Wafumania nyavu 19 waliosahaulika mapema
Kwa miaka zaidi ya themanini tangu kuanzisha kwa Kombe la Dunia kumekuwa na majina mbalimbali yakitawala katika orodha ya wafungaji mahiri wa fainali hizo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 Jun
FALSAFA MBADALA: Waelimike mapema badala ya kuzaa mapema
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Shelder; mtaalamu wa kufumania nyavu
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Samatta kinara wa kufumania nyavu Afrika
11 years ago
Mwananchi05 Jul
BRAZIL 2014: Vita ya wachana nyavu
11 years ago
Uhuru NewspaperSerikali yacharukia viwanda vya nyavu
WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani, amesema viwanda vyote vinavyotengeneza nyavu haramu zinazotumika katika shughuli za uvuvi vitachukuliwa hatua za kisheria.
Dk. Kamani amesema hatua hizo pia zitachukuliwa kwa wafanyabiashara wanaouza nyavu hizo na wale wanaozinunua na kuzitumia katika uvuvi kwa vile kufanya hivyo ni kosa kisheria.
Alikuwa akijibu swali la nyongeza la Jasson Rweikiza (Bukoba Vijijini-CCM), aliyetaka kujua kwa nini serikali inashindwa kuwachukulia...
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Mbunge ataka wauza nyavu wakamatwe
MBUNGE wa Bukoba Vijijini, Jason Rweikiza (CCM), ameitaka serikali kueleza sababu za kuwakamata wavuvi wanaotumia nyavu za macho madogo badala ya kuwakamata wauzaji wa nyavu hizo. Alitaka kujua hayo bungeni...
5 years ago
MichuziNYAVU HARAM ZAKAMATWA NA KUTEKETEZWA WILAYANI BUSEGA
Jumla ya Nyavu 110, kokoro 2 na timber 32 zilizokuwa zinatumika katika uvuvi haram zimekamatwa na kuteketezwa na Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Busega. Vifaa hivyo vimekamatwa kati ya tarehe 19/05/2020 na 04/06/2020 katika vijiji vya Nyakaboja kata ya Kabita na Maega Kata ya Kalemela.
Uvuvi haram umekuwa changamoto ukanda wa Ziwa Viktoria, hivyo Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya wilaya ya Busega imeanza kupambana na wavuvi wanaotumia vifaa visivyokubalika...
10 years ago
StarTV05 May
Uvuvi haramu, Nyavu za zaidi ya sh. mil. 200 zakamatwa.
Na Mariam Emily,
Bukoba.
Idara za uvuvi za mikoa ya Kagera na Geita zimekamata zana haramu za uvuvi zenye thamani zaidi ya shilingi milioni mia mbili katika doria ya wiki mbili iliyofanyika kwenye visiwa na fukwe za mikoa hiyo inayopakana na ziwa Victoria.
Hata hivyo maafisa wa uvuvi wa mikoa hiyo wameshauri kuwepo na sheria kali inayolenga kuwaadhibu watu wanaoendelea kutumia zana zisizoruhusiwa ili kutokomeza uvuvi haramu.
Baadhi ya makokoro kati ya makokoro sabini na saba...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Abdallah Juma ang’ara kwa kuchana nyavu ‘Mchangani’Â
MSHAMBULIAJI wa timu ya Mtibwa Sugar ya Ligi Kuu Tanzania bara, Abdallah Juma ameibukia mashindano ya mchangani ‘ndondo’ akiwa na timu ya Makumira FC inayoshiriki michuano ya TPC Challenge iliyoanza...