Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafungwa wabwaga wanafunzi wa Harvard kwenye mdahalo

Wafungwa kutoka New York wimeshinda mdahalo dhidi ya kundi kutoka Chuo Kikuu cha Harvard, chuo kilichoorodheshwa bora zaidi duniani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Tayoa yaendesha mdahalo na wanafunzi kwa Tehama

Na Mwandishi WetuSHIRIKA la Vijana Nchini (Tayoa) kwa ufadhili wa Wizara ya Afya kupitia mradi wa Global Fund, limefanya mdahalo wa kwanza kupitia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) ambapo zaidi ya wanafunzi na viongozi wapatao 680 wameshiriki.
Mdahalo huo wa Timiza Malengo 2020 ulifanyika kwa njia ya mtandao wa Zoom ulishirikisha wanafunzi 680 na wakuu wa vitivo 40 kutoka taasisi 32 za elimu ya juu  nchini uliandaliwa na Tayoa kwa kushirikiana na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanaotaka tiketi ya Republican washambuliana kwenye mdahalo

Wanaowania nafasi ya kuwania urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican walijibizana vikali kwenye mdhahalo wa tatu ulioandaliwa Colorado.

 

10 years ago

Mwananchi

Prof Lipumba, Zitto DK Slaa, kuvaana kwenye mdahalo

Umoja wa watendaji wakuu wa kampuni wa CEO RoundTable (CEOrt) umeandaa mdahalo wa kuzungumzia mbio za urais utakaowahusisha viongozi wa vyama vya upinzani, Profesa Ibrahim Lipumba, Dk Willibrod Slaa, Zitto Kabwe na Emmanuel Makaidi, lakini Chadema imesema itakuwa tayari kwa midahalo baada ya mchakato wa ndani kukamilika.

 

10 years ago

Vijimambo

Wananchi waandamana, wabwaga maiti Polisi

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Joseph Konyo.
Kundi la wakazi wa kijiji cha Nkome wilayani Geita, Mkoa wa Geita, wameandamana kisha kutelekeza maiti ya mwenzao, Mlangila Tigamanywa (22), mbele ya kituo cha polisi cha Nkome wakidai baadhi askari wake wamemuua kwa kipigo.

Mlangila anadaiwa kushambuliwa kwa kipigo na askari hao muda mfupi baada ya baba yake mzazi, Bigamanywa Mlangila, kumfikisha kituoni hapo kwa tuhuma za kuvunja dirisha la nyumba yake.

Mbali na mwenyekiti wa kijiji cha Nkome...

 

10 years ago

Vijimambo

Haya ndio majibu ya Viongozi wa Vyama vya Upinzani kwenye Mdahalo kuhusu Changamoto za TZ.. (Audio & Pichaz)

June 08 2015 ilikuwa siku ambayo Historia ilianza kuandikwa TZ kwenye ishu za Siasa, ulifanyika Mdahalo wa KWANZA wa Wagombea ambao wametangaza nia Kugombea Urais TZ kupitia CCM.
Kutokana na sababu mbalimbali Wagombea wengi hawakujitokeza, Mgombea mmoja Balozi Amina Salum Ali ndio Mgombea pekee aliejitokeza kwenye mdahalo huo.
June 18 2015 ilikuwa zamu ya Viongozi mbalimbali wa Vyama vya Upinzani kukutana pale Hyatt Regency Hotel kwenye Mdahalo huo na kujadili ishu mbalimbali zinazoihusu...

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2104: Keshi, Yobo wabwaga manyanga

>Kocha wa Nigeria, Stephen Keshi amebwaga manyanga kuendelea kuifundisha Super Eagles baada ya timu hiyo kutolewa kwenye fainali za Kombe la Dunia nchini Brazil.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumaye kunguruma Harvard

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, kesho anatarajiwa kunguruma  kwenye Kongamano la 20 la Kimataifa la Chuo Kikuu cha Harvard, Boston nchini Marekani. Taarifa kutoka Boston zimeeleza kuwa kongamano hilo la...

 

9 years ago

Harvard Crimson

Harvard Today: November 4, 2015


Harvard Today: November 4, 2015
Harvard Crimson
Hey Harvard, it's Wednesday and we're halfway through this week already, for better or for worse. On this day in 1960, at the Kasakela Chimpanzee Community in Tanzania, Dr. Jane Goodall observed chimpanzees creating tools, the first-ever observation in ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani