Wafungwa wabwaga wanafunzi wa Harvard kwenye mdahalo
Wafungwa kutoka New York wimeshinda mdahalo dhidi ya kundi kutoka Chuo Kikuu cha Harvard, chuo kilichoorodheshwa bora zaidi duniani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-U5H_gMNo-Q4/XunXekkdJZI/AAAAAAALuMQ/nxehCudz85wkC6T0yHA69ZTxSe-es6E-QCLcBGAsYHQ/s72-c/lilian.jpg)
Tayoa yaendesha mdahalo na wanafunzi kwa Tehama
![](https://1.bp.blogspot.com/-U5H_gMNo-Q4/XunXekkdJZI/AAAAAAALuMQ/nxehCudz85wkC6T0yHA69ZTxSe-es6E-QCLcBGAsYHQ/s640/lilian.jpg)
Mdahalo huo wa Timiza Malengo 2020 ulifanyika kwa njia ya mtandao wa Zoom ulishirikisha wanafunzi 680 na wakuu wa vitivo 40 kutoka taasisi 32 za elimu ya juu nchini uliandaliwa na Tayoa kwa kushirikiana na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii,...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/QB0-HUGpjOs/default.jpg)
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Wanaotaka tiketi ya Republican washambuliana kwenye mdahalo
Wanaowania nafasi ya kuwania urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican walijibizana vikali kwenye mdhahalo wa tatu ulioandaliwa Colorado.
10 years ago
Mwananchi17 Jun
Prof Lipumba, Zitto DK Slaa, kuvaana kwenye mdahalo
Umoja wa watendaji wakuu wa kampuni wa CEO RoundTable (CEOrt) umeandaa mdahalo wa kuzungumzia mbio za urais utakaowahusisha viongozi wa vyama vya upinzani, Profesa Ibrahim Lipumba, Dk Willibrod Slaa, Zitto Kabwe na Emmanuel Makaidi, lakini Chadema imesema itakuwa tayari kwa midahalo baada ya mchakato wa ndani kukamilika.
10 years ago
Vijimambo13 Jan
Wananchi waandamana, wabwaga maiti Polisi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Joseph%20konyo-13Jan2015.png)
Kundi la wakazi wa kijiji cha Nkome wilayani Geita, Mkoa wa Geita, wameandamana kisha kutelekeza maiti ya mwenzao, Mlangila Tigamanywa (22), mbele ya kituo cha polisi cha Nkome wakidai baadhi askari wake wamemuua kwa kipigo.
Mlangila anadaiwa kushambuliwa kwa kipigo na askari hao muda mfupi baada ya baba yake mzazi, Bigamanywa Mlangila, kumfikisha kituoni hapo kwa tuhuma za kuvunja dirisha la nyumba yake.
Mbali na mwenyekiti wa kijiji cha Nkome...
10 years ago
Vijimambo19 Jun
Haya ndio majibu ya Viongozi wa Vyama vya Upinzani kwenye Mdahalo kuhusu Changamoto za TZ.. (Audio & Pichaz)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/06/DSC_4749.jpg?resize=620%2C413)
Kutokana na sababu mbalimbali Wagombea wengi hawakujitokeza, Mgombea mmoja Balozi Amina Salum Ali ndio Mgombea pekee aliejitokeza kwenye mdahalo huo.
June 18 2015 ilikuwa zamu ya Viongozi mbalimbali wa Vyama vya Upinzani kukutana pale Hyatt Regency Hotel kwenye Mdahalo huo na kujadili ishu mbalimbali zinazoihusu...
11 years ago
Mwananchi02 Jul
BRAZIL 2104: Keshi, Yobo wabwaga manyanga
>Kocha wa Nigeria, Stephen Keshi amebwaga manyanga kuendelea kuifundisha Super Eagles baada ya timu hiyo kutolewa kwenye fainali za Kombe la Dunia nchini Brazil.
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Sumaye kunguruma Harvard
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, kesho anatarajiwa kunguruma kwenye Kongamano la 20 la Kimataifa la Chuo Kikuu cha Harvard, Boston nchini Marekani. Taarifa kutoka Boston zimeeleza kuwa kongamano hilo la...
9 years ago
Harvard Crimson04 Nov
Harvard Today: November 4, 2015
Harvard Crimson
Hey Harvard, it's Wednesday and we're halfway through this week already, for better or for worse. On this day in 1960, at the Kasakela Chimpanzee Community in Tanzania, Dr. Jane Goodall observed chimpanzees creating tools, the first-ever observation in ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania