiba kwa urahisi, kutokana na kuwapo madaktari bingwa watano huku jamii kushindwa kumudu gharama za matibabu na kufika hospitalini.
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio)
Kumekuwepo na fununu zikienea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu Wanawake wenye maumbile makubwa au Hips wana nafasi kubwa ya kuzaa watoto wenye uwezo wa kiakili. Hapa nakukutanisha na Dr. Isaac Maro akiuelezea ukweli wa mambo. Bonyeza Play hapa chini kuipata hii yote. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line […]
The post Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio) appeared first on...
11 years ago
Dewji Blog19 Jul
TWB na TWA wafanya mafunzo kituo cha kinamama wenye Watoto wenye ugonjwa wa mtindio wa Ubongo na Mgongo wazi Chawawaki Kigamboni
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Wanawake Tanzania (TWB) Bi. Margaret Chacha akizungumza na kikundi cha kinamama wenye watoto wenye ugonjwa wa mtindio wa ubongo na mgongo wazi kituo cha kigamboni(Chawawaki), wakati ya mafunzo ya ujasiriamali na kuwaelimisha juu ya fursa zinazotolewa na benki ya TWB, Mafunzo hayo yaliandaliwa na Taasisi ya Tanzania Women Of Achievement (TWA).
Mwenyekiti wa Tanzania Women Of Achievement(TWA) Bi.Sadaka Gandi akizungumza na kinamama wenye watoto wenye ugonjwa wa...